Wewe na wenzako mmejikita kwenye kula.Hao wengine wanajua waliposhika.Hata kama ni kula si lazima kutokula kabisa.Ni kujinyima/kwa kiasi kidogo.Hapo kilingeni kwenu(ofisi?)siyo kipimo cha kila nafsi kuhusu kwaresma.You're less concerned!mfungo wa kwaresma hata wakristu wenyewe hawauchukulii serious, huku maofisini watu ni ushahidi tosha, wenye hio kwaresma wengi wanaendelea kula bila shida na hakuna hata kukumbushana ama kuasana
Hii inapelekea ata viongozi kutoipa uzito Kwaresma sawa na ramadhani ambayo waislam wanajidhatiti mno kwenye mfungo.
Ramadhan utawaona waislam wakiungana katika mfungo, wanagawa vyakula kwa omba omba, watoto wa mitaani, n.k.
Ramadhani huwa inapewa uzito hata na serikali, huwa kuna hafla kibao zinaandaliwa na viongozi wa serikali kwenye kufungua
Anataka akuone umebabuka midomo,umejikunyata,unatia simanzi,unatematema mate na kusawijika kwa sonona kwa sura kukosa nuru ndiyo aamini upo katika kwaresma. Kwa ufupi UJIONESHE.Akili zako ni za kipumbavu kabisa.
Naunga mkono hoja.Kwaresma ni kwa baadhi ya wakristo sio wote, wakristo wa makanisa kibao hawana habari nayo, Ramadhan ni kwa waislam wote.
Ramadhani huwa inapewa uzito hata na serikali, huwa kuna hafla kibao za iftar zinaandaliwa na viongozi wa serikali hata walio wakristo
Ramadhan inakutanisha waislam wengi bila kujali matabaka, hafla za kufungua watakutana pamoja mawaziri, wasanii, watu wenye ulemavu, wagonjwa, n.k.
Ramadhan utawaona waislam wenye uwezo kiuchumi wakigawa vyakula bure watoto wa mitaani, wenye shida, n.k.
Vita ipambe moto kwa mtu aliyekosa kazi na kuanza kuangalia sura za watu aone kama wamefunga kwaresma?Ujinga utakuwa umepea viwango.Soon vita itapamba moto humu kati ya wavaa kobazi na waimba mapambio wajukuu wa mtume paulo na nduguze mwamposa[emoji28].. ngoja tuone
Huu uzi unafutwa, Mods wamelala.Soon vita itapamba moto humu kati ya wavaa kobazi na waimba mapambio wajukuu wa mtume paulo na nduguze mwamposa[emoji28].. ngoja tuone
Mleta uzi angetueleza jinsi gani anaelewa maana ya kwaresma?Atueleze ni namna gani ilivyobaki jina tu?Anailinganisha na lini na kwa yepi aliyoyaona ambayo sasa hayapo?Huu uzi unafutwa, Mods wamelala.
Njaa mbaya sana. Wa kristo wanafunga kwa siri sio kama nyinyi mwez wa Ramadhan kanzu nyingi na kupaka mkaa eti sigda😆😆Kwaresma ni kwa baadhi ya wakristo sio wote, wakristo wa makanisa kibao hawana habari nayo, Ramadhan ni kwa waislam wote.
Ramadhani huwa inapewa uzito hata na serikali, huwa kuna hafla kibao za iftar zinaandaliwa na viongozi wa serikali hata walio wakristo
Ramadhan inakutanisha waislam wengi bila kujali matabaka, hafla za kufungua watakutana pamoja mawaziri, wasanii, watu wenye ulemavu, wagonjwa, n.k.
Ramadhan utawaona waislam wenye uwezo kiuchumi wakigawa vyakula bure watoto wa mitaani, wenye shida, n..
Kufunga ni lazima kwahiyo waislamu wapo sahihi kiufupi hakuna watu wanaofuata maandiko kuwazidi waislamu,viongozi wa kikristo wanapotosha maandiko kiasi kwamba utakuta wanasigana na maandiko mwisho wa siku uislamu unakuwa kwa kasiAnataka akuone umebabuka midomo,umejikunyata,unatia simanzi,unatematema mate na kusawijika kwa sonona kwa sura kukosa nuru ndiyo aamini upo katika kwaresma. Kwa ufupi UJIONESHE.
anamaanisha mvuto wakeMleta uzi angetueleza jinsi gani anaelewa maana ya kwaresma?Atueleze ni namna gani ilivyobaki jina tu?Anailinganisha na lini na kwa yepi aliyoyaona ambayo sasa hayapo?
Wakristo wengi tu huwa wanashiriki hafla za Iftar,Nadhani unaelewa kwaresma inawahusu zaidi wakristu wakatoliki na wale wenye ufanano nao. The rest christians kwaresma hawajui ni kitu gani na hakipo katika imani yao. Haohao wakristo wasioitambua kwaresma hata hiyo ramadhani hawaijui ni kitu gani na hawashiriki kula futari zake kwa kuwa huiona ni ibada ya kipagani/sanamu na ni dhambi kushiriki ibada za namna hiyo. We kama mtu wa serikali muabudu ramadhani andaa tu hafla ya futari hiyo lakini hutaona mkristo anafakamia chakula hicho cha ibada yenu, utaona hao wa kwaresma wakija kula hicho chakula cha ibada yenu.
Maandiko ya Kikristo na ya kiislamu yanafanana?Kufunga ni lazima kwahiyo waislamu wapo sahihi kiufupi hakuna watu wanaofuata maandiko kuwazidi waislamu,viongozi wa kikristo wanapotosha maandiko kiasi kwamba utakuta wanasigana na maandiko mwisho wa siku uislamu unakuwa kwa kasi