Kwanini kila video ya Ubongo Kids YouTube ina chata ya Upinde wa Mvua au rangi za Upinde wa Mvua?

Kwanini kila video ya Ubongo Kids YouTube ina chata ya Upinde wa Mvua au rangi za Upinde wa Mvua?

TensorFlow

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2020
Posts
993
Reaction score
1,286
Hili ni jambo jipya kwa sasa kwa videos za Ubongo Kids. Hapo awali hazikuwa na hizi rangi za upinde wa mvua. Lakini hivi karibuni naona videos zao zote YouTube ambazo zinaenda kwa jina la AkiliAkili zina rangi za upinde wa mvua!

Ubongo Kids wametokea kuaminiwa kwa videos zao zinazoburudisha na kufundisha.

Ubongo Kids inafuatiliwa na watoto na shule kutoka nchi kadhaa Africa, ilianzia Tanzania sasa inasambaa bara zima.

Angalia na thibitisha nilichoandika kwa kuangalia videos zenyewe, mfano:



 
Rainbow ilikuwepo kabla ya hii movement, na sisi wazee tuliosoma kuanzia miaka ya 90 tunajua jinsi gani enzi za utoto wetu livyokuwa tunavutiwa sana na rangi za upinde chekechea na la kwanza tunaimba nyimbo za rainbow.

And by the way hizo rangi ulizoweka hazijapangana kama bendera za hiyo movement.

Kwa mwendo huu basi kila kitu kinachovutia kitageuzwa kuwa chao.
Bendera yao inaanza na red inaisha na purple.
 
Rainbow ililuwepo kabla ya hii movement, na sisi wazee tuliosoma kuanzia miaka ya 90 tunajua jinsi gani enzi za utoto wetu livyokuwa tunavutiwa sana na rangi za upinde chekechea na la kwanza tunaimba nyimbo za rainbow.

And by the way hizo rangi ulizoweka hazijapangana kama bendera za hiyo movement.

Kwa mwendo huu basi kila kitu kinachovutia kitageuzwa kuwa chao.
Bendera yao inaanza na red inaisha na purple.
Rainbow hata kwenye Biblia ina maana kubwa na ya msingi. Issue ni namna kila mtu anavyoitumia.
 
Hio rangi wale jamaa wajanja sana wameiwahi wakati waliikuta angani ikipendeza zake wakaona waichukue ila haina ubaya kabisa ni rangi nzuri yenye maana ya kuzuia gharika.

Kuichukia rangi ya upinde ni sawa na wakristo kuchukia mwezi na nyota kisa kuna dini inavitumia kama nembo yake

Au waislamu kuichukia alama ya jumlisha kisa wakristo wanaitumia kama msalaba
 
Itoshe tuu waroto wako wapate elimu mengine qchana nayo
 
Sio kila upinde wa mvua ni uchoko, ni uchoko pale tu unapohusishwa na uchoko
Nahofia kwamba wahusika wanatoa hela na kuwaambia waanze kuweka kwa mbali, tukishazoea wanafanya kweli. Hizo rangi wala rainbow hazikwepo kwenye videos za mwanzo.
 
Hili taifa bado kuna wajinga wengi sana sasa hizo rangi ndio ushoga?

Swala ni kuķataa rangi au kukataa tabia mbona kama tunavamia vitu tusivyoelewa.
Huwezi vaa jezi ya simba KWA wanayanga,KILA jezi Ina timu yake
 
Sijajua lengo lao labda kwa sababu watoto wanapenda rangi rangi. Halafu mpangilio wa hizo rangi hauendani na mpangilio wa bendera ya pride
Hauendani au unaendana, sijui. Lakini hebu angalia kama kweli kila video kwa context inahitaji hizo rangi!
 
Hao ubongo kids wafadhili wao ndio hao hao speaker wazi.
90 % ya katuni zimejaa uharibifu, spiderman wa siku hizi ni shoga
 
Hili ni jambo jipya kwa sasa kwa videos za Ubongo Kids. Hapo awali hazikuwa na hizi rangi za upinde wa mvua. Lakini hivi karibuni naona videos zao zote YouTube ambazo zinaenda kwa jina la AkiliAkili zina rangi za upinde wa mvua!

Ubongo Kids wametokea kuaminiwa kwa videos zao zinazoburudisha na kufundisha.

Ubongo Kids inafuatiliwa na watoto na shule kutoka nchi kadhaa Africa, ilianzia Tanzania sasa inasambaa bara zima.

Angalia na thibitisha nilichoandika kwa kuangalia videos zenyewe, mfano:



Mjinga wewe Rainbow ipo kuna taasisi kibao zinatumia Rainbow hata kabla ya kutumiwa na Gay, hizi akili za kushikiwa zitaisha lini?
 
Khaaa! Basi saivi upinde una-trend Tanzania kama ilivyotrend 'filimasoni' kipindi cha Kanumba 😄 😄 😄 kwani imekuwaje? Maana threads za upinde nahisi zimeshafika 1000!
 
Rainbow ililuwepo kabla ya hii movement, na sisi wazee tuliosoma kuanzia miaka ya 90 tunajua jinsi gani enzi za utoto wetu livyokuwa tunavutiwa sana na rangi za upinde chekechea na la kwanza tunaimba nyimbo za rainbow.

And by the way hizo rangi ulizoweka hazijapangana kama bendera za hiyo movement.

Kwa mwendo huu basi kila kitu kinachovutia kitageuzwa kuwa chao.
Bendera yao inaanza na red inaisha na purple.
Kuna taasisi kibao zinatumia rainbow hata kabla ya gay
 
Hauendani au unaendana, sijui. Lakini hebu angalia kama kweli kila video kwa context inahitaji hizo rangi!
Inawezekana ni kama utambulisho wa video zao...
Mimi naona tupambane na tabia maana mtoto mdofo ambaye akili yake haijawa diluted anaona ni rainbow tu hata hajui hayo mengine. Hiyo ni rainbow tu siku mfano mkuu wakichagua ndizi ni nembo yao, basi ina maana ndizi zote tutazipoga marufuku kabisa wala hatuli tena
 
Back
Top Bottom