Kwanini King Kiba hakuimba wimbo wake wa Aje?

isho_boy

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2015
Posts
2,145
Reaction score
1,892
Mliofatilia tunzo za MTV jana mtakuwa mashahidi kuwa king wa bongo flava alipaform wimbo wa sauti sol ule wa unconditionally bae so kutoka apo nimejiuliza sana kwa nn hakupafom wimbo wake maarufu wa aje...??

Au aliogopa jukwaa kupafom peke yake au wimbo wake watu hawaufaham alhofia watu kupoteana au kuna nn kilichpelekea kuomba back up kutoka kwa sauti sol
 
alialikwa kuperform na show iluka yake mbn emtee aliiimba nyimbo alioimba na wizkid tu na wizkid alikua on stage tayari acheni ushamba wa utimuuu hatutoendeleaa haki ya nani tenah aaogope nn ss wasanii weng jana walipaform nyimbo walizo shirikiana bhc mbn dj maphiroso aliperform nyimbo na wizkid tu kwan hana nyimbo nyngne by the way liv band ndo mziki walioangalia jana mashaidi wizkid kaimba live yake mliona ilivyokuwa
 
Tofaut ya dj maphorisa na kiba ni iv dj maphorisa ile ni nyimbo yake kamshirikisha wizkid lkn kwa kiba ule ni wimbo wa sauti sol yy alishirikishwa tu cyo wake ndo maana nikauliza kwa nn asiimbe wimbo wake au aliogpa atazngua
,
 
Kiba hakualikwa kufanya performance yake bt alienda kuwasindkza rafk zake saut sol
 
o
Tofaut ya dj maphorisa na kiba ni iv dj maphorisa ile ni nyimbo yake kamshirikisha wizkid lkn kwa kiba ule ni wimbo wa sauti sol yy alishirikishwa tu cyo wake ndo maana nikauliza kwa nn asiimbe wimbo wake au aliogpa atazngua
,
ooooooh kiba performance alikuaconfirmed hyo tucbishane ingia page ya mtv base utaona pale naona wengne wajipa moyo kwa kulipinga ilo maana hata salaam aliongea kwamba weekend watakutana kule akiperform ila kilichotokea muda ndo maana hata kaka mond alipaform nyimbo moja tu na wengi nyimbo moja ni muda waliokuwa wamepewa ndo tatzo aliopewa muda mwing ni wizzy pekee yake wengne wte waliokuwepo dakka chache sana
 
If she tripping leave bitche alone
That's why you never catch Niger sober.
Hii track naielewa mpaka kesho....hasa verse ya aka na na ya mwisho ya emtee.
 
If she tripping leave bitche alone
That's why you never catch Niger sober.
Hii track naielewa mpaka kesho....hasa verse ya aka na na ya mwisho ya emtee.
dont https://jamii.app/JFUserGuide around i gat ma pistol on me ... so much money i gat money on me .... aka anakwambia am catching while niggaz catch emotion
 
Mmmh kwani si na yeye alikuwa miongoni mwa performers ama??
Hata asingepaform Sauti Soul wangekamua tu. Kiba alipafom kupitia mgongo wa Sauti Soul ndo maana hakuweza kupiga wimbo wake
 
Tatzo linakuja kwa nn hakupafom wimbo wake akapafom wa sauti sol
 
dont **** around i gat ma pistol on me ... so much money i gat money on me .... aka anakwambia am catching while niggaz catch emotion
Am catching flights while Niggers catch emotions
These flashing lights will make you lose your focus
That's the reason I'm so antisocial
Season after season cheese at my disposal


Emtee.
There they go talking like they know
Me and you we are not the same bro.

Emtee alitokea kwenye hii track mkuu.
 
dont **** around i gat ma pistol on me ... so much money i gat money on me .... aka anakwambia am catching while niggaz catch emotion
Am catching flights while Niggers catch emotions
These flashing lights will make you lose your focus
That's the reason I'm so antisocial
Season after season cheese at my disposal


Emtee.
There they go talking like they know
Me and you we are not the same bro.

Emtee alitokea kwenye hii track mkuu.
 
Ndo nn icho???
 
Diamond kamloga Kiba asiperfom nyimbo yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…