Kwanini kipindi cha Orijinal Komedi hakionyeshwi kwenye luninga siku hizi? Joti asema haya

Kwanini kipindi cha Orijinal Komedi hakionyeshwi kwenye luninga siku hizi? Joti asema haya

Huenda wamepigwa stop hao na utawala wenyewe c unauona mkuu!! Kukosolewa hovyo hovyo ni mwiko
 
%25255BUNSET%25255D.jpg

Kwako mfwatiliaji wa mabingwa wa kuchekesha wanaoishikilia rekodi ya wachekeshaji waliotazamwa sana kwenye TV nchini Tanzania kuanzia time hiyo ya Ze Comedy mpaka Orijino Komedi walivyokuwa wanawafanya watu wawahi TV zao kila Alhamisi jioni.

Ni kitambo kidogo hatujawaona Orijino Komedi kwenye TV (TBC 1) na inawezekana maswali tuliyonayo ni mengi lakini hakuna hofu tena maana tumempata Joti na amekubali kuongelea kwa ufupi.

‘Kama kundi tuna taratibu zetu na ndio maana tumejaribu kutumia muda wa mwaka mmoja kupumzika maana toka tuanze kufanya kazi hatujawahi kupumzika, tulivyopumzika pia sio kukaa kimya tukaangalia project za kila mtu binafsi na ndio maana unaona kila mtu na shughuli zake‘ – Joti

‘Ukimfatilia Mpoki kuna shughuli zake anafanya na inajulikana, Masanja pia vivyo hivyo… na mimi nimefungua Youtube channel yangu ya Joti TV, nafikiri mwaka huu tunaweza kurudi kazini pia.

Je mazungumzo ya huyu bwana mdogo yana ukweli? au baada ya huu utawala wa kiimla walipigwa stop,mpaka watakapopangiwa vyakuigiza. karibuni kwa mjadala
Conflicts of interest hap ndo tatizo.. Joti yupo na mkataba tigo.. Mpoki yupo na mkataba vodacom.. Sponsorship ya kipindi inakuwa ngumu hapo kwa watu hao wawili ndo mana inabidi waache ubinafsi.
 
Vijembe,dharau,majivuno vimewashusha.

Ile make up anayopakwa joti ni too much hata kichaa hawezi kucheka kwa aina yao ya comedy. Wakubali ukweli wamefulia kisanaa watulie huko huko kwenye shughuli zao zinazowapatia kipato kwa sasa.
 
Pia kuna ka bifu ka chini chini miongoni mwao hasa nani awe juu(maslahi,heshima,kimaamuzi) . Tofauti na zaman ustaa wao ulikuwa na mlinganyo sawa.
Conflicts of interest hap ndo tatizo.. Joti yupo na mkataba tigo.. Mpoki yupo na mkataba vodacom.. Sponsorship ya kipindi inakuwa ngumu hapo kwa watu hao wawili ndo mana inabidi waache ubinafsi.
 
Hiki kipind kilikua kitamu
Na kinavutia,wakat kikiwa eatv
 
Hahahahaaaa, niko kwenye daladala naelekea home, ila kwa koment hii uvumilivu umenishinda imebidi nicheke tu, mengi zaid nawaachia wataalam waendelee kutililika.
Mkuu! Kwani wewe huna gari? Jf wengi tunamiliki magari.
 
kilimo burudani [HASHTAG]wakuvwanga[/HASHTAG]
 
Watu wote walioipigia debe Ccm Mungu amewalaani bongo muvi chali bongo fleva Inachungulia Wema na Sepetu nao wanatumia mtondoo
 
%25255BUNSET%25255D.jpg

Kwako mfwatiliaji wa mabingwa wa kuchekesha wanaoishikilia rekodi ya wachekeshaji waliotazamwa sana kwenye TV nchini Tanzania kuanzia time hiyo ya Ze Comedy mpaka Orijino Komedi walivyokuwa wanawafanya watu wawahi TV zao kila Alhamisi jioni.

Ni kitambo kidogo hatujawaona Orijino Komedi kwenye TV (TBC 1) na inawezekana maswali tuliyonayo ni mengi lakini hakuna hofu tena maana tumempata Joti na amekubali kuongelea kwa ufupi.

‘Kama kundi tuna taratibu zetu na ndio maana tumejaribu kutumia muda wa mwaka mmoja kupumzika maana toka tuanze kufanya kazi hatujawahi kupumzika, tulivyopumzika pia sio kukaa kimya tukaangalia project za kila mtu binafsi na ndio maana unaona kila mtu na shughuli zake‘ – Joti

‘Ukimfatilia Mpoki kuna shughuli zake anafanya na inajulikana, Masanja pia vivyo hivyo… na mimi nimefungua Youtube channel yangu ya Joti TV, nafikiri mwaka huu tunaweza kurudi kazini pia.

Je mazungumzo ya huyu bwana mdogo yana ukweli? au baada ya huu utawala wa kiimla walipigwa stop,mpaka watakapopangiwa vyakuigiza. karibuni kwa mjadala
Jibu liko wazi,,,,, hawa wanatafunwa na dhambi ya kutukana watu kwenye kampeni za mwaka 2015.. Angalia wote walioishabikia ccm na kutukana watu wamekwisha
 
Siasa pia huwa zinaua vipaji.kitendo cha wao kujihusisha kwenye makampeni kimewapotezea umaarufu na washabiki wengi.Mimi kwanza siwataki tena.wakafie mbali huko
 
Back
Top Bottom