CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Ukiachana na gharama pia kuwashindanisha ni biasharaKufanya mtihani mmoja wa taifa nchi nzima ni gharama pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiachana na gharama pia kuwashindanisha ni biasharaKufanya mtihani mmoja wa taifa nchi nzima ni gharama pia
Mfumo wetu ni wa kizamani sana hili ndo watu wanapaswa kulipigia keleleJapo sio kila jambo ni la kuigwa, hili linastahili kuigwa.
Tunahitaji elimu ambayo ni ya vitendo zaidi kulingana na mahitaji halisi ya jamii.
Ndo maana kwa sasa huwezi kushangaa kuona mtu kamaliza shahada ya Maabara lakini akarudi nyuma kusoma short course ya refrigeration.
Hii hata hizi International School ndo mfumo wanao utumiaHawana huo ujinga,wao wameweka elimu yao kuwa competence based na sio knowledge based ya kukariri wa kwanza na WA mwisho.
Mashindano haya ni Biashara kubwa sana inaingiza Billion of Money na mbaya Wazazi hawajashituka na siku wanashituka itakuwa too lateTanzania elimu imefanywa kua biashara. Wanaomiliki shule hawawezi ndio hao wasimamizi wa elimu, hawawezi kutaka mtaala mpya ambao utaondoa mashindano ya ufaulu halafu wao wale nini?
Najua ni jambo la muda tu tutahamia huko maana Dunia inahamia huko.
Kenya Mwaka jana mwanzoni au Mwaka juzi walizindua mtaala wao mpya wa CBC yaani Competetive Based curriculum.
Huu mtaala wao mpya mtoto anapimwa kwa uwezo alio nao na si kwa uwezo wake wa kukariri na kuja kujibu mtihani.Kipaji binafisi cha mtoto ndo kinapimwa, hakuna kushindanisha mashule tena.
Kingine ni kwamba kwenye mtaala huu hakutakuwa na kitu kinaitwa mitihani ya Taifa ya kushindanisha wanafunzi.
Kwenye Mtaala huu wanafunzi watapimwa uwezo wao na walimu wao kwa vigezo vilivyo wekwa.
Sisi huku tunaabudu mashindano ya Div 1 sujui 10 bora na kadhalika, tunaabudu wa kwanza na Wa mwisho ilihali tukijua fika tuna mitala ya ajabu balaa hii mitala ndo unakuta mtoto yuko Secondary ila hajui kusoma wala kuandika na amefaulu
Ndo maana hizi 10 tena sijui huwezi zikuta mtaani zikifanya mambo ya kitop 10.
Siku tukiwa na mitaala mipya na kufuta mitihani ya Kitaifa ndo hapo ubora wa elimu utakapo onekana.
Kenya sio wajinga kuondokana na hii biashara ya mitihani ya Taifa wamefanya utafiti wakaona uhuni na usanii wa mashule.
Jiulize hizo 10 tena nje ya Darasana kuna kitu zinaweza fanya? Top tena wana exceptional tofauti na hii ya kuwa wamesolve Past paper mwaka mzima na wanaingia wanakutana na maswali yale yale?
Uta-compete vipi bila knowledge? Acheni uongo, bado kungali mchana, mjue!Hawana huo ujinga,wao wameweka elimu yao kuwa competence based na sio knowledge based ya kukariri wa kwanza na WA mwisho.
Longolongo nyingi. Ili mtu awe competent lazima awe na knowledge. Knowledge is acquired through: 1. REFLECTION 2. IMITATION 3. EXPERIENCECompetence sio competitive… yaani mitihani walifuta kwani mtaala uliopo unazingatia umahiri wa wanafunzi na sio kukremu na kupata A.
Best scholars mostly huwa hawaajiriwi; wao ndio wanaajiri. Understand that!Ninachojiuliza, hiyo mitihani na wale top 10 huwa wanapewa nafasi ya kwanza kwenye ajira au inakuwaje?.
Aisee! Nani kakudanganya?Elim inahitaji reshaffle kubwa sana hii tabia ya kumpima mtoto na mitihan ya taifa ifeee!!!!!
Ulaya USA hakuna hii kitu chek kipaji cha mtoto mpeleke huko huko
Ronald,mess,pogba,na wengine ni mabilionea lakn hawana hata masters degree
Sio gharama pekeyake wanakwepa kuzalisha watu mahiri wa kuichallenge nchi na duniaKufanya mtihani mmoja wa taifa nchi nzima ni gharama pia
ChakubangaAisee! Nani kakudanganya?
Hizi taarifa za Kenya kufuta mitihani umezipata wapi?, Kama ni kweli hao Kenya wamefanya utafiti lini na wamepata wapi mifano Bora ya kurejea hapa duniani(references) kujiridhisha ktk hilo unalisema.Kenya Mwaka jana mwanzoni au Mwaka juzi walizindua mtaala wao mpya wa CBC yaani Competetive Based curriculum.
Huu mtaala wao mpya mtoto anapimwa kwa uwezo alio nao na si kwa uwezo wake wa kukariri na kuja kujibu mtihani.Kipaji binafisi cha mtoto ndo kinapimwa, hakuna kushindanisha mashule tena.
Kingine ni kwamba kwenye mtaala huu hakutakuwa na kitu kinaitwa mitihani ya Taifa ya kushindanisha wanafunzi.
Kwenye Mtaala huu wanafunzi watapimwa uwezo wao na walimu wao kwa vigezo vilivyo wekwa.
Sisi huku tunaabudu mashindano ya Div 1 sujui 10 bora na kadhalika, tunaabudu wa kwanza na Wa mwisho ilihali tukijua fika tuna mitala ya ajabu balaa hii mitala ndo unakuta mtoto yuko Secondary ila hajui kusoma wala kuandika na amefaulu
Ndo maana hizi 10 tena sijui huwezi zikuta mtaani zikifanya mambo ya kitop 10.
Siku tukiwa na mitaala mipya na kufuta mitihani ya Kitaifa ndo hapo ubora wa elimu utakapo onekana.
Kenya sio wajinga kuondokana na hii biashara ya mitihani ya Taifa wamefanya utafiti wakaona uhuni na usanii wa mashule.
Jiulize hizo 10 tena nje ya Darasana kuna kitu zinaweza fanya? Top tena wana exceptional tofauti na hii ya kuwa wamesolve Past paper mwaka mzima na wanaingia wanakutana na maswali yale yale?
Hilo darasa lao la nane wanataka kufuta!Hizi taarifa za Kenya kufuta mitihani umezipata wapi?, Kama ni kweli hao Kenya wamefanya utafiti lini na wamepata wapi mifano Bora ya kurejea hapa duniani(references) kujiridhisha ktk hilo unalisema.
Mkuu wacha kuropoka, hapa duniani mfumo wa kuwataini wasomi wote ni mmoja tu unaofuatwa na nchi zote, hayo unayosema yamefanyika wapi hapa duniani?
Kenya ipi hiyo mkuuKenya Mwaka jana mwanzoni au Mwaka juzi walizindua mtaala wao mpya wa CBC yaani Competetive Based curriculum.
Huu mtaala wao mpya mtoto anapimwa kwa uwezo alio nao na si kwa uwezo wake wa kukariri na kuja kujibu mtihani.Kipaji binafisi cha mtoto ndo kinapimwa, hakuna kushindanisha mashule tena.
Kingine ni kwamba kwenye mtaala huu hakutakuwa na kitu kinaitwa mitihani ya Taifa ya kushindanisha wanafunzi.
Kwenye Mtaala huu wanafunzi watapimwa uwezo wao na walimu wao kwa vigezo vilivyo wekwa.
Sisi huku tunaabudu mashindano ya Div 1 sujui 10 bora na kadhalika, tunaabudu wa kwanza na Wa mwisho ilihali tukijua fika tuna mitala ya ajabu balaa hii mitala ndo unakuta mtoto yuko Secondary ila hajui kusoma wala kuandika na amefaulu
Ndo maana hizi 10 tena sijui huwezi zikuta mtaani zikifanya mambo ya kitop 10.
Siku tukiwa na mitaala mipya na kufuta mitihani ya Kitaifa ndo hapo ubora wa elimu utakapo onekana.
Kenya sio wajinga kuondokana na hii biashara ya mitihani ya Taifa wamefanya utafiti wakaona uhuni na usanii wa mashule.
Jiulize hizo 10 tena nje ya Darasana kuna kitu zinaweza fanya? Top tena wana exceptional tofauti na hii ya kuwa wamesolve Past paper mwaka mzima na wanaingia wanakutana na maswali yale yale?
Great answer.Best scholars mostly huwa hawaajiriwi; wao ndio wanaajiri. Understand that!