Kasema ni dhambi km dhambi zinginee, acheni ubaguzi wa dhambi. LolPapa kasema very clearly; ushoga ni DHAMBI! Angesema vinginevyo ingekuwa ajabu! Wito #1 alioitiwa ni kuhubiri watu kuacha dhambi; na katekeleza kazi yake ya msingi, kuhubiri dhidi ya dhambi.
Mapopomaa hawawezi kumuelewaaa.Ushoga ni dhambi ila siyo kosa kisheria.
Papa alikuwa sahihi.
Papa kawafurahishaa watu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]... kimsingi Papa kagonga kwenye kiini cha tatizo badala ya kuhangaika na matokeo. Binadamu akiacha dhambi hata huo ushoga hautakuwepo. Sijui wanaomkebehi Papa walitakaje; atangaze fatwa mashoga wote wakatwe vichwa? Sio kazi ya Papa kuhubiri sheria za nchi (ipi?); bali kuhubiri watu kuacha dhambi!
Na ni ukweli sasa,. Km hamtakiii mjitundikeee.Msimamo wa papa zaidi ya mara 3 ni kuunga mkono ushoga na huwa anasema wazi kabisa ushoga siyo uhalifu, sasa wewe ndo unajidai unataka kupindisha maneno yake
Hebu weka hizo Aya tuzione...maana tangu Jana umekazana kubalansi,weka Aya tuone ushoga ulivyoruhusiwa
Kuna mwanazuoni ataileta ucjali!!!Sio mnamsema papa tu na mnasahau wengineAya gani hyo em tujuze na sisi tuisome.
Wasipo elewaa hapaa bas, wabaki na ujinga wao kichwani mwao.Wewe ni miongoni mwa mabilioni wasiomwelewa papa. Papa alisema ushoga sio uhalifu akimaanisha ushoga kama predisposition ya mtu sio uhalifu. Unajua ushoga ni hali ya mtu kiasili kuvutiwa kufanya mapenzi na mtu wa jinsia yake. Ukimhukumu mtu kwa kuzaliwa na hali au hisia hizo na kumwita mhalifu unamwonea. Ni sawa na kumhukumu kipofu kwa kushindwa kuona. Kwa hiyo papa alimaanisha kuwa na hali ushoga jambo hilo sio uhalifu ni hali ya kimaumbile ya mtu hivyo mtu ashukumiwe kwa kuzaliwa hivyo.
Kuna aya na adithi mtume anabusu midomo na ndimi za wanaume wenzie!!!!Unaona mnapaniki na kuniita mja laana!!!!Nyie mlidhani papa tu wakati adithi na aya zipo wazi kawaulizeni wanazuoni wa kiislamu wanajua ukweliAtatoa wapi huyo mjaa laana
ushoga ni dhambi kubwa na ni uhalifu mbele ya Mungu Basi.
Utaipata ucjaliAya gani hyo em tujuze na sisi tuisome.
Km huna akili na utashi wa kuchanganua mambo, hutoweza kumuelewaa papaa.Nimetoka kuisoma hyo habari mda si mrefu. Papa anasema kwamba. "mapenzi ya jinsia moja ni haki yao ya msingi ya kibinadamu lakini ni dhambi. Quote ingne anasema "ushoga ni dhambi lakini sio uhalifu" quote ingine anasema "kuna haja ya makanisa yote ya kikatoki ulimwenguni kuwaruhusu na kuwakaribisha jamii ya LGBTQ kanisani"
source:bbc swahili & CNN
sasa hapo sijui ndo tusemeje, karuhusu ushoga katika ukatoriki au hajaruhusu?
Kska adri umepaniki wakati wanazuoni wa kiislamu wamenielewa nachosema na sio maneno yangu ni aya na adithi za maswahaba wa muhamad!!!Tatizo lenu ni kwamba kuwasema watu wengine na kukashifu mnaona raha ila tukiijadili dini yenu basi mnakuja na matusi!!!Kama mnamjadili papa basi na muhamadi ajadiliwe kaka matusi ya nini sasa?????Masheikh na wanazuoni wa dini ya kiislamu wenyewe wanaelewa nachosema hapa!!!Basi na mimi nina uhakika wewe ni shoga tena mkubwa na ushahidi uko wazi kabisa wewe ulizia wataalamu watakwambia kama ulitaka kuficha hilo jambo.
Confusion. Licha ya watu wacheche kudai wamekuwa na hiyo tabia ni kama addiction. Asilimia 90 wanafanya kusudi. Na wanaamini sio dhambi na sio KOSA. WanaaminiNimetoka kuisoma hyo habari mda si mrefu. Papa anasema kwamba. "mapenzi ya jinsia moja ni haki yao ya msingi ya kibinadamu lakini ni dhambi. Quote ingne anasema "ushoga ni dhambi lakini sio uhalifu" quote ingine anasema "kuna haja ya makanisa yote ya kikatoki ulimwenguni kuwaruhusu na kuwakaribisha jamii ya LGBTQ kanisani"
source:bbc swahili & CNN
sasa hapo sijui ndo tusemeje, karuhusu ushoga katika ukatoriki au hajaruhusu?
Maelezo haya ni Kwa Mujibu wa uelewa wa nchi zilizoruhusu ushoga au uelewa wa Dunia wakati ushoga ulionekana ni immoral and unlawful act.Wewe ni miongoni mwa mabilioni wasiomwelewa papa. Papa alisema ushoga sio uhalifu akimaanisha ushoga kama predisposition ya mtu sio uhalifu. Unajua ushoga ni hali ya mtu kiasili kuvutiwa kufanya mapenzi na mtu wa jinsia yake. Ukimhukumu mtu kwa kuzaliwa na hali au hisia hizo na kumwita mhalifu unamwonea. Ni sawa na kumhukumu kipofu kwa kushindwa kuona. Kwa hiyo papa alimaanisha kuwa na hali ushoga jambo hilo sio uhalifu ni hali ya kimaumbile ya mtu hivyo mtu ashukumiwe kwa kuzaliwa hivyo.
Aya gani hizo? Hebu zitaje ?Usisahau waislamu kuna aya zinaruhusu hayo mambo!!!!!Hata kiongozi wao kuna aya anasema alikua na furaha alipobusu midomo ya mwanaume mwenzie
Hebu zitaje mkuuKaka kuna aya na adithi muhamad anasifia midomo ya mwanaume mwenzie kua ukimbusu unaenda akhera!!!Wanazuoni wanajua nachomaanisha
Unatamani kweli kusikia yanayokidhi matamanio yako badala ya UKWELI. Dhambi ndio kiini cha matatizo yote duniani. Acha dhambi and automatically ushoga utapotea! Got it?Achana na kanisani, nimeuliza kwa level ya familia yako, jibu kwanza, kwa kufuata mapokeo hayo ya papaa wenu
Matusi yako wapi na unajuaje mtu kapaniki ? yaani mtu kusema ukweli kuwa ana uhakika wewe ni shoga na jambo hilo liko wazi ni matusi wakati wataalamu wanaelewa ? nikicheki avatar yako pamoja na ushahidi mwengine ambao upo kwa wanazuoni na wataalamu ni uthibitisho tosha kwa haya ninayosema .Kska adri umepaniki wakati wanazuoni wa kiislamu wamenielewa nachosema na sio maneno yangu ni aya na adithi za maswahaba wa muhamad!!!Tatizo lenu ni kwamba kuwasema watu wengine na kukashifu mnaona raha ila tukiijadili dini yenu basi mnakuja na matusi!!!Kama mnamjadili papa basi na muhamadi ajadiliwe kaka matusi ya nini sasa?????Masheikh na wanazuoni wa dini ya kiislamu wenyewe wanaelewa nachosema hapa!!!