Kwanini klabu ya Simba iandae mechi ya kirafiki timu ya Taifa ikicheza?

Spain, italy na mataifa mengine vilabu vyao vingi vinapiga mechi za kirafiki, sioni ajabu yoyote ile mkuu..

Hizi mechi haziamuliwi kisiasa, hizi game mara nyingi makocha ndio wanaomba.
Mbona Yanga wameandaa mechi na Kariobangi Sharks huku Taifa Stars ikicheza na Harambee Stars kwenye CHAN??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…