Kwanini klabu ya Simba iandae mechi ya kirafiki timu ya Taifa ikicheza?

Kwanini klabu ya Simba iandae mechi ya kirafiki timu ya Taifa ikicheza?

Spain, italy na mataifa mengine vilabu vyao vingi vinapiga mechi za kirafiki, sioni ajabu yoyote ile mkuu..

Hizi mechi haziamuliwi kisiasa, hizi game mara nyingi makocha ndio wanaomba.
Mbona Yanga wameandaa mechi na Kariobangi Sharks huku Taifa Stars ikicheza na Harambee Stars kwenye CHAN??
 
Back
Top Bottom