Kwanini kutua kwa Airbus A380 nchini kunaibua hisia na gumzo?

Ndege ikiwa kubwa tunaiita dege.
 
Ila lile dude linakula wese balaa. Pipa kwa sekunde. Tangi lake ni kama swimming pool saba.
Mkuu hivi umefikiria ulichoongea hapo ? Yaani sihitaji hata ku-google kuona hio kitu sio realistic... kwa unachosema hii tungeweza kuiita ndege ya mafuta na sio ndege ya watu wala isingekuwa one of the most efficient kwenye matumizi per person
 
Mkuu hivi umefikiria ulichoongea hapo ? Yaani sihitaji hata ku-google kuona hio kitu sio realistic... kwa unachosema hii tungeweza kuiita ndege ya mafuta na sio ndege ya watu wala isingekuwa one of the most efficient kwenye matumizi per person
Mkuu ni kweli. Dude linakula wese balaa pipa 60 kwa dakika. Siyo lita mkuu namaanisha PIPAna uhakika nachosema. Umeshaona tanki lake linaeza jaza robo ya bwawa la Nyerere. Tanki lake ni futi 100 kwa urefu.
 
Ila lile dude linakula wese balaa. Pipa kwa sekunde. Tangi lake ni kama swimming pool saba.
Hahaaaa!!!hii kali sasa safari linazosafiri masaa 6 non-stop huwa linatembea na pipe ya mafuta toka kwenye pump ?kwani kwa ubugiaji huo hakuna tenki la mafuta linaloweza kutosha mafuta ya safari hiyo
 
Hahaaaa!!!hii kali sasa safari linazosafiri masaa 6 non-stop huwa linatembea na pipe ya mafuta toka kwenye pump ?kwani kwa ubugiaji huo hakuna tenki la mafuta linaloweza kutosha mafuta ya safari hiyo
Mkuu ni kweli. Tenki lake ni zaidi ya futi 100 na linaweza jaza robo la bwawa la Nyerere. Sehemu kubwa asilimia 80 la hilo dege ni tenki.
 
Mkuu ni kweli. Tenki lake ni zaidi ya futi 100 na linaweza jaza robo la bwawa la Nyerere. Sehemu kubwa asilimia 80 la hilo dege ni tenki.
Hata kama ni hivyo mkuu haiwezi kutumia pipa moja (lita 200) kwa sekunde!!!kwanza uwezo wake wa juu wa tanks zake kuhifadhi mafuta ni kama lita 320,000.
 
TAA si wametoa report, Ndege imetua kwa dharura kutokana na Hali mbaya ya hewa na ujazaji wa mafuta.

Japo kukwepa Anga la Sudan halikuwekwa wazi ila pia ni sababu.

Kwa nini imetua JKNIA? Si unajiongeza tu kwa sababu uwanja wetu una uwezo na Tanzania ndio nchi salama zaidi kwa Africa mashariki na Kati.
 
Bonge la wazo aisee
 
Nafikiri safari hii wameshindwa kwenda Nairobi kutokana na ukaribu wake na Sudan ,
Sababu ya kujaza mafuta hapa ni kwa kuwa wana avoid Sudan airspace
 
Nimesafiri ndani ya hiyo ndege, Dubai-Tokyo-Dubai.
Ni ndege kubwa sana, lakini iko very comfortable.
Angekuwepo Magufuli angeinunua cash cash.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…