Kwanini kitabu cha Enoch kinapingwa vikali na Wanathiolojia?

Wapi imeandikwa kuwa wati weupe wametoka kwa malaika.... Au kitabu cha Henoko kimemuongelea Nuhu kama Nuhu kuhusu issue ya weupe!!! Kma ni hivyo kwanini usiamini Nuhu alikuwa albino ila sio mzungu au mweusi??

Yaani hoja yako kuwa watu weupe wametokana na malaika unatoa mstari gani ili twende pamoja
 
Sasa hapo bosi unazungumzia imani jina la mungu ni imani ila mungu humfaamu wala hujawahi mshuhudia so ilikuwa ni IMANI.
 
Maandiko ya mwanzo katika bibilia yaliandikwa na nani?,
 
ulivyofanya utafiti wa awali endelea hivyo hivyo kufanya utafiti ili ujiridhishe na hiyo ''eti wanasema... ''
lisemwalo lipo mkuu.acha dharau.kingine.apo ulipo mengi unayojiamini unayafahamu umeambiwa.na waliokuambia waliambiwa.soo usidharau kitu mtu anachokileta hapa kama a matter of concern...
 
Sasa hapo bosi unazungumzia imani jina la mungu ni imani ila mungu humfaamu wala hujawahi mshuhudia so ilikuwa ni IMANI.
Ok wewe ulitaka umuone uso kwa uso?? Basi naweza kukujibu SIJAWAHI.... Hata wanaoabudu mizimu hawajawahi iona uso kwa uso ila wanaiona PRESENCE ya hiyo mizimu kwenye maisha yao hivyo!!

Hivyo kumuona Mungu haiwezekani kimwili maana yupo kiroho zaidi ni sawa na UKIMWI hakuna aliyewahi kuuona VVU macho kwa macho ila mnaweza ona athari yake kwenye mwili wa binadamu na ndio maana tunaamini UKIMWI upo hivyo ukienda kwenye maombi na ibada au tafakuri ''unamuona'' Mungu kupitia ishara mbalimbali nmekupa mfano wangu nimewahi nyongwa na JITU nikakaribia kufa kabisa ila nlipoita jina la Mungu lile JITU liliniachia mara moja na kutoweka!! Sasa kwa muktadha huo naweza kusema NIMEMUONA MUNGU KUPITIA ISHARA A,B,C....D
 
iyo ni IMANI.
 
Maandiko ya mwanzo katika bibilia yaliandikwa na nani?,
Sio mwanzo tu kama hoja yako ni kujifichua hapo ila kuanzia Isaya.... Jeremiah.... Micah.... Kina daudi etc wanachosema kinaendana na Genesis ilihali haviendani kabisa na anachosema huyo aliyeandika kitabu cha Henoko
 
Mwanzo 6:1-8
[1]Ikawa wanadamu walipoanza kuzidi usoni pa nchi na wana wa kike walizaliwa kwao,

[2]wana wa Mungu waliwaona hao binti za wanadamu ya kuwa ni wazuri; wakajitwalia wake wo wote waliowachagua.

[3]BWANA akasema, Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye naye ni nyama; basi siku zake zitakuwa miaka mia na ishirini.

[4]Nao Wanefili
walikuwako duniani siku zile; tena, baada ya hayo, wana wa Mungu walipoingia kwa binti za wanadamu, wakazaa nao wana; hao ndio waliokuwa watu hodari zamani, watu wenye sifa.

[5]BWANA akaona ya kuwa maovu ya mwanadamu ni makubwa duniani na kwamba kila kusudi analowaza moyoni mwake ni baya tu sikuzote.

[6]BWANA akaghairi kwa kuwa amemfanya mwanadamu duniani, akahuzunika moyo.

[7]BWANA akasema, Nitamfutilia mbali mwanadamu niliyemwumba usoni pa nchi; mwanadamu na mnyama, na kitambaacho na ndege wa angani; kwa maana naghairi ya kwamba nimewafanya.

[8]Lakini Nuhu akapata neema machoni pa BWANA...


HAPO INAJIDHIHIRISHA WAZI BINADAMU SI WANA WA MUNGU WANA WA MUNGU NI MALAIKA PEKEE.
 
iyo ni IMANI.
Kwahiyo wewe ulitaka nimuone face to face wakati Biblia inasema kwa utukufu wake ukimuona uso kwa uso HAKIKA UTAKUFA!!

Hata wana waisrael walitaka wamuone kma wwe unavyotaka.... Ila walipoona linaanza tetemeko zitro na radi za maana wakaomba poo na wakamwambia Mussa kuwa wameshaamini hivyo asishuke

Ni kama Medusa wa greek mythology yaani ukimuangalia tu na uso wake unaganda kuwa jiwe la chumvi .....
 
Hebu tupunguze ubishi tuzidi kupiga hatua kadha wa kadha...binadamu tusijing'ang'anize nasi ni wana wa mungu wakati sisi ni walaamiwa.

Origin yetu ni ya laana ila sasa tujitambue wapi tuendako ni salama na nini tufanye ili tuweze kupunguza machafu tuliyo nayo...


Tutazidi saka mchawi nani wakati wachawi ni sisi wenyewe.....never give up tuwashe moto...
 
Mkuu umechimba sana! ndo maana hata vyakula sahihi vimepungua duniani tukaanza kula ugali na ubwabwa (starch in general) maziwa na nyama kama chakula hivi ndo vinatupa maradhi mengi.

Kama kweli Mungu ndo ametupa hivi ndo viwe vyakula basi God is not fair.Yeye alitupa matunda na mboga tu viwe vyakula, leo tuna hybrid ndo chakula. Twafaaa
 
Kwenye kitabu cha enoki ameandika kwambali alipokwenda mbinguni alionyeshwa mwisho wa dunia nina mashaka na hii dunia kuwa hata sio tufe HILI NALA TATIZO hiki kitabu cha enoki kina jambo la siri sana.
 
Kila nikisoma hicho kitabu nabaki kichwa kinauma,inaonekana mwandishi alikuwa na knowledge ya ulimwengu tofauti na tunavyojifunza na kuelewa sasa hivi.

Kupingwa hiki kitabu na kanisa kuna jambo kubwa, si bure.
 
Mkuu humu watu ni vifuata upepo na hawajui wanamini nini, akiona mtandaoni wameandika hv yy anachukua na kukariri.
Good point man most Africans are so dull
They almost take everything written in internet as facts and its so tough arguing with them
 
We ndo uelewi kabisa safina ilichukua 120 years hata watu wanashindwa????? Ingawa sijui hip fact yako ya wtu tano hadi saba umeitoa wapi
 
Kama mungu alimuumba mtu mweusi kabla ya hao fallen angels kuwaingilia kimwili binadamu(blacks) kwa nn idadi ya mtu mweupe ni kubwa zaidi ukilinganisha na mweusi?
 
Nimefatilia ur arguments nimegundua uwezo wako wakufikiri ni wakutilia mashaka


Kwanza u lack basic bible knowledge and pili sina uhakika hata kama hivi vitabu huwa unasoma nahisi ni mfuata upepo ,

Nahisi hata Mimi nikiandika kitabu kizuri kuhusu dini na kujiita kuwa Mimi ni yohana au Ibrahim utaamini kabisaaa

Tatu anae take time Ku argue nawewe is surely wasting his/her precious time
 
kuna majadiliano yaliwahi kufanywa na CNN kuhusiana na kuharibiwa old bible ambayo inasemekana ilikuwa inamzungumzia zaidi mtu mweusi na pia wazungu ni uzao uliolaaniwa uliotokana na wale malaika waliowaingilia watoto wa binadamu
Kwanini mnaenda kwa wazungu tyu kwani wachina na waarabu ni watu weusi???
Hata waarabu ni weupe kama wazungu tyu sasa mkiamini hivo yani inamaanisha Mungu aendelee kutuma viumbe vyenye laana kuleta ujumbe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…