ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
KUNA SIKU KUNA MADA ILIPOSTIWA HAPA JF HEADLINE ILIKUWA INATAKA UMTAJE MTU MWENYE AKILI NYINGI HUMU JF ... Nilikutag wewe ndege JOHN ila watu wengi walicheka.Ili kuepuka vifo vitokanavyo Na ndege kupata ajali chini kwanini makampuni ya ndege yasinunue parashuti kwa kila abiria yaani ukikaa kwenye seat unalivaa ili ndege ikipoteza control basi mnaruhusiwa kuruka kutoka nje mnapaa mnashuka chini bila kujipigiza?
Hao wanajeshi, kuruka na parachati ni mafunzo ya karibia mwaka mzima..itakua hao raia hata kuruka mtaro wa maji taka ni shida?Ili kuepuka vifo vitokanavyo Na ndege kupata ajali chini kwanini makampuni ya ndege yasinunue parashuti kwa kila abiria yaani ukikaa kwenye seat unalivaa ili ndege ikipoteza control basi mnaruhusiwa kuruka kutoka nje mnapaa mnashuka chini bila kujipigiza?
Asante kwa kuni appreciate mkuu watu wengi hatujuani maisha yetu halisi..me kiukweli toka primary mpk secondary nilikuwa nafanya maajabu sana class kama sio Wa kwanza basis napata one.KUNA SIKU KUNA MADA ILIPOSTIWA HAPA JF HEADLINE ILIKUWA INATAKA UMTAJE MTU MWENYE AKILI NYINGI HUMU JF ... Nilikutag wewe ndege JOHN ila watu wengi walicheka.
sasa leo umewathibitishia kama wewe sio kiumbe wa kawaida.
Mkuu....Hao wanajeshi,kuruka na parachati ni mafunzo ya karibia mwaka mzima..itakua hao raia hata kuruka mtaro wa maji taka ni shida?Ndege inayobeba watu 500,hayo maparachuti na uzito wake utakuwaje?
Think big as a great thinker,akili ndogo sana umetumia kuleta hili.
Mhhh, mbona kama unamshushia matofali ya kichwa kijana wetu!!!?Hao wanajeshi,kuruka na parachati ni mafunzo ya karibia mwaka mzima..itakua hao raia hata kuruka mtaro wa maji taka ni shida?Ndege inayobeba watu 500,hayo maparachuti na uzito wake utakuwaje?
Think big as a great thinker,akili ndogo sana umetumia kuleta hili.
Kwani ile si kama bag tu unavuta mkanda inafungukaItabidi waanze na zoezi la kuwafundisha watu jinsi ya kutumia parachuti zenyewe.
Ukute mtu hata parachuti yenywewe hajawahi kuiona unaiona Mara ya kwanza akiwa kwenye ndege unafikiri ataitumiaje pasipo kufundishwa?
Very Good!!!Asante kwa kuni appreciate mkuu watu wengi hatujuani maisha yetu halisi..me kiukweli toka primary mpk secondary nilikuwa nafanya maajabu sana class kama sio Wa kwanza basis napata one...
😜...Upo sahihi mkuu, nikama bag la mgongoni exactly..🤗🤙Kwani ile si kama bag tu unavuta mkanda inafunguka
Ili kuepuka vifo vitokanavyo Na ndege kupata ajali chini kwanini makampuni ya ndege yasinunue parashuti kwa kila abiria yaani ukikaa kwenye seat unalivaa ili ndege ikipoteza control basi mnaruhusiwa kuruka kutoka nje mnapaa mnashuka chini bila kujipigiza?
Kuna kuchezēa likajifunguaIli kuepuka vifo vitokanavyo Na ndege kupata ajali chini kwanini makampuni ya ndege yasinunue parashuti kwa kila abiria yaani ukikaa kwenye seat unalivaa ili ndege ikipoteza control basi mnaruhusiwa kuruka kutoka nje mnapaa mnashuka chini bila kujipigiza?
Huwezi kutumia parachute bila kupata mafunzo ya muda mrefu.Ili kuepuka vifo vitokanavyo Na ndege kupata ajali chini kwanini makampuni ya ndege yasinunue parashuti kwa kila abiria yaani ukikaa kwenye seat unalivaa ili ndege ikipoteza control basi mnaruhusiwa kuruka kutoka nje mnapaa mnashuka chini bila kujipigiza?
Wapo raia hutembea na kondomu mfukoni..Kwa hili lako kuna uwezakano wa kupendekeza watu wawe wanavaa condom kama wanavyovaa mashati kujikinga na ngono zembe.
Wapo raia hutembea na kondomu mfukoni..