Aliamua kuvuka barabara kwa sababu hali halisi ilimtaka avuke barabara kwenda kukutana maisha halisi yanayomfaa. Hakuna haja ya kung'ang'ania sehemu au mazingira yanayokukaba wakati kuna sehemu unaiona na uwezo kufanya kitu kizuri huko unapokuangalia upo. UHURU WA KUFIKIRI NI UTAJIRI WA KILA MMOJA, UNAFIKIRIA KWA AJILI YA NINI NA NANI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.