Kwanini Kenya wamefuta Mitihani ya Taifa kwenye Mtaala mpya?

Kwanini Kenya wamefuta Mitihani ya Taifa kwenye Mtaala mpya?

Japo sio kila jambo ni la kuigwa, hili linastahili kuigwa.

Tunahitaji elimu ambayo ni ya vitendo zaidi kulingana na mahitaji halisi ya jamii.
Ndo maana kwa sasa huwezi kushangaa kuona mtu kamaliza shahada ya Maabara lakini akarudi nyuma kusoma short course ya refrigeration.
Mfumo wetu ni wa kizamani sana hili ndo watu wanapaswa kulipigia kelele
 
Tanzania elimu imefanywa kua biashara. Wanaomiliki shule hawawezi ndio hao wasimamizi wa elimu, hawawezi kutaka mtaala mpya ambao utaondoa mashindano ya ufaulu halafu wao wale nini?

Najua ni jambo la muda tu tutahamia huko maana Dunia inahamia huko.
Mashindano haya ni Biashara kubwa sana inaingiza Billion of Money na mbaya Wazazi hawajashituka na siku wanashituka itakuwa too late
 
Kenya Mwaka jana mwanzoni au Mwaka juzi walizindua mtaala wao mpya wa CBC yaani Competetive Based curriculum.

Huu mtaala wao mpya mtoto anapimwa kwa uwezo alio nao na si kwa uwezo wake wa kukariri na kuja kujibu mtihani.Kipaji binafisi cha mtoto ndo kinapimwa, hakuna kushindanisha mashule tena.

Kingine ni kwamba kwenye mtaala huu hakutakuwa na kitu kinaitwa mitihani ya Taifa ya kushindanisha wanafunzi.

Kwenye Mtaala huu wanafunzi watapimwa uwezo wao na walimu wao kwa vigezo vilivyo wekwa.

Sisi huku tunaabudu mashindano ya Div 1 sujui 10 bora na kadhalika, tunaabudu wa kwanza na Wa mwisho ilihali tukijua fika tuna mitala ya ajabu balaa hii mitala ndo unakuta mtoto yuko Secondary ila hajui kusoma wala kuandika na amefaulu

Ndo maana hizi 10 tena sijui huwezi zikuta mtaani zikifanya mambo ya kitop 10.

Siku tukiwa na mitaala mipya na kufuta mitihani ya Kitaifa ndo hapo ubora wa elimu utakapo onekana.

Kenya sio wajinga kuondokana na hii biashara ya mitihani ya Taifa wamefanya utafiti wakaona uhuni na usanii wa mashule.

Jiulize hizo 10 tena nje ya Darasana kuna kitu zinaweza fanya? Top tena wana exceptional tofauti na hii ya kuwa wamesolve Past paper mwaka mzima na wanaingia wanakutana na maswali yale yale?

Competence sio competitive… yaani mitihani walifuta kwani mtaala uliopo unazingatia umahiri wa wanafunzi na sio kukremu na kupata A.
 
Competence sio competitive… yaani mitihani walifuta kwani mtaala uliopo unazingatia umahiri wa wanafunzi na sio kukremu na kupata A.
Longolongo nyingi. Ili mtu awe competent lazima awe na knowledge. Knowledge is acquired through: 1. REFLECTION 2. IMITATION 3. EXPERIENCE
 
Elim inahitaji reshaffle kubwa sana hii tabia ya kumpima mtoto na mitihan ya taifa ifeee!!!!!

Ulaya USA hakuna hii kitu chek kipaji cha mtoto mpeleke huko huko
Ronald,mess,pogba,na wengine ni mabilionea lakn hawana hata masters degree
Aisee! Nani kakudanganya?
 
Mitihani ikifutwa kuna watu watashindwa kuhalalisha uwepo wao.
 
Kenya Mwaka jana mwanzoni au Mwaka juzi walizindua mtaala wao mpya wa CBC yaani Competetive Based curriculum.

Huu mtaala wao mpya mtoto anapimwa kwa uwezo alio nao na si kwa uwezo wake wa kukariri na kuja kujibu mtihani.Kipaji binafisi cha mtoto ndo kinapimwa, hakuna kushindanisha mashule tena.

Kingine ni kwamba kwenye mtaala huu hakutakuwa na kitu kinaitwa mitihani ya Taifa ya kushindanisha wanafunzi.

Kwenye Mtaala huu wanafunzi watapimwa uwezo wao na walimu wao kwa vigezo vilivyo wekwa.

Sisi huku tunaabudu mashindano ya Div 1 sujui 10 bora na kadhalika, tunaabudu wa kwanza na Wa mwisho ilihali tukijua fika tuna mitala ya ajabu balaa hii mitala ndo unakuta mtoto yuko Secondary ila hajui kusoma wala kuandika na amefaulu

Ndo maana hizi 10 tena sijui huwezi zikuta mtaani zikifanya mambo ya kitop 10.

Siku tukiwa na mitaala mipya na kufuta mitihani ya Kitaifa ndo hapo ubora wa elimu utakapo onekana.

Kenya sio wajinga kuondokana na hii biashara ya mitihani ya Taifa wamefanya utafiti wakaona uhuni na usanii wa mashule.

Jiulize hizo 10 tena nje ya Darasana kuna kitu zinaweza fanya? Top tena wana exceptional tofauti na hii ya kuwa wamesolve Past paper mwaka mzima na wanaingia wanakutana na maswali yale yale?
Hizi taarifa za Kenya kufuta mitihani umezipata wapi?, Kama ni kweli hao Kenya wamefanya utafiti lini na wamepata wapi mifano Bora ya kurejea hapa duniani(references) kujiridhisha ktk hilo unalisema.

Mkuu wacha kuropoka, hapa duniani mfumo wa kuwataini wasomi wote ni mmoja tu unaofuatwa na nchi zote, hayo unayosema yamefanyika wapi hapa duniani?
 
Hizi taarifa za Kenya kufuta mitihani umezipata wapi?, Kama ni kweli hao Kenya wamefanya utafiti lini na wamepata wapi mifano Bora ya kurejea hapa duniani(references) kujiridhisha ktk hilo unalisema.

Mkuu wacha kuropoka, hapa duniani mfumo wa kuwataini wasomi wote ni mmoja tu unaofuatwa na nchi zote, hayo unayosema yamefanyika wapi hapa duniani?
Hilo darasa lao la nane wanataka kufuta!
 
Kenya Mwaka jana mwanzoni au Mwaka juzi walizindua mtaala wao mpya wa CBC yaani Competetive Based curriculum.

Huu mtaala wao mpya mtoto anapimwa kwa uwezo alio nao na si kwa uwezo wake wa kukariri na kuja kujibu mtihani.Kipaji binafisi cha mtoto ndo kinapimwa, hakuna kushindanisha mashule tena.

Kingine ni kwamba kwenye mtaala huu hakutakuwa na kitu kinaitwa mitihani ya Taifa ya kushindanisha wanafunzi.

Kwenye Mtaala huu wanafunzi watapimwa uwezo wao na walimu wao kwa vigezo vilivyo wekwa.

Sisi huku tunaabudu mashindano ya Div 1 sujui 10 bora na kadhalika, tunaabudu wa kwanza na Wa mwisho ilihali tukijua fika tuna mitala ya ajabu balaa hii mitala ndo unakuta mtoto yuko Secondary ila hajui kusoma wala kuandika na amefaulu

Ndo maana hizi 10 tena sijui huwezi zikuta mtaani zikifanya mambo ya kitop 10.

Siku tukiwa na mitaala mipya na kufuta mitihani ya Kitaifa ndo hapo ubora wa elimu utakapo onekana.

Kenya sio wajinga kuondokana na hii biashara ya mitihani ya Taifa wamefanya utafiti wakaona uhuni na usanii wa mashule.

Jiulize hizo 10 tena nje ya Darasana kuna kitu zinaweza fanya? Top tena wana exceptional tofauti na hii ya kuwa wamesolve Past paper mwaka mzima na wanaingia wanakutana na maswali yale yale?
Kenya ipi hiyo mkuu
 
Back
Top Bottom