Lazima wachukie, just imagine kupewa sifa za kinafiki ama kupotosha ukweli kisa kuwafuraisha watu..
Kama muonekano wa Mtu fulan ulikuwa wa aina gani kwanini leo hii watu waubadirishe? Je inawezekana kubadiri uhusika wa mtu na Utu wake? Kama haiwezekan kwann hao watu wa Filam+historia wamekuwa wakipenda kubadiri mionekano ya watu kuwa ni aina fulan kumbe sivyo hivyo?.
Hakuna anaepinga kwa nia mbaya bali ukweli ubaki ukweli kama huyo cleopatra alikuwa mweupe acha uhalisia wake uwe hivyo, hizo tabia za kubadiri mionekano ya watu imeletwa na wazungu+waarabu kwa manufaa yao ya kukuza na kuzipa nguvu Race zao(white supremacy) na inajulikana wamefanya ushenzi huo hata ktk maandiko ya vitabu vya kiimani.
Rangi nyeusi ndio Rangi KUU na yenye UTISHO kuliko rangi yoyote, pia rangi nyeusi kwakuwa ndio asili ya Uungu na uumbaji hivyo haiwezekan kwa vyovyote vile kuifake ama kuitengeneza bali inajitengeneza yenyewe ndiomaana hakuna mpka leo aliyeweza kutengeneza Kiza/giza wala kuunda mwanga wenye kiza/giza wala kuunda giza feki, haiwezekan na wala kumbadiri mtu mweupe kuwa mweusi haiwezekan kwakuwa Asili inanguvu na haiwezi kubadirishwa kwa vyovyote vile[emoji23][emoji23]ila inawezekana mweusi kuonekana mweupe nae mweusi huyo si kumbadiri bali kwa kummulika weusi wake usionekane kwa kutumia viambatasumu(chemicals) kwa binadamu ama kutumia mwanga wa rangi ktk Giza kulifanya lisionekane.
Iko ivyo watu weupe wazungu+waarabu na race za jinsi yao wanajua kuhusu huu ukwel ndiomaana wanajaribu kufanya rangi hii idharaulike.
Walianza kwa uzushi wa kuishusha thamani kupitia ukolon na ubaguz wa rangi, wakaja ktk maandiko kufanya ubaguzi ionekane hata viumbe wa kiroho ni weupe na mashetani ni weusi, kumbe kiuhalisia MALAIKA NA VIUMBE WA MBINGUNI ni Weusi kama alvyo mtu mweusi, bali Mashetan na mapepo ndio wenye rangi ya laana yaani rangi isiyo na UTU(UUNGU) rangi nyeupe, ndiomaana hata viumbe wa giza wote huja ktk mionekano yao ya weupe, majini weupe, malaika wa uongo wanaowatokea manabii wenu wa uongo nao ni weupe, hakuna jini mweusi na hayupo tembea popote uliza kwa yeyote hata kwa waganga wa kienyeji majini+mapepo mionekano yao ni mtu wa race ya Mwarabu+mzungu kwakuwa ndio asili zao na sio weusi je kwann leo hii hawa watu wamekanusha hii kweli na kuwaaminisha mashetan ni weusi na malaika ni weupe?.
Sababu kuu ni kuwafanya watu weusi waidharau asili yao.
Baada ya wakolon kuja walisafisha nakala zote za kihistoria zilizowahusu waafrika nakala ambazo zilikuwa za maandiko ya kiroho, technolojia na mambo mbalimbali ambayo leo hii wameyabadiri na kuyafanya yaonekane wao ndio waanzilishi.
Afrika ndio Paradise ya kimwili hapa dunian ndiomaana Vurugu haziishi kwa watu weupe kugombea resources kupitia machafuko na vibaraka wao wa kisiasa.
Fungueni akili jmn someni muijue asili yenu.