Kiuhalisia gari new models zinapendezesha jiji, Kwa kuwa new models zina gharama hata kama ni used basi serikali ingeweka kodi chini kuweza ku balance.
Gari kali ni mapambo mjini, sijui shida serikali bado kuna vikongwe wanafikiri gari ni anasa, mbona wao hawatumii Land Cruisers za 1990's or early 2000's.
Tunakuwa na jiji lina barabara nzuri halafu magari yamejaa ni ya 1990's.
Kwanza gari nyingi za zamani leo hii nchi zilizoendelea zimepiga marufuku ziwe discontinued kwa sababu zinachangia pakubwa uchafuzi wa hali ya hewa.