Kwanini kitabu cha Enoch kinapingwa vikali na Wanathiolojia?

Kwanini kitabu cha Enoch kinapingwa vikali na Wanathiolojia?

Hata ningeleta ushahidi kila kitu kitabakia mapokeo tu
hata vitabu vingine vyote katika biblia ushahidi ni wakuambiwa na marejeo tu.
hakuna ushahidi ambao unathibitika kwa kwa picha ama sauti.
Ni sawa na uvumbuzi wa kupata fuvu la kale jambo ambalo ni bahati bahati tu za utafiti.
Kitakachobakia ni Hiki what you receive and keep and believe ndicho powerful zaidi.
ndio maana hata biblia kitabakia kuwa kitabu cha kawaia tu usipopokea kilichoandika ndani yake, lakini kitakua kitabu cha tofauti na nguvu ya ajabu endapo ukikipokea na kukiweka ndani yako.
All in All sipo kuthibitisha kamba Enock ndiye mwandishi au lah, Suala ni kwamba kama biblia ilichambuliwa vitabu vya kuwekwa tena na watu ambao hawakuwepo katika uandishi wenyewe bai ni ishara tosha kuna mambo pia ambayo hayakwenda sawa na mataka yao yaliachwa nje vilevile na yale yaliyopendeza kwao yakawekwa.
So kimuingiacho mtu si harau bali kimtokacho
Biblia imeshasema wana wa Mungu ni wale wote wanaofanya mapenzi ya Mungu na hata alipozaliwa seth ndio tunaambiwa WALIANZA KULIITA JINA LA BWANA na hivyo wana wa Mungu walikuwa wana wa seth alafu wa Cain ndio hao wanadamu

Hivyo basi kivipi tena Henoko asimamie hoja kuwa wana wa Mungu ndio wale malaika waliozaa na wanadamu???

Henoko anasema hao malaika walikuwa wanaweza kupaa hadi kwenye jua sasa kivp gharika liwaue ilihali wanaweza kwenda hata mwezini????

Mie nataka kujifunza zaidi hivyo sina nature ya kubisha ningependa unisaidie kwanini kicontradict na biblia nzima alafu wewe uone kinatakiwa kitumike na wakristo
 
Kuna wakati huwa wanadamu tunataka kuumiza sana kichwa jjuu ya mambo ambayo yako wazi.
Maana biblia katika kuandikwa haikuandikwa kwa pamoja kama vitabu vya kileo ama kama inavyotolewa leo,
Pia baadaye maandiko yakaanza kukusanywa na kuwekwa pamoja ndipo tupate biblia.
Swali la kujiuliza je waliofanya vitabu viwe pamoja nao waliongozwa na Mungu?
Kama waliongozwa na Mungu na hawajaandikwa ndani yake kuwa akina fulani watakuja kuikusanya biblia ama waliikusanya biblia akiongozwa na Mungu kwanini tujifariji kuwa waliongozwa na Mungu?

Walitumia vigezo vipi kutoa baadhi ya vitabu?
Vigezo hivyo vilitolewa na Mungu mwenyewe ama mwanadamu?

Yapo Mengi sana ya Mungu na yako Nje ya Biblia,
Tatizo sio ukubwa wa biblia kuna vitabu mtu anasoma viko matoleo ya kwanza mpaka ya sita mpaka kumi na mbili mpaka 20 kwanini isiwe Biblia?
Kuna vitabu vinene na vinapage nyingi kuzidi bi,,,...........................................................................
Vigezo ni kuwa lazima viandikwe kwa KUONGOZWA na roho mtakatifu

Cha pili kuwe na mtiririko wa kuendana na vitabu vingine

Hao waliokusanya biblia waliweka vigezo kwenye kikao cha Constantinople miaka ya 384 AD na wasomi wakikristo wa enzi hizo walikutana wakaweka vigezo sasa kivp useme hawakuongozwa na roho mtakatifu??

Vitabu vilivyoachwa kubwa ni sababu hiyo ama havikubaliani na maandiko ya manabii wengine ama vinakinzana mfano henoko alisema wana wa Mungu ni malaika ilihali marko anasema ni wale wanaofuata mapenzi ya Bwana sasa huoni wangejichanganya

Otherwise hamkatazwi kuvisoma ilihali vingi havina mfanano na vya kwenye biblia..... Ukiweza soma kitabu FIRST BOOK OF ADAM AND EVE utagundua nachokisema kina mengi mazuri ila kimekinzana kiduchu tu kma neno moja ndio maana kikaachwa

All in all vilivyopo vinatosha ndio maana hata Yesu alisema kama kila kitu kingeandikwa biblia isingetosha
 
mkuu Utingo kun kitu nimekinot kwenye coment yako kupitia mistar ulioitoa kumbe kuna pia kitabu cha yashari? sikuwahi kusoma wala kudhania hili, na hata nikiuliza kwa kiongozi wangu wa kiroho nadhani hatanipa jibu, unaweza kutupa mwanga kidogo mkuu?
Yashari kinapatikana wapi
 
baby wangu kumbe unamjua Mungu eeh ngoja nitafute kitabu cha tomaso halafu kitakuwa cha kweli maana huyu tomaso alikuwa mwanafunzi wa yesu so ina maana aliyoandika ni ya kweli maana aliyaona unlike kina mathayo .luka marko wale walisimuliwa tu
Watu mnajua kufuatilia hatar tupu!
 
Ni hv kwa kifupi tu huko nyuma kuna tukio kubwa sana lilitokea na hadi leo athari zake zinatawala maisha yetu.tukio hilo ni interaction kati ya binadamu na viumbe fulani wengine wa Mwenyezi Mungu(huwa tunawaita tu malaika hii inatupa upofu sana)walikuwa 200 wakiongozwa na mkuu wao Azazel waliposhuka ktk kilele cha mlima Hermon na kuigiza maumbile ya kibinadamu.kilichowaleta ni kutamani binadamu.walitaka kukaa nao,wawatawale,wazae nao,waanzishe empire yao tofauti na utaratibu waliopangiwa na Mungu.wakafanya hivyo.ikazaliwa offspring ya ajabu,majitu makubwa yenye nguvu za kutisha na akili za ajabu na roho za ajabu maana nusu binadamu nusu malaika.waliitwa nephilims,leo tunawaita titans(usifikiri hadithi ya kigiriki hii)!kutokana na hiyo offspring kuwa imbalance,ilileta vurugu kubwa duniani,na kama Mungu asingeingilia kati mbegu ya binadamu pure ingetoweka.hao malaika pamoja na hayo matoto yao ndio walifundisha binadamu mambo meengi ambayo leo yana sehemu kubwa ktk sayansi,elimu na tamaduni zetu hasa mashariki ya mbali,India na america.base yao kuu ilikuwa bara la Atlantis lililokuwepo katikati ya america na ulaya.kitendo hiki kilimchukiza Mungu mno akaamua kutuma gharika ya maji na kuteketeza dunia nzima pamoja na bara la Atlantis isipokuwa binadamu mmoja anaitwa Nuhu na watoto wake na baadhi ya wanyama ambao hawakuchafuliwa(nephilims walizaana hata na mijusi,kilichotoka hapo ni balaa).LAKINI kuna laana alitamka Mungu,kwamba roho za viumbe hao hataziangamiza,ataziacha na zitakuwa chanzo cha kila uovu duniani kwa umri wote wa dunia hadi mwisho ili viumbe wake wote wapate darasa how serious was this mistake!roho hizo ndizo zilimuongoza Nimrod kuijenga Babylon na kuanzisha idol worshiping na tamaduni za Atlantis zikaanza kurudi taratibu huku spidi yake ikivurugwa na elimu ya dini ya mitume na manabii wa Mungu.ilibidi utaratibu wa kuinteract na binadamu ili kutimiza lengo lao waufanye kwa siri,taratibu,miaka na miaka,wakiibadili dunia taratibu hadi mazingira yakiruhusu,roho hizi zikiwa ndani ya miili ya kibinadamu,zitaigeuza dunia nzima kuwa kama Atlantis!ndipo hapa vyama vya siri na dini zisizoeleweka vinaposhamiri underground.
Hapa kuna jambo la kutafakar!
 
Je umesoma pale ambapo anawaombea msamaha wale malaika waliozaa na wanadamu..... Alafu Mungu akaukataa msamaha???

Nlipochoka eti kuna muda Enocko anamuonya kiongozi wa wale malaika cjui ni semyaza au azazel eti asipae karibu na jua nkajiuliza sasa kma gharika lilitokea duniani ilihali hao malaika walikuwa na uwezo wa kukaribia jua kvp wasikimbie mwezini alafu warudi baada ya gharika???

Hapo tu kitabu hiki nlianza kukidoubt
Mkuu una copy ya kiswahili mie ninayo ya kiingereza ila radha inapotea kwenye translation
 
Mkuu una copy ya kiswahili mie ninayo ya kiingereza ila radha inapotea kwenye translation
Dah hapana mkuu sina version ya kiswahili ingawa kinachanganya ila ukikisoma kwa umakini utapata muktadha mzima wa alichokiongelea humo
 
Hawa Wazungu Ni Devils. Tulifichwa,Tumefichwa,Tunafichwa Na Tutafichwa Vitu Vingi Sana Hasa Katika Dini Ya Ukristo Na Biblia. Sasa Mtu Anaanzaje Kuedit Biblia For Example?
That Simply Means Vile Ambavyo Ni Incosistent Au Against Their Interests Na Beliefs Basi Vitang'olewa Kwa Makusudi.

Mkuu siafazali bibilia maana wanasema kuruani waliichakachua kipindi cha kaliphate ya mawaiya (kama sijakosea jona) na wakachoma vitabu vingine vyote.

Dini zote hata za waafika kama dini ya kinjekitile zilikua ni mbinu ya kutawala kama sera ya viwanda
 
Kuna wakati huwa wanadamu tunataka kuumiza sana kichwa jjuu ya mambo ambayo yako wazi.
Maana biblia katika kuandikwa haikuandikwa kwa pamoja kama vitabu vya kileo ama kama inavyotolewa leo,
Pia baadaye maandiko yakaanza kukusanywa na kuwekwa pamoja ndipo tupate biblia.
Swali la kujiuliza je waliofanya vitabu viwe pamoja nao waliongozwa na Mungu?
Kama waliongozwa na Mungu na hawajaandikwa ndani yake kuwa akina fulani watakuja kuikusanya biblia ama waliikusanya biblia akiongozwa na Mungu kwanini tujifariji kuwa waliongozwa na Mungu?

Walitumia vigezo vipi kutoa baadhi ya vitabu?
Vigezo hivyo vilitolewa na Mungu mwenyewe ama mwanadamu?

Yapo Mengi sana ya Mungu na yako Nje ya Biblia,
Tatizo sio ukubwa wa biblia kuna vitabu mtu anasoma viko matoleo ya kwanza mpaka ya sita mpaka kumi na mbili mpaka 20 kwanini isiwe Biblia?
Kuna vitabu vinene na vinapage nyingi kuzidi bi,,,...........................................................................
Tatizo letu tunapenda kudandia gari kwa mbele, kabla ya kusoma vizuri Biblia tulipaswa kwanza kujifunza ni Nani aliandika, wakati gan na kwa lengo gan na vitu gan viliathiri maandishi yao. Vitabu vingi vya agano la kale havikuandikwa na manabii Kama inavyoonekana kwenye Biblia na Wala havikuandikwa kipind manabii hao wakiishi ila manabii wamepewa heshima Kama waandishi.

Kingine Cha kujua ni kwamba mkusanyiko wa vitabu wa vitabu vya kwenye Biblia ulifanywa na waroma hivyo upo uwezekano wa wao kukataa kitabu kwasababu yao binafsi ila wakatoa sababu nyingne.
 
Binafsi kuhusu kitabu cha Henoko kuondolewa kwake sababu kuu ni mtiririko (Sequence) kwa sababu ukikisoma ni kama kinabidi kiwe katikazi ya Maelezo ya kitabu cha mwanzo ilhali Mwanzo yenyewe inajitosheleza!
 
Tatizo letu tunapenda kudandia gari kwa mbele, kabla ya kusoma vizuri Biblia tulipaswa kwanza kujifunza ni Nani aliandika, wakati gan na kwa lengo gan na vitu gan viliathiri maandishi yao. Vitabu vingi vya agano la kale havikuandikwa na manabii Kama inavyoonekana kwenye Biblia na Wala havikuandikwa kipind manabii hao wakiishi ila manabii wamepewa heshima Kama waandishi. Kingine Cha kujua ni kwamba mkusanyiko wa vitabu wa vitabu vya kwenye Biblia ulifanywa na waroma hivyo upo uwezekano wa wao kukataa kitabu kwasababu yao binafsi ila wakatoa sababu nyingne.
Mkuu naona unazidi kuchanganya watu....umeanza vizuri ila ulipoingiza waroma umeharibu kila kitu sasa kma unadai waroma ndio walivipunguza na kukataa vingine iweje sasa biblia ya wakatoliki iwe na vitabu 72 ilihali ya waprotestant ambayo wewe unatumia iwe na vitabu 66?? Nani aliyepunguza hapo???
 
Biblia imeshasema wana wa Mungu ni wale wote wanaofanya mapenzi ya Mungu na hata alipozaliwa seth ndio tunaambiwa WALIANZA KULIITA JINA LA BWANA na hivyo wana wa Mungu walikuwa wana wa seth alafu wa Cain ndio hao wanadamu

Hivyo basi kivipi tena Henoko asimamie hoja kuwa wana wa Mungu ndio wale malaika waliozaa na wanadamu???

Henoko anasema hao malaika walikuwa wanaweza kupaa hadi kwenye jua sasa kivp gharika liwaue ilihali wanaweza kwenda hata mwezini????

Mie nataka kujifunza zaidi hivyo sina nature ya kubisha ningependa unisaidie kwanini kicontradict na biblia nzima alafu wewe uone kinatakiwa kitumike na wakristo
Wana wa Mungu limetokea kama mara 61 kweny Biblia likiwa kama Wana wa Mungu au Mwana wa Mungu: Mwanzo 6;2,Mwanzo 6;4,Ayubu 1;6,Ayubu 2:1, Zaburi 29:1, Hosea 1:10, Mathayo 4:3, Mathayo 4:6, Mathayo 5:9, Mathayo 8:29, Mathayo 14:33, Mathayo 16:16, Mathayo 26:63, Mathayo 27:40, Mathayo 27:43, Mathayo 27:54, Marko 1:1,Marko 3:11, Marko 5:7, Marko 15:39, Luka 1:35,Luka 4:3,Luka 4:9, Luka 4:41, Luka 8:28, Luka 20:36, Luka 22:70,Yohana 1:34, Yohana 1:49, Yohana 5:25, Yohana 9:35, Yohana 10:36, Yohana 11:4, Yohana 11:27, Yohana 19:7, Yohan 20:31, Matendo ya Mitume 8:37, Matendo ya Mitume 9:20, Warumi 1:$, Warumi 8:14, Warumi 8:19, Warumi 9:26, Wakorintho 1:19, Wagalatia 2:20 Wagalatia 3:26, Waefeso 4:13, Wafilipi 2:15, Waebrania4:14, Waebrania 6:6, Waebrania 7:3,Waebrania 10:29, 1 Yohana 3:1, 1 Yohana 3:2, 1 Yohana 3:8, 1 Yohana 4:15, 1 Yohana 5:5, 1 Yohana5:10, 1 Yohana 5:13, 1Yohana 5:20, na Ufunuo wa Yohana 2:18.
Ukisommistari hiyo yote katika Muktadha wake utagundua kuwa hakuna contradiction ila contradiction inaonekana kuwapo/kuwepo katika kuelewa.Muktadha wa wana wa Mungu unajengeka katika Makundi matatu/vifungu vitatu.Fungu la kwanza uko katika Agano la kale na Ufunuo wa Yohana,fungu la pili katika injili (yaani Mathayo Luka Marko na Yohana) na fungu la tatu linajitokeza katika Matendo ya mitume Warumi naNyaraka za paulo.
Ukisoma maelezo yaliyoko katika Agano utagundua Mandhari(Setting ya hawa wana wa Mungu ni Mbinguni-Yaani wana hawa wa Mungu asili yao ni Uungu tunaweza kusema hawa ndio wana wa Mungu halisi kwa kuwa Tangu kuumbwa kwa ulimwengu walikuwepo ukisoma kitabu cha Henoko yaani hawa ndio kina Gabriel upande mmoja na kina Shemyatsa na kundi lake upande wa pili.Kwa hiyo wana wa Mungu asili yao ni mbinguni.
Ukija kwenye Injili Tunaona hapa anazungumziwa Yesu kama -mwana wa Mungu -huyu naye asili yake ni mbinguni kwa hiyo naye ni mwana wa Mungu.
Sasa swali linakuja inakuwaje
Biblia imeshasema wana wa Mungu ni wale wote wanaofanya mapenzi ya Mungu..............................................................................................
Kwa hiyo Mwanzoni wana wa Mungu asili yao ilikuwa mbinguni,baadhi wakaasi kwa kujichafua na binadamu,original plan ya Mungu ikawa imeharibika mpaka ikabidi Yesu/Yahusha(Ben of Adam) aje duniani (You know the story)kuja kurekebisha ku-salvage kwa(sacrifice) kumwaga damu yake msalabani .Kwa hiyo Baada ya kifo cha yesu Watu wote wanaojiunganisha na Yeye yule aliyekubali kufa Msalabani wanapata uwezo kuwa wana wa Mungu ndio maana neno linasema Wale wote wanaofanya mapenzi ya Mungu which means sio kila mtu.Yohana 1:12,Warumi 1:4,Wagalatia 2:20 etc etc
 
Back
Top Bottom