Kwanini kwenye ndege kila mtu asivishwe parashuti?

Kwanini kwenye ndege kila mtu asivishwe parashuti?

Kuruka na parachuti ni skill kubwa,inahitaji training.
Hajui wale wenyewe Kuna surface karibu na ardhi ndo wanafungulia ili kujua watatua maeneo gani ya karibu ...Kama hujui ukilifungulia Kule juu na upepo ule unaweza pelekwa hata nchi ya mbali huko hata kuharibika kabisa kwa upepo mkali.
 
Wale wanajeshi unaowaona wanaruka kwa parachuti ile inakua sio ajali ni sehemu ya kazi, ikitokea ajali hata wao huwa wanapoteza maisha, ikitokea kwenye ndege kukawa na huo muda utakaotosha watu kujiandaa na kuweza kutoka kwa kutumia parachuti basi muda huo unatosha kwa rubani kutua kwenye kiwanja cha karibu kabla ya ajali na ndivyo wamekua wakifanya.

Hivi sasa wataalam wanachemsha vichwa kuona namna ya kuwa na parachuti moja ile sehemu wanayokaa abiria ili ikitokea ajali rubani abonyeze tu kitufe ambacho kitaitenga sehemu ya abiria na kufungua parachuti, lakini bado Luna changamoto nyingi kulifanikisha hilo.

Kwahiyo kinachofanyika hivi sasa ni kuongeza utaalam zaidi kwenye kuzuia ajali zisitokee.
 
Ili kuepuka vifo vitokanavyo Na ndege kupata ajali chini kwanini makampuni ya ndege yasinunue parashuti kwa kila abiria yaani ukikaa kwenye seat unalivaa ili ndege ikipoteza control basi mnaruhusiwa kuruka kutoka nje mnapaa mnashuka chini bila kujipigiza?
Umewahi kupanda ndege?
Ukijibu nitakuuliza swali
 
Asante kwa kuni appreciate mkuu watu wengi hatujuani maisha yetu halisi..me kiukweli toka primary mpk secondary nilikuwa nafanya maajabu sana class kama sio Wa kwanza basis napata one...
Ooh, sasa nimeelewa.

Baada ya haya mafanikio unataka ukipanda ndege usije kufa hivyo unataka ukae na parachuti lako.
 
Asante kwa kuni appreciate mkuu watu wengi hatujuani maisha yetu halisi..me kiukweli toka primary mpk secondary nilikuwa nafanya maajabu sana class kama sio Wa kwanza basis napata one.

Nilichange tu advance Na chuo nikazingua kwenye max ila kwenye interview ya kazi utumishi nikaonyesha maajabu mno kati ya watu 54 nafasi 4 nikapata kazi taasisi nzuri na kazini nikafanya vizuri mno kiasi cha kukabidhiwa imperest ndani ya mwaka before sijawa Senior na mwisho nimepata mke mzuri hajasoma ila ana nyota ya hela balaa acha maisha yaendelee kifupi hela ya bando sikosi ally.

Asante
😁🤜🤜🤜🤜 hizo mkuu
 
Back
Top Bottom