Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 8,013
- 14,263
nimeona kama kacizika kidogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅Daah jamaa karudi na NYOTA kali sana kutoka mamtoni...yani sio poa mazee...kila kona watu kibao...LEMA LEMA LEMA GODIII GODIII GODIII NABII dah sio poa yani...
Sema nini...dah jamaa katisha sana!!! CCM wajipange sana 2025 pale chugastan!
Nakwambia arifu ni laana!Kawasha cha Arusha nini chalii yangu?
Chadema wakiwa wajinga jiwe na wafuasu wake waliomuita Mungu watakuwaje!?Chadema ni wajinga, na mjinga husemwa ili aache ujinga
Mbona jiwe lilisifuwa?Ukiona kitu kinasifiwa sana na watanzania ujue kina upumbavu
cdm ni maarufu ingawa jiwe alitaka kuizika matokeo yake kazikwa yeyeNimekuwa napitia mada nyingi sana humu JF na kila mada ni CHADEMA tu tangu ujio wa Lissu na Lema!
Hakuna cha CCM wala CUF, hii inaonyesha kuwa CHADEMA ni chama kikubwa sana sana nchi hii.
Hongera sana CHADEMA, songeni mbele sana!
Kusifiwa au kukosolewa? Kusifiwa ni kusemwa vizuriUkiona kitu kinasifiwa sana na watanzania ujue kina upumbavu
Kabisa yaaniHata ndege wanaikubali Chadema [emoji23]
[emoji38][emoji38][emoji38]
Ukienda Twitter, Facebook, clubhouse and Whatsapp ni Chadema tu.Nimekuwa napitia mada nyingi sana humu JF na kila mada ni CHADEMA tu tangu ujio wa Lissu na Lema!
Hakuna cha CCM wala CUF, hii inaonyesha kuwa CHADEMA ni chama kikubwa sana sana nchi hii.
Hongera sana CHADEMA, songeni mbele sana!
Chadema ikifa ajira nyingi za Lumumba Fc zitayeyukaChadema ni dude kubwaaaaa ambalo kuliparamia inahitaji ujasiri mkubwa, lkn Chadema ni ajira kwa wenzetu wa Lumumba.
Nyuzi nyingi humu zinaandikwa na vijana wa Lumumba kwa malipo ya sh 7000 kwa kila nyuzi moja inayohusiana na Chadema, lkn iwe inaiponda Chadema na viongozi wote kwa ujumla, na Chadema haiwezi kufa kwa sababu ni ajira tosha kwa vijana wa Lumumba.
Lakini pia kupitia Chadema vijana wa Lumumba wamepata teuzi serikalini kwa kuiponda ama kuponda viongozi wa Chadema.
Hivyo basi, Chadema ni lango la kujipatia mkate wa kila cku kwa wenzetu wa Lumumba.
People's.... Lumumba itikieni basi huko huko mliko kwa kusema Power. Ole wenu msiitikie.
View attachment 2540317
sukuma gangAsali
uvccm na sukuma gang ni wapumbavu na wapumbavu ndo huanzisha nyuz za kipumbavu kuhusu chadema.Chadema ni wajinga, na mjinga husemwa ili aache ujinga
Kwa mara ya kwanza huyu ndege nilimuona nyumbani Boma ng'ombe Hai Kilimanjaro
mara nying ukiona kuna genge linakerwa na sifa anazomiminiwa mtu au chama hao wanaokerwa ni wapumbavu na wauwaji waliozoea kuuwa watu ili walipwe posho za mauwaji kama sukuma gang.Ukiona kitu kinasifiwa sana na watanzania ujue kina upumbavu
Tatizo ni kuwa JF asilimia 99.999 ni Chadema. Iliyobaki 0.001 ndiyo CCM na vyama vingine. Kuprove hilo ni pale ambapo maneno yalisikika lakini tunaelezwa ni simuNimekuwa napitia mada nyingi sana humu JF na kila mada ni CHADEMA tu tangu ujio wa Lissu na Lema!
Hakuna cha CCM wala CUF, hii inaonyesha kuwa CHADEMA ni chama kikubwa sana sana nchi hii.
Hongera sana CHADEMA, songeni mbele sana!
kibaya kinavuma.Nimekuwa napitia mada nyingi sana humu JF na kila mada ni CHADEMA tu tangu ujio wa Lissu na Lema, hakuna cha ccm wala CUF hii inaonyesha kuwa CHADEMA ni chama kikubwa sana sana nchi hii.
Hongera sana CHADEMA Songeni mbele sana!
hata ulichoandika hakljulikani, mbona andika yako inaonyesha wewe ndie mjinga!Chadema ni wajinga, na mjinga husemwa ili aache ujinga