Kwanini kila video ya Ubongo Kids YouTube ina chata ya Upinde wa Mvua au rangi za Upinde wa Mvua?

Hatutaki sasa. Kuna watu wamechukua hati miliki ya hizo rangi na kutumia kwa namna nyingine. Zamani pia zilikuwa rangi za rastafarians.
 
Hatutaki sasa. Kuna watu wamechukua hati miliki ya hizo rangi na kutumia kwa namna nyingine. Zamani pia zilikuwa rangi za rastafarians.
Tukatae sisi tuseme ni za kitu kingine. Siku wakisema mahindi ni nembo yao tutaacha kula mahindi
 
Bendera yao inaanza na red inaisha na purple.
Yaan haijarishi imeanza njano au imeishia blue ukivaa tu hizo rangi rangi hata tai tu au kitambaa unaonekana wewe ni sapota wa mashoga, hata km hujui alafu wamezipiga machata, kuna jamaa niliona amevaa imepigwa chata moja hadi nikashikwa na mgagasiko nikajiuliza au huyu hajui kingereza?
 
Nahofia kwamba wahusika wanatoa hela na kuwaambia waanze kuweka kwa mbali, tukishazoea wanafanya kweli. Hizo rangi wala rainbow hazikwepo kwenye videos za mwanzo.
Naunga mkono. Kwa nini wazilete kipindi hiki? Kabla ya hawa wati kuchagua hawakua wanaziweka. Baada ya hawa watu kuchagua ndio wakaanza kuziweka.
 
Kwa sasa kuvaa haiwezekan, ila mkuu assume kesho wanachagua ndizi ndio nembo yao, utaacha kula ndizi au kuwaonyesha watoto wako picha na ndizi zenyewe?
Maana tunakoelekea kila ktu kitageuka chao
 
Hili taifa bado kuna wajinga wengi sana sasa hizo rangi ndio ushoga?

Swala ni kuķataa rangi au kukataa tabia mbona kama tunavamia vitu tusivyoelewa.
Hizo rangi ni alama yao pia. Tunapiga vita vyote viwili.
 
Tunako elekea sasa hata huu wa Mvua ukionekana tu, Watu Wataukemea kwa jina la Yesu kristo....

Anga na mawingu Vita kemewa kwa damu ya yesu....
 
Tangu uujue upinde wa mvua kwa tafsiri nyingine imekuwa balaa, upinde wa mvua haukuletwa na mashoga, upo nchi zote duniani zinazokuwa na mvua. Watoto hupenda vitu vyenye rangirangi zinazong'aa kama vipepeo, wadudu na upinde wa mvua, kama unaona vipi mshauri rais apige marufuku upinde wa mvua kuonekana Tanzania.
 
Kwa sasa kuvaa haiwezekan, ila mkuu assume kesho wanachagua ndizi ndio nembo yao, utaacha kula ndizi au kuwaonyesha watoto wako picha na ndizi zenyewe?
Maana tunakoelekea kila ktu kitageuka chao
Mimi hizo rainbow nilikua nazipenda zilichorwa kanisani nakwambia, Mambo nuhu na safina wakachora picha na upinde toka Sunday school naelewa Ila ilikuja ikafutwa imechorwa nyingine baada ya maboresho, sasa nilipoona hawa mashoga wamechukua umo umo nikaona daah tumekwisha
 
Vipi katuni za kinaneno enzi izo tbc, kipindi Cha watoto
 
Marangi rangi watoto wanapenda rangi rangi... Mm mwenyewe wakati mdogo tulikiwa tuna hadi nyimbo tunaimba about rainbow and its colors.
Hawa wanatafuta vitu wanavyopenda watoto.
Ila kama akili ya mtoto haijachafuliwa yeye ataona ni rainbow tu na itakuwa ni rainbow kweli.
Sema mkuu tunapigana na rangi wakati media zimeajiri haqa watu na wanajulikana.
Tunapigana na rangi wakati baba umejaza series za empire sijui series gani zimejaa ushoga.
Muda mwingine hatujui adui yetu halisi ni nani.
 
Wafadhali wao ni hao kweli. Hata ukiGoogle utapata ushahidi who funds them.
Nafikiri tutumie pila akili tusibakie kushabikia mambo mengine bila hata maana
Ujue rangi za Upinde zipo siku zote na zimekuwa zikitumika tangu karne za Nyuma. Fikiria Upinde ulivyo unique, unafikiri ni vitu vingapi vina hizo rangi ukifuatilia kuanzia karne zilizopita?
Sasa kwa kuwa mashoga wamejipa hizo rangi tena kwa mpangilio wao maalumu; haimaanisha ukiona tu rangi ufikiri ni ushoga
Huko mtaani, upinde ni rangi maarufu kwa shanga za Kimasai, mashuka ya kinamama, lakini pia kuna mitandio, Vikoi nk ila havikuwekwa kwa maana yoyote ile zaidi ya urembo.
Mfano: hivi mtu akikuuliza utaje Mpango wa rangi za upinde wa kuwakilisha wa ushoga unaufaham?
Tutumieni akili kuepuka kuwa watumwa wa kila kitu..
 
Hatari sana mkuu, kwa hio rangi tuziache
 
🚮
 
Hizo rangi ni alama yao pia. Tunapiga vita vyote viwili.
hizo rangi zipo miaka na miaka hata kabla ya huu ujinga wa ushoga kuwepo sasa kwanini unahukumu rangi badala ya tabia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…