Kwanini kutua kwa Airbus A380 nchini kunaibua hisia na gumzo?

Kwanini kutua kwa Airbus A380 nchini kunaibua hisia na gumzo?

Bahati nzuri mambo yako wazi wazungu huwa hawana uchawi kama wetu!!jaribu ku convert hizo uone unachotaka kuniaminisha ni kweli??
KULA CHUMA HICHO
Fuel Capacity320,000 l (84,535 gal)
Fuel Burn (Average)13,500 kg/hr (29,762 lb/hr)
Kwa Hela za kibongo, ni lazima walau uwe na bilioni ndio ujaze mafuta tenki zote
 
Labda ndio uwanja pekee ambao uko free, yaani siyo busy, who knows?
Kwa utawala wa huu wa sasa hv wa ccm,a lot of fishy staff are happening,wanawaza wizi tu,hakuna plan yoyote ni kuiba na kulimbikiza mali kwa ajiri ya vizazi vyao,
Wakati wenzetu Kenya,wamefanya mapinduzi ya kurusha satellite angani,huku kwetu bunge linapitisha azimio la kumpongeza "mama"unaweza kufikiri mama ameanza kunya mawe ya tanzanite,
Huku kwetu makamu wa Raisi na yeye anashangaa msafara wake kusababisha usumbufu kwa watu,na amekuwa makamu kwa zaidi ya miaka minne!!kama swala dogo kama Hilo,hakulijua,ataweza kujua makubwa.
Makamu afya yake inaonekana ni mgogoro,PM ni msaniii na muhuni tu,lakini at least ana charisma ya uongozi,mama na yeye ni kilaza tu,anaogopa hata aliowateua.
 
Siasa uchwara.
Utasikia Mama kawezesha A380 kutua salama...schupid kukuz.
Hivi kwanini Tanzania inaongoza kuwa na mafala wengi?
Utasikia wanaandaa na hafla kabisa ya kumpongeza Mama.
 
Kwa utawala wa huu wa sasa hv wa ccm,a lot of fishy staff are happening,wanawaza wizi tu,hakuna plan yoyote ni kuiba na kulimbikiza mali kwa ajiri ya vizazi vyao,
Wakati wenzetu Kenya,wamefanya mapinduzi ya kurusha satellite angani,huku kwetu bunge linapitisha azimio la kumpongeza "mama"unaweza kufikiri mama ameanza kunya mawe ya tanzanite,
Huku kwetu makamu wa Raisi na yeye anashangaa msafara wake kusababisha usumbufu kwa watu,na amekuwa makamu kwa zaidi ya miaka minne!!kama swala dogo kama Hilo,hakulijua,ataweza kujua makubwa.
Makamu afya yake inaonekana ni mgogoro,PM ni msaniii na muhuni tu,lakini at least ana charisma ya uongozi,mama na yeye ni kilaza tu,anaogopa hata aliowateua.
Yaaaaa ni majanga tu kila sehemu ukigusa dash😢
 
Nimewahisafiri na hii ndege mumbai to abuthabi kwangu ilikuwa utalii tosha ni kijiji kizima kinaishia hume
 
Mkuu ni kweli. Dude linakula wese balaa pipa 60 kwa dakika. Siyo lita mkuu namaanisha PIPAna uhakika nachosema. Umeshaona tanki lake linaeza jaza robo ya bwawa la Nyerere. Tanki lake ni futi 100 kwa urefu.
The current reigning champ for the world's largest jet airliner, the Airbus A380, is even more efficient. The multi-story jumbo jet burns an average of 4,600 gallons (11,400 liters) of fuel per hour. That's a bit more than the 747. The A380 can also carry more than 800 passengers at maximum capacity. That's about a 20 percent increase in per-passenger fuel efficiency over the older 747.

Pipa AKA 55 Gallon Drum ni around 205 liters (tuseme 200 liters)
Hii Kitu inakula 4,600 gallons approx 11,400 liters kwa saa

Hivyo basi inakula 11,400 liters divide by 60 equals 190 liters per minute Approximately Pipa Moja kwa Dakika...

Sasa wewe hilo Pipa kwa Sekunde umelitoa wapi Ukizingatia hii Ndege ni One of The Most Efficient.....
 
Nimewahisafiri na hii ndege mumbai to abuthabi kwangu ilikuwa utalii tosha ni kijiji kizima kinaishia hume
Kuna jamaa yangu aliwahi kunisimulia,anasema jinsi walivyokuwa wengi wakiingia hakuweza kuamini kama itaruka,lakini anasema at last alijikuta wako hewani...
 
KWANINI KUTUA KWA AIRBUS A380 NCHINI KUNAIBUA HISIA NA GUMZO?

Airbus A380 ndiyo ndege kubwa na nzito zaidi ya abiria ulimwenguni kwa sasa.
Yapata urefu wa mita 73, kimo cha mita 24, uzito wa juu wa kuruka tani 560, pamoja na uwezo wa kubeba hadi abiria 853 endapo itapangwa viti katika mfumo wa daraja la uchumi (Economy Class).

Kwa mujibu wa kampuni ya Airbus, ndege yao A380 inahudumiwa na viwanjwa vya ndege 140 ulimwenguni kote, na viwanja vya ndege 400 inaweza kutua wakati wa dharura.
Kumbuka hadi sasa ulimwenguni, kuna jumla ya viwanja vya ndege inayofikia 40,000 kwa mujibu wa 'database' ya www.world-airport-codes.com

Kwasababu hizo, ili kuhudumia Airbus380, viwanja vya ndege vinahitaji kuhakikisha njia zao za kurukia ndege (Runways) ni pana vya kutosha kwa matairi, Njia za michepuko (Taxiways) ngumu, pamoja na maegesho kwenye majengo yaweze kuruhusu mabawa makubwa kupita pasipo kuzuia shughuli zingine za uwanja wa ndege.

Lakini pia A380 ni ndege ya ghorofa (Double Decker) hivyo kuhudumia inahitaji njia za juu za abiria au ngazi kwaajili ya kupanda na kushuka pasipo usumbufu wowote.

Hivyo basi, kutua kwa Airbus380 katika uwanja wa ndege wa kimataifa Julius Nyerere (JNIA) na kupata huduma za dharura zinazostahili, ni sehemu ya viwanja vichache duniani vyenye sifa, usalama na uwezo wa kupokea ndege husika.

Tambua kwamba, uwezo wa kuhudumia ndege zenye mahitaji maalumu, inaongeza hadhi ya uwanja wa ndege kitaifa na kimataifa.

Swali la kujiuliza,
je, kwanini kwa awamu mbili tofauti ndege za Airbus380 zilichagua kutua kwa dharura uwanja wa ndege wa kimataifa Julius Nyerere ikiwa kuna viwanja vya ndege katika nchi nyingi zinazopakana au zilizo njiani?

kwa maoni na hoja zenye tija kwa watu wote tukutane kwenye "Comments"

Shukrani
wataalam huko mtandaoni wanasema kwa sababu ya sea level na bahari
 
Nchi ya kukimbilia vijitu vidogo vidogo!!ya muhimu yanayotuhusu hatuna habari nayo!!kama hili la jana wala huwezi kuuita ni dharura kwani toka inatoka brazil ilijua kuwa anga la sudan limefungwa hivyo atapaswa kuongeza mafuta sehemu fulani kabla ya kufika dubai!!
Hamna kuongeza Mafuta hilo dude lina matenki ya ziada pia na hamnaga huo ujinga.
Unatoka nalo Heathrow Mpk Dubai Non-Stop humo ndani kila kitu kimo ije iongeze mafuta Bongo.
Hao walikua na issue zao nyingine tu ndio kufanya emergency landing
 
Back
Top Bottom