N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 7,427
- 10,905
Yaani ukiagiza Japan gari la Miaka ya 1990's ushuru wa TRA upo chini. Ila ukijiroga uagize gari la miaka ya 2010's utafurahi na roho yako jinsi ushuru wa TRA ulivyo juu.
Unakaa unajiuliza hivi hii nchi kuna mtu ana roho ya korosho hataki watanzania waendeshe magari mazuri?
Nani anafanya hivi. Na kwa maslahi ya nani?!
Inaudhi sana!
MY TAKE
Tuendelee tu hivihivi. Ili sisi wenye hela tuendeshe magari mazuri na wakata ufuta waendelee kuendesha mikweche. Kenya Hoiyee.
Unakaa unajiuliza hivi hii nchi kuna mtu ana roho ya korosho hataki watanzania waendeshe magari mazuri?
Nani anafanya hivi. Na kwa maslahi ya nani?!
Inaudhi sana!
MY TAKE
Tuendelee tu hivihivi. Ili sisi wenye hela tuendeshe magari mazuri na wakata ufuta waendelee kuendesha mikweche. Kenya Hoiyee.