Kwanini kodi ikatwe mara mbili kwa kipato hicho hicho kimoja?

Ili wateule wa Rais watembelee mashangingi ya milioni Mia nne. Tukubali tumepigwa na kitu kizito vichwani

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Chochote atakacho amua Daktari wa uchumi, hakuna wa kumpinga. Na kwa bahati mbaya anaaminiwa na bosi wake mpaka basi.

Hivyo tukubali tu maumivu. Na alishasema kama hatuwezi, basi tuhamie Burundi.
 
Ccm ni laana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…