kipapi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 1,059
- 1,390
Majibu ni mengi sana uliyopata. Ila kama utakuwa unataka kujua kweli jibu ni hili;Tatzo linakuja kwa nn hakupafom wimbo wake akapafom wa sauti sol
"Muda kuwa mchache, na hii ukiangalia utagundua performers karibu Wote waliminywa na muda isipokuwa Wizkid pekee.
Ali Kiba ilimbidi afanye chaguzi kama atapanda pekee au atapanda na Sauti Sol. Nikweli kabisa AliKiba alikuwa confirmed performer lakini ingekuwa ngumu kwake kupanda stejini Mara mbili yaani kuimba wimbo wake wa "Aje" halafu apande tena kuimba "Unconditional bae"
Nafikiri hizo facts zinakutosha kwa ufupi ila kama unataka Uzi wako ujae comments endelea kubisha.