Kwanini kila mada humu ndani ni CHADEMA tu?

Daah jamaa karudi na NYOTA kali sana kutoka mamtoni...yani sio poa mazee...kila kona watu kibao...LEMA LEMA LEMA GODIII GODIII GODIII NABII dah sio poa yani...

Sema nini...dah jamaa katisha sana!!! CCM wajipange sana 2025 pale chugastan!
😅😅😅
 
Nimekuwa napitia mada nyingi sana humu JF na kila mada ni CHADEMA tu tangu ujio wa Lissu na Lema!

Hakuna cha CCM wala CUF, hii inaonyesha kuwa CHADEMA ni chama kikubwa sana sana nchi hii.

Hongera sana CHADEMA, songeni mbele sana!
cdm ni maarufu ingawa jiwe alitaka kuizika matokeo yake kazikwa yeye
 
Nimekuwa napitia mada nyingi sana humu JF na kila mada ni CHADEMA tu tangu ujio wa Lissu na Lema!

Hakuna cha CCM wala CUF, hii inaonyesha kuwa CHADEMA ni chama kikubwa sana sana nchi hii.

Hongera sana CHADEMA, songeni mbele sana!
Ukienda Twitter, Facebook, clubhouse and Whatsapp ni Chadema tu.
 
Chadema ikifa ajira nyingi za Lumumba Fc zitayeyuka
 
Ukiona kitu kinasifiwa sana na watanzania ujue kina upumbavu
mara nying ukiona kuna genge linakerwa na sifa anazomiminiwa mtu au chama hao wanaokerwa ni wapumbavu na wauwaji waliozoea kuuwa watu ili walipwe posho za mauwaji kama sukuma gang.
 
Nimekuwa napitia mada nyingi sana humu JF na kila mada ni CHADEMA tu tangu ujio wa Lissu na Lema!

Hakuna cha CCM wala CUF, hii inaonyesha kuwa CHADEMA ni chama kikubwa sana sana nchi hii.

Hongera sana CHADEMA, songeni mbele sana!
Tatizo ni kuwa JF asilimia 99.999 ni Chadema. Iliyobaki 0.001 ndiyo CCM na vyama vingine. Kuprove hilo ni pale ambapo maneno yalisikika lakini tunaelezwa ni simu


Asingalikuwa Samia anang'ara siku hizi Chadema, humu ungalikuta kila uzi unasimlia hilo. Ngoja Mkakati wa Katiba mpya uvurugike uprove kuwa nipo sahihi
 
Nimekuwa napitia mada nyingi sana humu JF na kila mada ni CHADEMA tu tangu ujio wa Lissu na Lema, hakuna cha ccm wala CUF hii inaonyesha kuwa CHADEMA ni chama kikubwa sana sana nchi hii.

Hongera sana CHADEMA Songeni mbele sana!
kibaya kinavuma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…