Kwanini Kenya ni maarufu kuliko nchi nyingi za Afrika

Kenya kwenye huo upande wa IT wako mbali mno. Kwa mfano hapa TZ ukikuta vijana wanaoweza kucheza na Adobe Photoshop, Corel draw na app zingine za graphics basi huweka mabega juu wakati Kenya hayo mambo hata secretary tu ofisini anafanya kwa mshahara mdogo.
 
True🀣🀣🀣🀣
 
6. Nepotism
7. One of the world's top (ten slum HQ).
8. Terror hot bed
 
Hizo si ni normal applications. Kwani ndiyo IT hiyo?
 
kiufupi ukiiondoa nchi chache za afrika magharibi especially nigeria Kenya ina world class celebrities wengi kuliko nchi yeyote africa, kenya ina dominate olympics kwenye marathon miaka mingi G. O. A. Ts hawa watu wanashiriki rugby world cups na walishakua na rais wa marekani kiufupi mijamaa inakelele sana uko duniani na wenzao wapopo sisi tupotupo tu kama mang'ombe
 
true...
 
6. Nepotism
7. One of the world's top (ten slum HQ).
8. Terror hot bed
Wewe umetoka na bile yako ya Nairobi vs Dar ukaleta huku. Angalia watanzania wenzako wasiokuwa na uzalendo bandia (blind patriotism) wanavyochangia humu. Take this bile away. Hapa tunaongea pasi na uzalendo
 
Watu kama akili zenu ni kuwaza kukimbizana na mwenge mtakuwaje maarufu wakati ni wazi kwamba hamna akili.

Hata muamke mkute sukari kilo shilingi elfu kumi lakini bado tu mtamshangilia mama na kumvika majoho ya uchifu. Wakenya sio wajinga hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…