Machame Juu
JF-Expert Member
- Jul 25, 2013
- 1,514
- 3,363
Ila lile dude linakula wese balaa. Pipa kwa sekunde. Tangi lake ni kama swimming pool saba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndege ikiwa kubwa tunaiita dege.KWANINI KUTUA KWA AIRBUS A380 NCHINI KUNAIBUA HISIA NA GUMZO?
Airbus A380 ndiyo ndege kubwa na nzito zaidi ya abiria ulimwenguni kwa sasa.
Yapata urefu wa mita 73, kimo cha mita 24, uzito wa juu wa kuruka tani 560, pamoja na uwezo wa kubeba hadi abiria 853 endapo itapangwa viti katika mfumo wa daraja la uchumi (Economy Class).
Kwa mujibu wa kampuni ya Airbus, ndege yao A380 inahudumiwa na viwanjwa vya ndege 140 ulimwenguni kote, na viwanja vya ndege 400 inaweza kutua wakati wa dharura.
Kumbuka hadi sasa ulimwenguni, kuna jumla ya viwanja vya ndege inayofikia 40,000 kwa mujibu wa 'database' ya www.world-airport-codes.com
Kwasababu hizo, ili kuhudumia Airbus380, viwanja vya ndege vinahitaji kuhakikisha njia zao za kurukia ndege (Runways) ni pana vya kutosha kwa matairi, Njia za michepuko (Taxiways) ngumu, pamoja na maegesho kwenye majengo yaweze kuruhusu mabawa makubwa kupita pasipo kuzuia shughuli zingine za uwanja wa ndege.
Lakini pia A380 ni ndege ya ghorofa (Double Decker) hivyo kuhudumia inahitaji njia za juu za abiria au ngazi kwaajili ya kupanda na kushuka pasipo usumbufu wowote.
Hivyo basi, kutua kwa Airbus380 katika uwanja wa ndege wa kimataifa Julius Nyerere (JNIA) na kupata huduma za dharura zinazostahili, ni sehemu ya viwanja vichache duniani vyenye sifa, usalama na uwezo wa kupokea ndege husika.
Tambua kwamba, uwezo wa kuhudumia ndege zenye mahitaji maalumu, inaongeza hadhi ya uwanja wa ndege kitaifa na kimataifa.
Swali la kujiuliza,
je, kwanini kwa awamu mbili tofauti ndege za Airbus380 zilichagua kutua kwa dharura uwanja wa ndege wa kimataifa Julius Nyerere ikiwa kuna viwanja vya ndege katika nchi nyingi zinazopakana au zilizo njiani?
kwa maoni na hoja zenye tija kwa watu wote tukutane kwenye "Comments"
Shukrani
Anga lilifungwa lini?Niko na machawa wa mama hapa wanasema ni kwa sababu ya Royal Tour mama amefungua anga la nchi🐒
Mkuu hivi umefikiria ulichoongea hapo ? Yaani sihitaji hata ku-google kuona hio kitu sio realistic... kwa unachosema hii tungeweza kuiita ndege ya mafuta na sio ndege ya watu wala isingekuwa one of the most efficient kwenye matumizi per personIla lile dude linakula wese balaa. Pipa kwa sekunde. Tangi lake ni kama swimming pool saba.
Mkuu ni kweli. Dude linakula wese balaa pipa 60 kwa dakika. Siyo lita mkuu namaanisha PIPAna uhakika nachosema. Umeshaona tanki lake linaeza jaza robo ya bwawa la Nyerere. Tanki lake ni futi 100 kwa urefu.Mkuu hivi umefikiria ulichoongea hapo ? Yaani sihitaji hata ku-google kuona hio kitu sio realistic... kwa unachosema hii tungeweza kuiita ndege ya mafuta na sio ndege ya watu wala isingekuwa one of the most efficient kwenye matumizi per person
Hahaaaa!!!hii kali sasa safari linazosafiri masaa 6 non-stop huwa linatembea na pipe ya mafuta toka kwenye pump ?kwani kwa ubugiaji huo hakuna tenki la mafuta linaloweza kutosha mafuta ya safari hiyoIla lile dude linakula wese balaa. Pipa kwa sekunde. Tangi lake ni kama swimming pool saba.
Mkuu ni kweli. Tenki lake ni zaidi ya futi 100 na linaweza jaza robo la bwawa la Nyerere. Sehemu kubwa asilimia 80 la hilo dege ni tenki.Hahaaaa!!!hii kali sasa safari linazosafiri masaa 6 non-stop huwa linatembea na pipe ya mafuta toka kwenye pump ?kwani kwa ubugiaji huo hakuna tenki la mafuta linaloweza kutosha mafuta ya safari hiyo
Je unadhani ndege inaishiwa mafuta kama bodaboda wanaoweka Lita 1?Nchi yoyote Ile ndege ikiomba kutua kwa dharura inaleta taharuki na gumzo, fikiria limeishiwa mafuta halafu likadondokea kwako
Hata kama ni hivyo mkuu haiwezi kutumia pipa moja (lita 200) kwa sekunde!!!kwanza uwezo wake wa juu wa tanks zake kuhifadhi mafuta ni kama lita 320,000.Mkuu ni kweli. Tenki lake ni zaidi ya futi 100 na linaweza jaza robo la bwawa la Nyerere. Sehemu kubwa asilimia 80 la hilo dege ni tenki.
Mkuu mbona wewe mbishiHata kama ni hivyo mkuu haiwezi kutumia pipa moja (lita 200) kwa sekunde!!!kwanza uwezo wake wa juu wa tanks zake kuhifadhi mafuta ni kama lita 320,000.
Bahati nzuri mambo yako wazi wazungu huwa hawana uchawi kama wetu!!jaribu ku convert hizo uone unachotaka kuniaminisha ni kweli??Mkuu mbona wewe mbishi
| Fuel Capacity | 320,000 l (84,535 gal) |
| Fuel Burn (Average) | 13,500 kg/hr (29,762 lb/hr) |
ATCL ina madeni lukuki kutokana na kufuga mafisadi ; haiwezi kwenda hata huko South Africa kwa kuogopa ndege zao kukamatwa!!!Kuanzia ni kujaza mafuta .....na mizigo wasafiri ATCL ijipange kuleta watu from Sadc na EAC yoote
Acha kuwa mjinga ni uwanja wenye sifa Kwa ndege kutuaLabda ndio uwanja pekee ambao uko free, yaani siyo busy, who knows?
Bonge la wazo aiseeTujipange na kujitangaza Dar iwe Hub ndege kubwa za long ranges....kuweka mafuta hapa kwetu ni opportunity mpya tuichangamkie......ndege kwenda Brazil...Argentina kutoka Dubai na Qatar ....South America....ziwe anaweka mafuta hapa ......hasa kurudi ....
Nimesafiri ndani ya hiyo ndege, Dubai-Tokyo-Dubai.KWANINI KUTUA KWA AIRBUS A380 NCHINI KUNAIBUA HISIA NA GUMZO?
Airbus A380 ndiyo ndege kubwa na nzito zaidi ya abiria ulimwenguni kwa sasa.
Yapata urefu wa mita 73, kimo cha mita 24, uzito wa juu wa kuruka tani 560, pamoja na uwezo wa kubeba hadi abiria 853 endapo itapangwa viti katika mfumo wa daraja la uchumi (Economy Class).
Kwa mujibu wa kampuni ya Airbus, ndege yao A380 inahudumiwa na viwanjwa vya ndege 140 ulimwenguni kote, na viwanja vya ndege 400 inaweza kutua wakati wa dharura.
Kumbuka hadi sasa ulimwenguni, kuna jumla ya viwanja vya ndege inayofikia 40,000 kwa mujibu wa 'database' ya www.world-airport-codes.com
Kwasababu hizo, ili kuhudumia Airbus380, viwanja vya ndege vinahitaji kuhakikisha njia zao za kurukia ndege (Runways) ni pana vya kutosha kwa matairi, Njia za michepuko (Taxiways) ngumu, pamoja na maegesho kwenye majengo yaweze kuruhusu mabawa makubwa kupita pasipo kuzuia shughuli zingine za uwanja wa ndege.
Lakini pia A380 ni ndege ya ghorofa (Double Decker) hivyo kuhudumia inahitaji njia za juu za abiria au ngazi kwaajili ya kupanda na kushuka pasipo usumbufu wowote.
Hivyo basi, kutua kwa Airbus380 katika uwanja wa ndege wa kimataifa Julius Nyerere (JNIA) na kupata huduma za dharura zinazostahili, ni sehemu ya viwanja vichache duniani vyenye sifa, usalama na uwezo wa kupokea ndege husika.
Tambua kwamba, uwezo wa kuhudumia ndege zenye mahitaji maalumu, inaongeza hadhi ya uwanja wa ndege kitaifa na kimataifa.
Swali la kujiuliza,
je, kwanini kwa awamu mbili tofauti ndege za Airbus380 zilichagua kutua kwa dharura uwanja wa ndege wa kimataifa Julius Nyerere ikiwa kuna viwanja vya ndege katika nchi nyingi zinazopakana au zilizo njiani?
kwa maoni na hoja zenye tija kwa watu wote tukutane kwenye "Comments"
Shukrani