- Thread starter
- #21
Sio ligi ni dedication ya imani, Wakatoliki wanaichukulia poa sana KwaresmaMfungo ni ibada na ipo hivyo tangu enzi na enzi na wala mfungo haujawah kuwa ligi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio ligi ni dedication ya imani, Wakatoliki wanaichukulia poa sana KwaresmaMfungo ni ibada na ipo hivyo tangu enzi na enzi na wala mfungo haujawah kuwa ligi.
Wakristo wanafunga kama ibada,wengine mnabadili ratiba ya msosi kama kanuni inavyowalazimu mnaita kufunga.
sisi tunafunga kujipa uimara wa kupokea majibu ktk maombi tuliyoomba,na sharti ni kwamba kilichosalia kama mbadala wa sehemu yako kula unatakiwa utoe kama sadaka utakapovuviwa.
Umeshajiuliza kwanini magimbi,maviazi na mihogo hupanda sana bei wakati kimahesabu walaji wamepungua mtaani kipindi cha ramadaaan
pumbavu, kwa hiyo unafurahia mtifuano huo wa kufunga mifungo ya kidini?Soon vita itapamba moto humu kati ya wavaa kobazi na waimba mapambio wajukuu wa mtume paulo na nduguze mwamposa[emoji28].. ngoja tuone
nani anajiunga na uislam miaka hii? Bora uwe mpagani tu kuliko kuwa muislam, maana dini hiyo ni abrakadabra tu wala hakuna Mungu hukoKufunga ni lazima kwahiyo waislamu wapo sahihi kiufupi hakuna watu wanaofuata maandiko kuwazidi waislamu,viongozi wa kikristo wanapotosha maandiko kiasi kwamba utakuta wanasigana na maandiko mwisho wa siku uislamu unakuwa kwa kasi
hiyo ni combination ya wanasiasa, wanasiasa hupita katikati ya dini wakijipendekeza kwa waumini wa dini ili kupata uungwaji mkono katika siasa zao. Futari ya muislam ni ibada yake, inamhusu vipi mkristo asiyeamini na kuabudu uislam?
Wanajikoroga wenyewe wawe wakristo tuKwaresma = Mwezi wa Mzee Ramadhani.
Rozali = Tasbihi
Bikira Maria = Uzza, Lutta na Manata
Sanamu = Jiwe Jeusi la Maka (Aswadi)
Nk.