The-unknown
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 1,228
- 1,447
Habari za muda huu wakubwa kwa wadogo.
Hongereni kwa majukumu ya kila siku ya kujitafutia riziki.
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Naomba kujua ni kwanini national identity card iwe na expire date,kuna taarifa ambayo itabadilika ama lengo ilikua nini?
Pia soma; Serikali yaondoa ukomo wa Matumizi ya Vitambulisho vya Taifa
Hongereni kwa majukumu ya kila siku ya kujitafutia riziki.
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Naomba kujua ni kwanini national identity card iwe na expire date,kuna taarifa ambayo itabadilika ama lengo ilikua nini?
Pia soma; Serikali yaondoa ukomo wa Matumizi ya Vitambulisho vya Taifa