Kwanini kocha wa England , Roy Hugson kamuacha Danny Drinkwater Euro ?

Kwanini kocha wa England , Roy Hugson kamuacha Danny Drinkwater Euro ?

Mimi kama mpenzi wa three lions nimesikitishwa sana na kitendo cha drinkwater kupunguzwa na kocha but nimekerwa zaidi na kitendo cha drinkwater kupoint out nani alitakiwa kuachwa na kujilinganisha directly na rose barkley,amejilinganisha na rose kwa vigezo vipi?

wote wawili ni viungo but wa nafasi tofauti,barkley anacheza kama attacking midfielder na anafit zaidi namba 10 maana hata nane huwa haichezi ipasavyo while drinkwater kama completely defensive midfielder na wanaoffer service tofauti kuanzia kwny club zao mpaka timu ya taifa,,kani dissapoint sana kumuattack rose
cdc9ed1d0e2a4f4152032994d9eff0a7.jpg
 
Mimi kama mpenzi wa three lions nimesikitishwa sana na kitendo cha drinkwater kupunguzwa na kocha but nimekerwa zaidi na kitendo cha drinkwater kupoint out nani alitakiwa kuachwa na kujilinganisha directly na rose barkley,amejilinganisha na rose kwa vigezo vipi?

wote wawili ni viungo but wa nafasi tofauti,barkley anacheza kama attacking midfielder na anafit zaidi namba 10 maana hata nane huwa haichezi ipasavyo while drinkwater kama completely defensive midfielder na wanaoffer service tofauti kuanzia kwny club zao mpaka timu ya taifa,,kani dissapoint sana kumuattack rose
cdc9ed1d0e2a4f4152032994d9eff0a7.jpg
Kuchanganyikiwa mjomba .
 
Kuchanganyikiwa mjomba .

Ni kweli mkuu erythrocyte,,but yeye as a proffesional player anatakiwa awe na composure...,Hakua na sababu ya kujilinganisha na rose,,me ningemuelewa kama angetaja wachezaji ambao hawako 100% fit kina jack na henderson tuh but kujilinganisha na rose barkley hakua sahihi,,akirudi on his normal state i hope atamuomba msamaha rose
 
Atleast wilshere unaweza ukafumba macho, ukatumia kiburi cha cantona ukamchagua labda kwa sifa ya kipaji chake, maana huyu dogo mara nying ana kiwango kizur japo akitokea majeruhi, ila huyu Henderson haana kwa kweli, mchezaji yupo yupo hanyumbuliki, back pass ndio lenyewe, halafu kujiona lijuaji kama fundi kwel, moja kat ya wachezaji wanaonikera kuwatizama mpaka huwa na tabsamu mwenyewe km handsome giroud.. Henderson, nope kwa kweli kwa mimi kocha kabugi juu ya hilo... Ila tuheshimu maamuzi yake pia.
We acha hizo giroud akiwa France mtu mwingine nakuakikishia huyu ndio top scorer wa euro 2016
 
Kwan mfumo ni nini,..umeeleza vyema ila hapo kwenye MFUMO,..ufafanuzi kidogo...



formation mfano kama kocha anatumia

4-4-2
kuna baadhi ya wachezaji ni wazuri katika formation ya 4-3-3 au 5-4-1 sasa mchezaji wa aina hii huwezi mpanga 4-4-2 ndio maana mara nyingi sub zikifanywa na formation huwa mara nyingi hubadilika
 
Back
Top Bottom