proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
Tuwaachie wenye dini zao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikuulize wewe uliokuwa unayatakaMatusi ya nini sasa?
Kwa hiyo wewe huwa unajifungia ndani huku unalia?Wafuasi wa Brian Deacon au Robert Powell huwa wengi hawafungi wanasingizia kufunga siri. Kufunga itakuwa siri iwapo unajifungia ndani kwako.
Wajukuu wa moudy on freakyKwaresma ni kwa baadhi ya wakristo sio wote, wakristo wa makanisa kibao hawana habari nayo, Ramadhan ni kwa waislam wote.
Ramadhani huwa inapewa uzito hata na serikali, huwa kuna hafla kibao za iftar zinaandaliwa na viongozi wa serikali hata walio wakristo
Ramadhan inakutanisha waislam wengi bila kujali matabaka, hafla za kufungua watakutana pamoja mawaziri, wasanii, watu wenye ulemavu, wagonjwa, n.k.
Ramadhan utawaona waislam wenye uwezo kiuchumi wakigawa vyakula bure watoto wa mitaani, wenye shida, n.k.
Kuleta hoja za kisegneer humu jukwaani ni kutaka kutukanwa tuUlitukanwa?
Nakazia hapo kwenye kubadili ratiba ya msosi...Wakristo wanafunga kama ibada,wengine mnabadili ratiba ya msosi kama kanuni inavyowalazimu mnaita kufunga.
sisi tunafunga kujipa uimara wa kupokea majibu ktk maombi tuliyoomba,na sharti ni kwamba kilichosalia kama mbadala wa sehemu yako kula unatakiwa utoe kama sadaka utakapovuviwa.
Umeshajiuliza kwanini magimbi,maviazi na mihogo hupanda sana bei wakati kimahesabu walaji wamepungua mtaani kipindi cha ramadaaan😁😁😁
Jibu ni moja,wadogo zetu mnakula sana kipindi hiki kuliko wakati wowote🤣🤣🤣
Right kama wakristo kwa aina yao ya mfungo wangekuwa wanafunga siku 40 zote kila mmoja kwa kulazimishwa,nyinyi mchwa kipindi hiki cha kwaresma mngenunua sukari mpaka shilingi 500 kilo,bidhaa za vyakula zingekosa soko kabisa,watu hawali mzee wanafunga kweli kweli sio sarakasi hizo mnapiga.
Siwezi kuitwa futari ewe muabudu mtu na sanamu!Sina haja ya kujua kwa nini unaitwa jina lolote. Hata ukiitwa futari sawa tu.Umeona ni nani aliyeanzisha uzi/mada na lengo lake?
Umeelewa maana ya kwaresma au bado unaleta vijimaneno vya kutunga na upuuzi?Siwezi kuitwa futari ewe muabudu mtu na sanamu!
Je ushabarikiwa?
Kwa hiyo kuna mashindano ya mfungo?!Kwaresma ni kwa baadhi ya wakristo sio wote, wakristo wa makanisa kibao hawana habari nayo, Ramadhan ni kwa waislam wote.
Ramadhani huwa inapewa uzito hata na serikali, huwa kuna hafla kibao za iftar zinaandaliwa na viongozi wa serikali hata walio wakristo
Ramadhan inakutanisha waislam wengi bila kujali matabaka, hafla za kufungua watakutana pamoja mawaziri, wasanii, watu wenye ulemavu, wagonjwa, n.k.
Ramadhan utawaona waislam wenye uwezo kiuchumi wakigawa vyakula bure watoto wa mitaani, wenye shida, n.k.
Ukinijibu kama umeisha barikiwa ama bado ndio nitajua namana nzuri ya kukujibuUmeelewa maana ya kwaresma au bado unaleta vijimaneno vya kutunga na upuuzi?
Uzi huu unahusu baraka?Uzi umekushinda unaanzisha upuuzi wako.Ukinijibu kama umeisha barikiwa ama bado ndio nitajua namana nzuri ya kukujibu
we mshenzi nini? Sasa hata kama dunia nzima iwe ya kiislamu ndio unadhani Mungu atakuwepo huko kuabudiwa? Umelewa tilatila mafundisho potofu ya dini yako unayoiteteaKuumer mamyor wewe kwani hata kubgoogle hujui mpaka ubishane na data?
wale wapuuzi wanadhani funga hii ni sawa na yao ya kujitangazaKufunga kwaresma haihitaji matangazo wala kulazimisha watu kutokula hadharani wala kufuturisha watu kwa showoff. Funga iwe yako na Muumba wako.
Ramadhani unamaanisha badala ya kula mchana unakula usikuKwaresma ni kwa baadhi ya wakristo sio wote, wakristo wa makanisa kibao hawana habari nayo, Ramadhan ni kwa waislam wote.
Ramadhani huwa inapewa uzito hata na serikali, huwa kuna hafla kibao za iftar zinaandaliwa na viongozi wa serikali hata walio wakristo
Ramadhan inakutanisha waislam wengi bila kujali matabaka, hafla za kufungua watakutana pamoja mawaziri, wasanii, watu wenye ulemavu, wagonjwa, n.k.
Ramadhan utawaona waislam wenye uwezo kiuchumi wakigawa vyakula bure watoto wa mitaani, wenye shida, n.k.
funga zote hizo mbili ni za kipuuzi na Mungu hazitambui, watu wanajitaabisha kwa ujinga waoMifungo yote haina maana yo yote iwe Kwaresma au Ramadhani! Zinafungwa kidini si kwa maana halisi ya kutubu dhambi na Kuacha!
Wakimaliza mifungo wanaendelea na kufanya uovu na dhambi za kila namna!
Machoni pa Mungu, ni kujitesa kwa njaa tu!
We kumer mayor Koma ukomae kama unavyoliwa rinda msenger mmoja wewe mafundisho potovu Si yenu nyinyi makafiri waabudu mtu na masanamuwe mshenzi nini? Sasa hata kama dunia nzima iwe ya kiislamu ndio unadhani Mungu atakuwepo huko kuabudiwa? Umelewa tilatila mafundisho potofu ya dini yako unayoitetea
Unajiita Mkristo wakati wakatoliki wao ndio waanzilishi wa ukristo mpaka Biblia wameandika waoNadhani unaelewa kwaresma inawahusu zaidi wakristu wakatoliki na wale wenye ufanano nao. The rest christians kwaresma hawajui ni kitu gani na hakipo katika imani yao. Haohao wakristo wasioitambua kwaresma hata hiyo ramadhani hawaijui ni kitu gani na hawashiriki kula futari zake kwa kuwa huiona ni ibada ya kipagani/sanamu na ni dhambi kushiriki ibada za namna hiyo. We kama mtu wa serikali muabudu ramadhani andaa tu hafla ya futari hiyo lakini hutaona mkristo anafakamia chakula hicho cha ibada yenu, utaona hao wa kwaresma wakija kula hicho chakula cha ibada yenu.
Mamayer Hakuna kafiri anaeweza kunikingia kifua maana nyinyi wengi mnakuwa mmeisha barikiwa makanisaniUzi huu unahusu baraka?Uzi umekushinda unaanzisha upuuzi wako.