sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Nasema hivi maana mambo ya aibu ndio huwa tuanakazania kuyaficha na ndivyo ilivyo kwa wazazi wenye hawa watoto huwa hawapendi watoto wao wenye ulemavu kujulikana ni watoto wao, wanawafungia majumbani huku wakijificha nyuma ya kivuli cha kuwalinda.
yani mtoto anachukuliwa kama mzigo flani hivi, niliwahi kushuhudia laivu bila chenga hospitali flani mtoto kazaliwa na ulemavu wa ngozi, baba wa mtoto alikana mtoto huyo sio wake na ndio ukawa mwisho wa mahusiano na mzazi mwenzake.
yani mtoto anachukuliwa kama mzigo flani hivi, niliwahi kushuhudia laivu bila chenga hospitali flani mtoto kazaliwa na ulemavu wa ngozi, baba wa mtoto alikana mtoto huyo sio wake na ndio ukawa mwisho wa mahusiano na mzazi mwenzake.