Gia kubwa
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 470
- 495
tukihesabu kura vituoni mbele ya wapiga kura na kutangaza matokeo hapo hatutamaliza but tutapunguza tatizo la upangaji matokeo trust me!!Madiwani wanatangazwa na Mtendaji wa kata (KADA ) Wabunge wanatangazwa na Wakurugenzi (MAKADA) hawa wote ni wa kufuata maelekezo tu.