Kwanini kuchota maji usiku na wanawake kunaamsha hisia za ngono?

Kwanini kuchota maji usiku na wanawake kunaamsha hisia za ngono?

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Jamani leo niko wilaya ya Kilosa nimepanga nyumba nzima ya peke yangu hapa Kilosa mjini mtaa wa Uhindini. Sasa maji yanatoka nje hapa kwangu usiku huu na kuna wanawake wawili wanachota maji kwa zamu mmoja anaenda mmoja anabaki, tena nje ya dirisha langu ndio kuna bomba.

Sasa namsikia kabisa shetani ananishauri nikachote maji nje wakati mimi nina bomba la ndani mpaka naogea shawa.

Jamani kiukweli maji yanayotoka usiku wa manane yanachangamoto kijinsia.

Naamini huyu shetani atashinda naomba mniombee sana.

Mbarikiwe!
 
Mwenzake kaenda na ndoo kabaki mmoja nimepanua pazia maziwa yake yako mkabala na macho yangu ila dirisha langu Lina kioo Cha tinted hanioni Mimi nahema kwa Kasi mapigo ya moyo yanaongezeka natamani kwa 98% kwenda kuchota maji.
 
Kichupa Kimejaa hicho,

Hapana lingine Hapo.
 
Ndio maana ujuaji unaaibisha nje wanamulikwa na taa za majirani Mimi geto nimezima taa hawanioni nawaona Tena kwa taarifa yako ni wanenewanene.
Hebu piga picha tuone kama ni kweli
 
Mwenzake kaenda na ndoo kabaki mmoja nimepanua pazia maziwa yake yako mkabala na macho yangu ila dirisha langu Lina kioo Cha tinted hanioni Mimi nahema kwa Kasi mapigo ya moyo yanaongezeka natamani kwa 98% kwenda kuchota maji.
Hao si ndo wale majini tunaoambiwaga.. mkuu nenda ukakutane na kwato..😂
 
Mkuu yule mkeo naye huwa hachoti maji usiku huko ulipo mwacha?
 
Back
Top Bottom