Kwanini 'Keyboard Warriors' wengi hasa wa hapa JamiiForums ukikutana nao hutoamini kuwa ndiyo Wao kwa jinsi walivyo?

Kwanini 'Keyboard Warriors' wengi hasa wa hapa JamiiForums ukikutana nao hutoamini kuwa ndiyo Wao kwa jinsi walivyo?

Umelazimishwa na Mtu au Mleta Mada ( Uzi ) Kuufungua na Kuusoma? Halafu Wewe ni nani hadi upangie / utupangie Members hapa JamiiForums namna ya Kuandika na Kuwasilisha Mijadala Mitambuka?

Iwe mwanzo na mwisho sawa? Hopeless...!!
Wewe mtende waambie hao waliokutuma kuwa hukuwakuta mnaowatafuta!! You SOB.
 
Katika vitu sifikiriagi ni kujuana na memba wa humu kwa kukutana yaani hata nione unatumia jf siwezi kukuuliza wala kushoboka na ww. Nilishasafiri na dada mmoja njiani alikua busy na simu nikamtani vp unachatishwa nn akanijibu nipo jf kama vile kila mtu anaujua huu mtandao na mm nikajidai siujui nikamuuliza ndio wapi huko akacheka na kujibu kama hujawah tumia huwezi elewa na mm nikacheka basi nikapiga kimya
 
Katika vitu sifikiriagi ni kujuana na memba wa humu kwa kukutana yaani hata nione unatumia jf siwezi kukuuliza wala kushoboka na ww. Nilishasafiri na dada mmoja njiani alikua busy na simu nikamtani vp unachatishwa nn akanijibu nipo jf kama vile kila mtu anaujua huu mtandao na mm nikajidai siujui nikamuuliza ndio wapi huko akacheka na kujibu kama hujawah tumia huwezi elewa na mm nikacheka basi nikapiga kimya
Umenikera Mkuu ungemtongoza ili Ukambandue. Ukitaka kuwa Rafiki yangu uwe Mbanduaji wa Kutukuka sawa?
 
Mtakuja kuwaumiza watu bure kwa kujidai mnazifahamu IDs zao za humu Janvini!! kuna watu wenye visasi wanajadiliwa humu sasa nyie mkijidai mnafahamu ID za watu mnaweza kusababisha watu waumie kumbe sio wahusika. Acheni mchezo wenu wa kutaka kujua IDS za members; shuhurikeni na kujadili hoja msijue nani anatoa hoja gani kwani waswahili huangalia nani kasema na sio nini kimesemwa. Nina imani kabisa kuwa kutojulikana kwa members ni nguzo kubwa ya jamvi hili.
mbona umehamaki sana nilipoandika wengene tuna uwezo wa ku sense ni nani katika nchi hii na anafanya kazi gani hata kama anatumia id feki anajulikana ni nani? Hapa kila member ajiheshimu na kuheshimu wengine asiandike upupu akidhani hajulikani kwa kuwa anatumia id fake
 
Vipi kwa hali hii ya kutokujulikana, je tukiamua tukutane kama wana jf wa mahali fulani tunataka kufanya jambo la kusaidia kundi fulani ndani ya jamii lenye uhitaji wa msaada wa haraka tutakutana vipi tuwe na viongozi wetu wa kutusemea msaada wetu?
 
Mkuu huwezi amini hawa Members Wawili na ID's zao ninazojijua ukikutana nao Live na Kukaa nao hata kwa dakika 30 unaweza kusema kuwa huenda kuna Watu huwa wanawaibia ID's zao na kuwa Watukutu na Wakorofi wakiwa nasi hapa JamiiForums.

Hawa Jamaa ni Wastaarabu Wapole na wana Upendo wa Kutukuka halafu hawana Uchoyo, Chuki na Roho Mbaya kama ambavyo Wengi wetu tunawahisi au kuwaona hapa.

Kuanzia sasa nitawapenda na sitokuwa nawacharura tena ( japo Wao ) kwa bahati mbaya hawakujua kuwa waliyekuwa nae ndiyo Mimi GENTAMYCINE ambaye huwa sipitishi hata Siku lazima tu nitaingia nao katika Battle ya Israel na Palestine.

Je, na Wewe Keyboard Warrior wa hapa JamiiForums huu Uwasilishaji wako, Majibu yako na Nyodo zako ndiyo Uhalisia wako au huwa unaamua tu Kujizima Data ( Kujichetua ) uwapo hapa?
😂😂Mkuu wangu Mimi nipo hivi hivi nionekanavyo, napendwq Sana
 
mbona umehamaki sana nilipoandika wengene tuna uwezo wa ku sense ni nani katika nchi hii na anafanya kazi gani hata kama anatumia id feki anajulikana ni nani? Hapa kila member ajiheshimu na kuheshimu wengine asiandike upupu akidhani hajulikani kwa kuwa anatumia id fake
Mtu anayejua kuwa kitu kilichoandikwa ni upupu ni yule mlengwa asiyekubaliana na maono dhidi yake!! Huo unoasema ni upupu sio kwa kila msomaji!!
 
Inapaswa kujiamini, mimi najijua kama mzee wa battles kote, iwe humu, ofisini, mtaani... Kiherehere popote...
Battle gani zaidi ya mipasho ya kijinga ? ungekuwa Buza tungekukata masikio yote hayo..
 
Battle gani zaidi ya mipasho ya kijinga ? ungekuwa Buza tungekukata masikio yote hayo..

Kwanza nyie wavaa makobaz ndio huwa inabidi kupambana kuwaambia ukweli muwache ujinga wa kulazimishia watu wamuabudu muarabu.
 
Mtu anayejua kuwa kitu kilichoandikwa ni upupu ni yule mlengwa asiyekubaliana na maono dhidi yake!! Huo unoasema ni upupu sio kwa kila msomaji!!
kumbuka hoja hujibiwa kwa hoja, ukishindwa tulia au kubaliana na kilichoandikwa
 
Kuna Wawili nimekutana nao ( ID's zao nazihifadhi ) hapa JamiiForums ni Machachari hakuna Mfano ila kumbe ni Watu Wapole, Wakarimu na Wastaarabu kiasi kwamba najua hata Siku mkitajiwa hizo ID's zao hapa Wote mtakataa na hamtoamini.

Kwahiyo usimchukulie kila 'Keyboard Warrior' hapa JamiiForums ndivyo alivyo Kiuhalisia wake kwani huenda ukija Kumjua Kiuhalisia hutoamini na utaishia Kucheka na hata Kustaajabu tu.
Ile siku ya kupewa zawadi zenu za mchongo, nilitamani kweli uongozi wa jamii forums kurusha picha zenu live! Kwa bahati mbaya walishtukia mchezo.

Maana mimi nilijipanga kumtafuta mtu mmoja tu aliyekatwa sikio na kidole cha mkono, na yule muuza mihogo maarufu wa soko la Kawe; Mzee Cherehani.
 
Kwani na Mimi GENTAMYCINE ni Keyboard Warrior Mkuu? Tokea lini nikawa hivyo? Ila Wewe ndiyo najua ni 'Keyboard Warrior' na Hongera kwa hilo.
Huna lolote fala wewe ,unajaribu kujisuuza hapa umeona yamekushinda ya Salum kikeke.Kuna watu hapa wenye hishma zao na unyenyekevu wao kina Da Vinci ,Mshana Jr na wengi wao.Salim kikeke anakutafuta.
 
Ile siku ya kupewa zawadi zenu za mchongo, nilitamani kweli uongozi wa jamii forums kurusha picha zenu live! Kwa bahati mbaya walishtukia mchezo.

Maana mimi nilijipanga kumtafuta mtu mmoja tu mwenye kofia kubwa ya pama iliyoziba masikio, na pia aliyevaa gloves kwenye viganja vyake vya mkono. 😇
😅😅 ambaye ni nani???mkuu
 
Kuna Wawili nimekutana nao ( ID's zao nazihifadhi ) hapa JamiiForums ni Machachari hakuna Mfano ila kumbe ni Watu Wapole, Wakarimu na Wastaarabu kiasi kwamba najua hata Siku mkitajiwa hizo ID's zao hapa Wote mtakataa na hamtoamini.

Kwahiyo usimchukulie kila 'Keyboard Warrior' hapa JamiiForums ndivyo alivyo Kiuhalisia wake kwani huenda ukija Kumjua Kiuhalisia hutoamini na utaishia Kucheka na hata Kustaajabu tu.
Wengi wameingia kusaka tonge tu ajira hamna
 
Back
Top Bottom