Hapana Orthodox ni dini ya mda mrefu sana hata kwenye mtakuso wa kwanza mtaguso mwaka 325 walikuwepo na Coptic, pia walikuwe pamoja na madhehe ya mwanzo unaweza Google ila Orthodox haimtambui papa kama kiongozi wao na walikuwa hawana uhusiano mzuri na katoliki hadi mwaka jana papa alipomtembelea kiongozi mkuu wa Orthodox
Sent using
Jamii Forums mobile app