Kwanini kila Mwanaume ana Nyota ( Upepo ) wa Kuwapata tu Wanawake wa Mikoa fulani, ila mingine hata afanyeje huwakosa?

Kwanini kila Mwanaume ana Nyota ( Upepo ) wa Kuwapata tu Wanawake wa Mikoa fulani, ila mingine hata afanyeje huwakosa?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Mikoa ya Wanawake wenye bahati ( upepo) nao ni wa Mikoa hii tu ifuatayo......

1. Iringa
2. Ruvuma
3. Tanga

Mikoa ambayo Kudadadeki hata nifanyeje iwe kwa Kudanganya ( Sound ) au hata nimaanishe ( niwe Serious ) hata kwa Kutoa / Kutanguliza Pesa siwapati na hata ikitokea nimewapata siusikii tena Utamu wao wa Kitandani kutokana na Kunisumbua ( Kunihenyesha ) Kwao ni wa hii Mikoa ifuatayo.....

1. Kilimanjaro
2. Singida
3. Mwanza

Ukiona kuna Mkoa ambao sijautaja hapa iwe kwa wale niwapatao kiurahisi au kiusumbufu basi jua hiyo Mikoa wanatoka Wanawake Wabaya kwa Sura na Mwili hivyo MINOCYCLINE sina muda nao japo sometimes Wakijipendekeza na Kujaa katika 18 zangu huwa Siwacheleweshi na Nawabandua ( Nawakaza ) kweli kwani hata Simba ( Mnyama ) akikosa Nyama hula Nyasi.
 
Sijawahi ona demu wa kinyalu mzuri Yani Ni irregular shape vigimbi vikubwa Mara tumbo mgongo na makalio virundikane eneo moja aloooh...plus roho ya chuki, ujeuri na gubu.
R.I.P Fing'ang'amnasi lovers 😂
 
Sijawahi ona demu wa kinyalu mzuri Yani Ni irregular shape vigimbi vikubwa Mara tumbo mgongo na makalio virundikane eneo moja aloooh...plus roho ya chuki, ujeuri na gubu.
R.I.P Fing'ang'amnasi lovers [emoji23]
Kweli
 
Watoto wakaskazini utawaweza wapi mda wote wanawaza kusaka pesa afu usisahua wengi wamenda shule pambana na wanyalu na Wa Tanga wako uko Kilimanjaro sio level zako utapasuka kichwa
 
Back
Top Bottom