Lete mfano!Yaani ukiagiza Japan gari la Mwaka 1990 ushuru wa TRA upo chini. Ila ukijiroga uagize gari la 2015 utafurahi na roho yako jinsi ushuru wa TRA ulivyo juu.
Unakaa unajiuliza hivi hii nchi kuna mtu ana roho ya korosho hataki watanzania waendeshe magari mazuri?
Nani anafanya hivi. Na kwa maslahi ya nani?!
Inaudhi sana!
MY TAKE
Tuendelee tu hivihivi. Ili sisi wenye hela tuendeshe magari mazuri na wakata ufuta waendelee kuendesha mikweche. Kenya Hoiyee.
Wabunge zero brain 🧠Mibunge yako iliyojaa mishavu mikubwa kama imemeza vyura ndiyo inayopitishaga sheria hizo za Kodi za kumuumiza mtanzania!,TRA wao wanasimamia sheria ya kodi iliyotungwa na Mibunge yako isiyokuwa na huruma kwa Mtanzania!
Tutaendesha tu hayo ya gharama mazuri, tuendelee kuzisaka bila kuchoka.Tuendelee tu hivihivi. Ili sisi wenye hela tuendeshe magari mazuri na wakata ufuta waendelee kuendesha mikweche
Mbona umekuwa too personal mkuu. Are you meant to attack my personality? Mimi mleta sledi?Mibunge yako iliyojaa mishavu mikubwa kama imemeza vyura ndiyo inayopitishaga sheria hizo za Kodi za kumuumiza mtanzania!,TRA wao wanasimamia sheria ya kodi iliyotungwa na Mibunge yako isiyokuwa na huruma kwa Mtanzania!
Au tutegemee itashuka?Zidumu fikra za mpanga ushuru
Unajua aina hii ya ushuru ndiyo inaruhusu chuma chakavu kujaa nchini. Factor ya kikokotozi ipo kwenye CIF pricing kwa vile taxman anavyoperceive, very naniliii yaaniiHopefully watakuwa wamepewa hela na wazungu ili takataka zipunguue huko kwao ndo wakaset mitambo ya kodi
Wabunge wengi elimu ya darasani hawana ya kutosha, wanatunga sheria ambazo wasomi walio kwenye mataasisi wanazifuataMibunge yako iliyojaa mishavu mikubwa kama imemeza vyura ndiyo inayopitishaga sheria hizo za Kodi za kumuumiza mtanzania!,TRA wao wanasimamia sheria ya kodi iliyotungwa na Mibunge yako isiyokuwa na huruma kwa Mtanzania!
Kwa hiyo wameamua nchi yetu iwe dampo ,Yaani ukiagiza Japan gari la Mwaka 1990 ushuru wa TRA upo chini. Ila ukijiroga uagize gari la 2015 utafurahi na roho yako jinsi ushuru wa TRA ulivyo juu.
Unakaa unajiuliza hivi hii nchi kuna mtu ana roho ya korosho hataki watanzania waendeshe magari mazuri?
Nani anafanya hivi. Na kwa maslahi ya nani?!
Inaudhi sana!
MY TAKE
Tuendelee tu hivihivi. Ili sisi wenye hela tuendeshe magari mazuri na wakata ufuta waendelee kuendesha mikweche. Kenya Hoiyee.
Hakuna namnaAu sio
Ukifika Nairobi, au Kigali mji ni msafi hata magari yanavutia huoni mioshi au chuma chakavu road. Bongo kumiliki gari ya 2010s ni anasa. Nairobi unakutana na Isuzu FTR au FSR zimebeba mzigo saaafi na hizo ni gari zimekuwa assembled hapohapo Kenya. Sisi huku unakutana na Isuzu Injection za wakati wa Uhuru, jamaa wanaimba 'toa taka, toa taka'.Kiuhalisia gari new models zinapendezesha jiji, Kwa kuwa new models zina gharama hata kama ni used basi serikali ingeweka kodi chini kuweza ku balance.
Gari kali ni mapambo mjini, sijui shida serikali bado kuna vikongwe wanafikiri gari ni anasa, mbona wao hawatumii Land Cruisers za 1990's or early 2000's.
Tunakuwa na jiji lina barabara nzuri halafu magari yamejaa ni ya 1990's.
Kwanza gari nyingi za zamani leo hii nchi zilizoendelea zimepiga marufuku ziwe discontinued kwa sababu zinachangia pakubwa uchafuzi wa hali ya hewa.