Kwanini Kiba hatumiki kwenye matangazo?

Kwanini Kiba hatumiki kwenye matangazo?

Tunapozungumzia matangazo yakibiashara ni kama vile ya kampuni kubwa COCA COLA , DSTV , PEPSI na mengine mengi sio unatuwekea ubalozi wa wanyama ndo matangazo gani hayo hata hatuyafahamu..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] u hv made my nyt!
 
Muulize R Kelly anamjua Kiba au kwa vile hapendi show off tu?
 
Sababu hapendi kuonekana kwa tv ,mambo ya show off hapendi kabisaa msani wetu King kiba
 
Tunapozungumzia matangazo yakibiashara ni kama vile ya kampuni kubwa COCA COLA , DSTV , PEPSI na mengine mengi sio unatuwekea ubalozi wa wanyama ndo matangazo gani hayo hata hatuyafahamu..
kwhyo yale matangazo ya tv anayopga vita mauaji ya tembo siyo matangazo ? kweli wewe chizi
 
Kama ni mvuto anao, kama ni fans base, anayo kubwa.
Pengine sababu zinaweza kuwa hizi:-
1. Ni ghali sana
2. Hapendi kutokana na imani yake au matakwa yake.
 
kuna sehemu niliona maandishi "Lamborghin haina promo coz wanunuzi wake huwa hawana muda wa kuangalia tv"

Back to kibakuli.
Yeye hawekwi kwenye matangazo sababu wanaomkubali huwa hawakai kuangalia tv.
 
kuna sehemu niliona maandishi "Lamborghin haina promo coz wanunuzi wake huwa hawana muda wa kuangalia tv"

Back to kibakuli.
Yeye hawekwi kwenye matangazo sababu wanaomkubali huwa hawakai kuangalia tv.
Pamoja na Lamborghin kutokuwekwa kwenye TV but usisahau it is one of the expensive. Na pia haiihitaji matangazo coz its one of the best.
Kwa hiyo Kiba hahitaji TV kukuza thamani na ubora wake. We know he is great and best.
 
Umejuaj kuwa hafikir, labda hatak?
ndo maana nikasema sio business opportunistic,
akishafikia limit yake ya kuwika kwa jukwaa ndipo ataelewa nini maana ya kutumia hizi opportunity........leo hii diamond akisema ana bil 1+ bank sio anauza saaaanaaaa muziki bali ni kutokana na hayo matangazo pia yanamtoa anafanya investment kipato kinaongezeka siku hadi siku........sasa ana fan base 2+ tena msaniii mkongwe daaaaah ngoja niishie hapo
 
Pamoja na Lamborghin kutokuwekwa kwenye TV but usisahau it is one of the expensive. Na pia haiihitaji matangazo coz its one of the best.
Kwa hiyo Kiba hahitaji TV kukuza thamani na ubora wake. We know he is great and best.
swala hapa sio kukuza thamani na ubora wako,swala hapa ni jinsi gani unatumia ubora wako beyond kwenye jukwaa.......muziki anaoufanya sio for life,kunakipindi atafika atagota tuu lakini ni jinsi gani anatumia huu wakati alionao mzuri kujiandaa kwa hayo maisha ya baadae baada ya muziki??unaingiza vipi kipato zaidi kwa kutumia fan base uliyokuwa nayo kwa sasa??
 
Tunapozungumzia matangazo yakibiashara ni kama vile ya kampuni kubwa COCA COLA , DSTV , PEPSI na mengine mengi sio unatuwekea ubalozi wa wanyama ndo matangazo gani hayo hata hatuyafahamu..
Wewe hauyafahamu ila wakubwa zako wanayafahamu na ndio wanaosaidia na kusapoti opereshini okoa Tembo.
 
Pamoja na Lamborghin kutokuwekwa kwenye TV but usisahau it is one of the expensive. Na pia haiihitaji matangazo coz its one of the best.
Kwa hiyo Kiba hahitaji TV kukuza thamani na ubora wake. We know he is great and best.

kwa mfano ajitokeze kwenye Tangazo la Salama Condom linawezaje kukuza thamani na ubora wake?
 
Kwa image gani aliyo nayo... Msanii anajiita msanii mkubwa lakini appearance yake ipo kama mganga wa kienyeji... Labda apewe matangazo ya forever living.
 
Back
Top Bottom