GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Devil amekuja ku collect his dueJe, ni....
1. Ahadi ya Mola
2. Kafara la Kundi
3. Dally Kimoko Virus
4. Kurogana / Kupigana Vipapai
5. Kupenana Sumu kutokana na Umaarufu wa ghafla wa Mtu
Dally Kimoko au?Ugonjwa
"Maana nasikia"Kwa wanavyolambana/kutembeleana hovyo Gonjwa kuu inaweza kuwa sbb...
Maana nasikia VAR ukiinywa sana inakutepetesha ukipata ugonjwa mwingine unafyekwa chapuu...
Hawa walishajiuza Kwa shetani!! hivyo wanavunwa.Je, ni....
1. Ahadi ya Mola
2. Kafara la Kundi
3. Dally Kimoko Virus
4. Kurogana / Kupigana Vipapai
5. Kupenana Sumu kutokana na Umaarufu wa ghafla wa Mtu
Mbona haujatoa orodha ya wengi unaowasema wamekufa? Acheni upotoshaji vifo ni kawaida ata wasio wasanii wanakufa sana tu au wasanii hawatakiwi kufa? Si sehemu ya jamii na wao ni binadamu why wasife? Au mlitaka afe nani ? Ili wao wabaki?Je, ni....
1. Ahadi ya Mola
2. Kafara la Kundi
3. Dally Kimoko Virus
4. Kurogana / Kupigana Vipapai
5. Kupenana Sumu kutokana na Umaarufu wa ghafla wa Mtu
Sawa..."Maana nasikia"
Kifupi sio kweli,wasanii kama walivyo watu wengine hufa kutokana na sababu mbali mbali ikiwemo maradhi au ajali
Magonjwa yako mengi mbona, kila m1 anafariki kwa ugonjwa wake binafsi.Dally Kimoko au?
Wanakufa ghafla kwa sababu wanapata mafanikio ghala, kila kitu ghafla ghafla tu. Sijui walizaliwa ghafa.......Je, ni....
1. Ahadi ya Mola
2. Kafara la Kundi
3. Dally Kimoko Virus
4. Kurogana / Kupigana Vipapai
5. Kupenana Sumu kutokana na Umaarufu wa ghafla wa Mtu