Kwanini kitabu cha Enoch kinapingwa vikali na Wanathiolojia?

Kwanini kitabu cha Enoch kinapingwa vikali na Wanathiolojia?

Unajua kuwa hata shetani naye ni wakiroho na alikuwa na jeuri ya kumjaribu Bwana Yesu kwa kutumia maandiko haya ya hii Biblia ambayo mwasema imechakachuliwa, si mara moja.

Hakutumia hayo ya kitabu cha Enoch wala Yaashari. Mpaka pale Yesu alipomwambia imeandikwa katika maandiko matakatifu kuwa, ""usimjaribu Bwana Mungu wako" ndipo shetani akaufyata. Sasa wewe kujua spiritual aspect ya Biblia yote mimi hainihusu.

Anaye nihusu mimi ni Yesu tu basi. Nani kakuambia wokovu unapatikana kwa kujua historical geographical sijui na nini tena, acha hizo bana. Wokovu unapatikana kwa njia ya Imani ukakiri ukatubu ukampokea Bwana Yesu kwa kubatizwa.


Na washawasha!

Siri ya Mungu from the fall of man to the second coming of Jesus I can give you the spiritual side of it from one book to the other. Jambo usilolijua ni kuwa katika biblia kuna historical, environmental, spiritual, cultural and geographical issues.

Ukideny hizo huwezi kuufikia utakatifu na kuijua siri ya wokovu.



Mkuu haya mambo ya ajabu sana. Ukisoma kitabu cha Yashari utagundua kuwa kitabu cha mwanzo ni kama summary ya kitabu cha Yashari. Nina soft copy yake. Ikiwa unahitaji njoo inbox nipe email yako nitakutumia.
 
Wapendwa, msidanganyike. Enoki alikuwa na vitabu viwili. Cha kwanza, ni mile kilichohusika na majina ya malaika wote , ukiwa ni pomaja na wale majemadari 72 waliofukuzwa mbinguni. Kitabu hiki, ndicho kinachotumiwa na waganga, na hata wahubiri wa makanisa ya sasa katika kazi ya utoaji wa mapepo. Waganga Hawa, pia hutumia vitabu viwili vya mfalme sulemani alivyoviandika na kuvitumia katika mambo ya uuguzi. Kwa hivyo,kitabu cha Enock cha majina ya malaika, hakina faida yoyote kwa Mtu asiyekuwa na mambo ya uganga.wanaokitumia kitabu hiki, ni wale wanaotaka kutumia watu vipande, na kutibu kwa njia ya uganga. Sasa kama mkristo, unakatazwa kutafuta msaada kutoka kwa watu, viumbe vilivyoko mbinguni,(malaika), ya nini kuhangaika na kitabu chenye majina ya malaika?. Kitabu cha pili cha Enock ni kitabu kinachohabari zote za maisha na kazi aliyoifanya Bw. Yesu. Yaani vitabu vya Injili (Mathayo, Marko, Luka , na Yohana. Maelezo ni Yale yale , tofauti ni kuwa badala ya jina la Yesu imeandikwa "kiongozi wa watu".) Hivyo hakukuwa na sababu yoyote ya kuhangaika na kitabu cha Enock . Anayetaka kusoma kitabu cha pili cha Enock, asome Injili za mathato, Marko, Luka, na Yohana,.Achana na vitabu vya Enock vitakutenga na jina tamu, la Yesu maana wa Mungu Aishiye milele.
Sasa hiyo itakuwa summary ya kitabu cha Enock......

Sasa Summary na kitabu chenyewe kipi bora??



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna nadharia nyingi bout the book of enoch inasemekana kilitolewa na mungu mwenyewe coz kilikua kinaelezea conflict btn fallen angels na binadamu so kilikua kinaelezea namna ya uundaji mbalimbali wa silaha ambazo zingefanya dunia iwe sehemu mbaya zaid ya sasa kwamana ya vita inasemekana that waz one of a reason enoch kuchukuliwa na mungu pasipo kupata umauti ni binadamu pekee ambaye hakufa fatilia kitabu cha mwanzo so alichukuliwa ili kuprevent the knowledge of creating weapons isisambae sana though inasemekana baadhi ya fallen angels walikua na baadhi ya maandiko ya kitabu hicho n still cursed on earth working secret try be like God by destroying wat created by him ndo vitu kama uwepo wa powerful weapons kama nuclear etc
Kwahiyo Elia alikufa? Alionja mauti?
 
Unajua kuwa hata shetani naye ni wakiroho na alikuwa na jeuri ya kumjaribu Bwana Yesu kwa kutumia maandiko haya ya hii Biblia ambayo mwasema imechakachuliwa, si mara moja. Hakutumia hayo ya kitabu cha Enoch wala Yaashari. Mpaka pale Yesu alipomwambia imeandikwa katika maandiko matakatifu kuwa, ""usimjaribu Bwana Mungu wako" ndipo shetani akaufyata. Sasa wewe kujua spiritual aspect ya Biblia yote mimi hainihusu. Anaye nihusu mimi ni Yesu tu basi. Nani kakuambia wokovu unapatikana kwa kujua historical geographical sijui na nini tena, acha hizo Bwana. Wokovu unapatikana kwa njia ya Imani ukakiri ukatubu ukampokea Bwana Yesu kwa kubatizwa.


Na washawasha!
Ni kwa nini unaamini wewe tu ndio uko sahihi? Sisi wengine tunawasoma wote na ukweli uko wazi kwa tusiolewa mvinyo wa dini.
 
Ni kwa nini unaamini wewe tu ndio uko sahihi? Sisi wengine tunawasoma wote na ukweli uko wazi kwa tusiolewa mvinyo wa dini.


Wote tunasoma lakini tatizo unayasoma hayo maandiko kwa muongozo utokao kwa nani, Mungu au shetani? Hilo la kusema najiona niko sahihi hayo ni maoni yako. Mimi na changia hoja kutokana na ilivyotolewa hapa.

Mfano mtu anasema "enock ni binadamu pekee" kaulizwa anajua Biblia hiyo hiyo inazungumzia Eliya? Au Melkizedeki kuhani na Mfalme ambaye Abrahamu alimtolea fungu la kumi ya alivyoviteka kutoka kuwashinda wafalme wa ile nchi ya ahadi katika vita.

Nimeuliza swali hapa labda wewe lijibu, Bwana Yesu akiwa hapa duniani mara kwa mara alifanya nukuu ya vitabu vya agano la kale, wapi alifanya nukuu kutoka kitabu cha enock au yashari? Hata shetani anayajua maandiko mpaka alimjaribu Bwana Yesu, si angelinukuu basi kutoka kitabu cha enock kuonesha umahiri wake. Kama wengine hapa muoneshavyo umahiri wenu wa kuvinukuu?


Na washawasha!
 
Wote tunasoma lakini tatizo unayasoma hayo maandiko kwa muongozo utokao kwa nani, Mungu au shetani? Hilo la kusema najiona niko sahihi hayo ni maoni yako. Mimi na changia hoja kutokana na ilivyotolewa hapa.

Mfano mtu anasema "enock ni binadamu pekee" kaulizwa anajua Biblia hiyo hiyo inazungumzia Eliya? Au Melkizedeki kuhani na Mfalme ambaye Abrahamu alimtolea fungu la kumi ya alivyoviteka kutoka kuwashinda wafalme wa ile nchi ya ahadi katika vita.

Nimeuliza swali hapa labda wewe lijibu, Bwana Yesu akiwa hapa duniani mara kwa mara alifanya nukuu ya vitabu vya agano la kale, wapi alifanya nukuu kutoka kitabu cha enock au yashari? Hata shetani anayajua maandiko mpaka alimjaribu Bwana Yesu, si angelinukuu basi kutoka kitabu cha enock kuonesha umahiri wake. Kama wengine hapa muoneshavyo umahiri wenu wa kuvinukuu?


Na washawasha!
Yesu alifanya nukuu ya vitabu vyote vya agano la kale?
 
Sasa hiyo itakuwa summary ya kitabu cha Enock......

Sasa Summary na kitabu chenyewe kipi bora??



Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama hivi vitabu vilivyopo sasa hivi watu hawavisomi wakavimaliza hivyo vingine wanavitakia nini? Kikubwa ni imani na kumkiri Yesu Kristo tu. Hata Biblia imeandikwa yapo mambo mengi aliyoyafanya Bwana Yesu ila haya yameandikwa ili tupate kujua kwa sehemu mambo aliyoyafanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wote tunasoma lakini tatizo unayasoma hayo maandiko kwa muongozo utokao kwa nani, Mungu au shetani? Hilo la kusema najiona niko sahihi hayo ni maoni yako. Mimi na changia hoja kutokana na ilivyotolewa hapa.

Mfano mtu anasema "enock ni binadamu pekee" kaulizwa anajua Biblia hiyo hiyo inazungumzia Eliya? Au Melkizedeki kuhani na Mfalme ambaye Abrahamu alimtolea fungu la kumi ya alivyoviteka kutoka kuwashinda wafalme wa ile nchi ya ahadi katika vita.

Nimeuliza swali hapa labda wewe lijibu, Bwana Yesu akiwa hapa duniani mara kwa mara alifanya nukuu ya vitabu vya agano la kale, wapi alifanya nukuu kutoka kitabu cha enock au yashari? Hata shetani anayajua maandiko mpaka alimjaribu Bwana Yesu, si angelinukuu basi kutoka kitabu cha enock kuonesha umahiri wake. Kama wengine hapa muoneshavyo umahiri wenu wa kuvinukuu?


Na washawasha!
Sijui unataka nini lakini kama unahitaji kujua ni kwamba mitume wa Yesu waliakuwa wanaelewa kuhusu Enoch na kitabu chake na unabii wake kwa ujumla wake....

Mmoja wa wanafunzi wa Yesu ambaye ni Yuda aliamnukuu Enoch na hii ipo kwenye Biblia na kwasababu tunaamini biblia ni neno la Mungu basi kama Yuda alimnukuu Enoch hii inamaana sehemu ya maneno ya Enoch yamo kwenye biblia na kuanzia hapo nayo ni neno la Mungu....

Yuda 1:14-15

14 Na Henoko, mtu wa saba baada ya Adamu, alitoa maneno ya unabii juu ya hao, akisema, Angalia, Bwana alikuja na watakatifu wake, maelfu maelfu,

15 ili afanye hukumu juu ya watu wote, na kuwaadhibisha wote wasiomcha Mungu, kwa ajili ya kazi zao zote za upotevu walizozitenda bila kumcha Mungu, na kwa ajili ya maneno magumu yote ambayo hao wenye dhambi wasiomcha Mungu wameyanena juu yake.

Jude 1:14-15

14 And Enoch also, the seventh from Adam, prophesied of these, saying, Behold, the Lord cometh with ten thousands of his saints,

15 To execute judgment upon all, and to convince all that are ungodly among them of all their ungodly deeds which they have ungodly committed, and of all their hard speeches which ungodly sinners have spoken against him.

Haya hapa maneno ya Enoch

Enoch 1:9
9. And behold! He cometh with ten thousands of ⌈His⌉ holy ones To execute judgement upon all, And to destroy ⌈all⌉ the ungodly: And to convict all flesh Of all the works ⌈of their ungodliness⌉ which they have ungodly committed, And of all the hard things which ungodly sinners ⌈have spoken⌉ against Him.

Nadhani kuhusu hili tumelimaliza....
 
Kwa hiyo wewe unamfuata Yesu au mitume wa Yesu. Wokovu unakuja kwa kufuata mitume wa Yesu au kumpokea Yesu kama Bwana na Mwokozi wa maisha yako?


Na washawasha!

Sijui unataka nini lakini kama unahitaji kujua ni kwamba mitume wa Yesu waliakuwa wanaelewa kuhusu Enoch na kitabu chake na unabii wake kwa ujumla wake....

Mmoja wa wanafunzi wa Yesu ambaye ni Yuda aliamnukuu Enoch na hii ipo kwenye Biblia na kwasababu tunaamini biblia ni neno la Mungu basi kama Yuda alimnukuu Enoch hii inamaana sehemu ya maneno ya Enoch yamo kwenye biblia na kuanzia hapo nayo ni neno la Mungu....

Yuda 1:14-15

14 Na Henoko, mtu wa saba baada ya Adamu, alitoa maneno ya unabii juu ya hao, akisema, Angalia, Bwana alikuja na watakatifu wake, maelfu maelfu,

15 ili afanye hukumu juu ya watu wote, na kuwaadhibisha wote wasiomcha Mungu, kwa ajili ya kazi zao zote za upotevu walizozitenda bila kumcha Mungu, na kwa ajili ya maneno magumu yote ambayo hao wenye dhambi wasiomcha Mungu wameyanena juu yake.

Jude 1:14-15

14 And Enoch also, the seventh from Adam, prophesied of these, saying, Behold, the Lord cometh with ten thousands of his saints,

15 To execute judgment upon all, and to convince all that are ungodly among them of all their ungodly deeds which they have ungodly committed, and of all their hard speeches which ungodly sinners have spoken against him.

Haya hapa maneno ya Enoch

Enoch 1:9
9. And behold! He cometh with ten thousands of ⌈His⌉ holy ones To execute judgement upon all, And to destroy ⌈all⌉ the ungodly: And to convict all flesh Of all the works ⌈of their ungodliness⌉ which they have ungodly committed, And of all the hard things which ungodly sinners ⌈have spoken⌉ against Him.

Nadhani kuhusu hili tumelimaliza....
 
Yesu alifanya nukuu ya vitabu vyote vya agano la kale?

Kama hakukinukuu na hakiko katika Biblia Takatifu basi hakina huo umuhimu mnaotaka kukipa. Kama hakukinukuu na kipo kwenye Biblia basi kina umuhimu wa kuwa kwenye Biblia. Kimefungiwa duniani na mbinguni pia. Kuna mtu kanukuu tumistari tuwili tu tena kutoka kitabu cha Jude basi ndio imekuwa nongwa.


Na washawasha!
 
Kwa hiyo wewe unamfuata Yesu au mitume wa Yesu. Wokovu unakuja kwa kufuata mitume wa Yesu au kumpokea Yesu kama Bwana na Mwokozi wa maisha yako?


Na washawasha!
Wakati ninakujibu nilijua unaweza kufikiri kwa mtindo huu na nilitoa maelezo ambayo kama ungesoma kwa makini ungenielewa tu na usingeleta haya maelezo hapa...

Wewe nadhani ni Mkristo na Mkristo yoyote anachukulia Biblia kama neno la Mungu bila kubagua mwandishi au msemaji kwasababu tunaamini yule aliyemuongoza Yesu kusema jambo ndiye huyo huyo aliyemuongoza Yuda,Petro na wengine kusema waliyosema au kuandika.....

Kama ni hivyo,maneno yote msemaji ni mmoja kuanzia Ufunuo hadi Mwanzo na kuanzia Mwanzo hadi Ufunuo.Ni jambo la kustaajabisha sana pale unapopewa ushahidi usiopingika halafu bado unatafuta sababu ambazo hazina mashiko kutetea dhana yako....

Yuda alikuwa anamfahamu Enoch kuliko wewe,na kama aliongozwa na Mungu kumnukuu basi moja kwa moja alichoandika Enoch kwenye kitabu chake ni neno la Mungu na linapaswa lisomwe sawasawa na maandiko mengine ya kwenye biblia....

Ifike mahali tukue na tuache kutetea visivyotetewa.umehitaji ushahidi kuhusu kitabu cha Enoch umepewa,na kwa taarifa yako tu ni kwamba siyo huyo mwanafunzi pekee wa Yesu aliyemnukuu Enoch bali yupo na mwingine hivyo usimchukulie Enoch kirahisi rahisi hivyo....

Wake up....
 
Kama hakukinukuu na hakiko katika Biblia Takatifu basi hakina huo umuhimu mnaotaka kukipa. Kama hakukinukuu na kipo kwenye Biblia basi kina umuhimu wa kuwa kwenye Biblia. Kimefungiwa duniani na mbinguni pia. Kuna mtu kanukuu tumistari tuwili tu tena kutoka kitabu cha Jude basi ndio imekuwa nongwa.


Na washawasha!
Biblia ni nini na ilitoka wapi?

Wakati wa mitume walikuwa wanawafundisha watu kwa kutumia nini?
 
Kwa watumiaji wa Iphone nenda app store upakue kitabu kinaitwa Forgotten books of bible (FBoB) kitabu cha enoch pia kipo ndani yake.
 
Back
Top Bottom