Kwanini kila pakiboreshwa wateja wanakimbia?

Kwanini kila pakiboreshwa wateja wanakimbia?

Wateja walizoea style yako ya zamani,sasa umebadilisha ukaleta mpya ikawa ngumu kwa wao kuisoma.
 
Mkuuu suala la Chakula ni ladha ya msosi. Wakati ukiwa kwenye maboresho wateja wako wameshapata sehemu nyingine ya kula ambako Mapishi tayari wameyazoea huenda pia wanapata tips za dagaa, chachandu na mboga za majani bure hivyo hawana haja ya kurudi kwako wamevumbua chimbo lingine. Inshort nenda kasome mchezo wafanyacho wapinzani wako wewe uboreshe zaidi.
 
Wakuu habari
Hii kitu imenitokea juzi juzi nilikuwa na kimgahawa changu kidogo tu ila kilikuwa kinalisha watu wengi sana na ilhali mazingira hayakuwa rafiki kiafya na kifupi haikuwa sehemu yenye hadhi na kuvutia kabisa.
Nikajipanga nikapaboresha nikapajenga ili watu wakae ndani full feni na viti vizuri ila bei ikabaki ile ile.
Kilichotokea wateja karibia wote wamekimbia hawaji tena
Maandazi yanavunda kabatini ..chapati ndio usiseme zinakuwa kavuuuuu wadau nifanyeje au nilikosea kuboresha?


Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ipo sana ukiboresha mahali watu wanaogopa wanadhani ni pa bei mbaya.
Hata magenge ya vibanda yanauza kuliko mtu mwenye fremu
 
Wakuu habari
Hii kitu imenitokea juzi juzi nilikuwa na kimgahawa changu kidogo tu ila kilikuwa kinalisha watu wengi sana na ilhali mazingira hayakuwa rafiki kiafya na kifupi haikuwa sehemu yenye hadhi na kuvutia kabisa.
Nikajipanga nikapaboresha nikapajenga ili watu wakae ndani full feni na viti vizuri ila bei ikabaki ile ile.
Kilichotokea wateja karibia wote wamekimbia hawaji tena
Maandazi yanavunda kabatini ..chapati ndio usiseme zinakuwa kavuuuuu wadau nifanyeje au nilikosea kuboresha?


Sent using Jamii Forums mobile app
Weka tangazo la bei za chakula

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu habari
Hii kitu imenitokea juzi juzi nilikuwa na kimgahawa changu kidogo tu ila kilikuwa kinalisha watu wengi sana na ilhali mazingira hayakuwa rafiki kiafya na kifupi haikuwa sehemu yenye hadhi na kuvutia kabisa.
Nikajipanga nikapaboresha nikapajenga ili watu wakae ndani full feni na viti vizuri ila bei ikabaki ile ile.
Kilichotokea wateja karibia wote wamekimbia hawaji tena
Maandazi yanavunda kabatini ..chapati ndio usiseme zinakuwa kavuuuuu wadau nifanyeje au nilikosea kuboresha?


Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu kilichokutokea na mimi kimewahi kunitokea! Nilikua na ka bar kwenye kona fulani ina ka giza giza na imekaa shaghalabagala. Basi waendesha bodaboda, bajaji na vijana vijana wengi wa mtaani walikua wanapenda sana kuja mida ya jioni kupiga ulabu na nyama choma pale.
Nikaona nipaboreshe nikaita mafundi wakapatengeneza vizuri, safisha kila mahali piga rangi, funga taa nzuri mpaka barabarani, weka ma flat screen, music safi, n.k pakawa bomba mbayaa na bei sikupandisha.
Tangu nipaboreshe sikuwahi kuona tena mteja yoyote kukanyaga pale! Sio bodaboda, wala wateja wa kawaida wote wakakata miguu hadi mwisho ikabidi nipafunge tu.
 
Mkuu kilichokutokea na mimi kimewahi kunitokea! Nilikua na ka bar kwenye kona fulani ina ka giza giza na imekaa shaghalabagala. Basi waendesha bodaboda, bajaji na vijana vijana wengi wa mtaani walikua wanapenda sana kuja mida ya jioni kupiga ulabu na nyama choma pale.
Nikaona nipaboreshe nikaita mafundi wakapatengeneza vizuri, safisha kila mahali piga rangi, funga taa nzuri mpaka barabarani, weka ma flat screen, music safi, n.k pakawa bomba mbayaa na bei sikupandisha.
Tangu nipaboreshe sikuwahi kuona tena mteja yoyote kukanyaga pale! Sio bodaboda, wala wateja wa kawaida wote wakakata miguu hadi mwisho ikabidi nipafunge tu.
Poleni
 
Tuambie Ni maboresho gani umeyafanya ili tukushauri huwenda umeleta wahudumu was vimini na eneo Hilo SI wapenzi wa kuangaia mapaja ya kilamtu USITEGEMEE KUPATA WATEJA MKUU!
 
Umenena vyema sana ndg. Waliowengi wanaogopa sehemu smart sana hata kukaa tu.
Simple weka bei za vyakula nje kwenye ubao unakuwa visible. Mteja akifika akisoma na akicompare na bei ya wali atajiridhisha kuwa nothing has changed. Infacts this is one of the key factor that explain why supermarket are not doing well in Tanzania than an other countries at least for EAC. Kosa ni kufanya mabadiliko chapu chapu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumezoea kula kipindupinduini hata chipsi huku Dar wanaita chipsi vumbi...usafi sio utamaduni kwa wengi wetu
 
usije ukalogwa ukafanya marekebisho kwenye biashara ambayo imeshachanganya....lazima wateja wataingiwa na hofu..halalfu watatokomea
 
Mkuu kilichokutokea na mimi kimewahi kunitokea! Nilikua na ka bar kwenye kona fulani ina ka giza giza na imekaa shaghalabagala. Basi waendesha bodaboda, bajaji na vijana vijana wengi wa mtaani walikua wanapenda sana kuja mida ya jioni kupiga ulabu na nyama choma pale.
Nikaona nipaboreshe nikaita mafundi wakapatengeneza vizuri, safisha kila mahali piga rangi, funga taa nzuri mpaka barabarani, weka ma flat screen, music safi, n.k pakawa bomba mbayaa na bei sikupandisha.
Tangu nipaboreshe sikuwahi kuona tena mteja yoyote kukanyaga pale! Sio bodaboda, wala wateja wa kawaida wote wakakata miguu hadi mwisho ikabidi nipafunge tu.
Naomba nije inbobo kuna madini nahitaji toka kwako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom