Kwanini kwenye ndege kila mtu asivishwe parashuti?

Kuruka na parachuti ni skill kubwa,inahitaji training.
Hajui wale wenyewe Kuna surface karibu na ardhi ndo wanafungulia ili kujua watatua maeneo gani ya karibu ...Kama hujui ukilifungulia Kule juu na upepo ule unaweza pelekwa hata nchi ya mbali huko hata kuharibika kabisa kwa upepo mkali.
 
Wale wanajeshi unaowaona wanaruka kwa parachuti ile inakua sio ajali ni sehemu ya kazi, ikitokea ajali hata wao huwa wanapoteza maisha, ikitokea kwenye ndege kukawa na huo muda utakaotosha watu kujiandaa na kuweza kutoka kwa kutumia parachuti basi muda huo unatosha kwa rubani kutua kwenye kiwanja cha karibu kabla ya ajali na ndivyo wamekua wakifanya.

Hivi sasa wataalam wanachemsha vichwa kuona namna ya kuwa na parachuti moja ile sehemu wanayokaa abiria ili ikitokea ajali rubani abonyeze tu kitufe ambacho kitaitenga sehemu ya abiria na kufungua parachuti, lakini bado Luna changamoto nyingi kulifanikisha hilo.

Kwahiyo kinachofanyika hivi sasa ni kuongeza utaalam zaidi kwenye kuzuia ajali zisitokee.
 
Umewahi kupanda ndege?
Ukijibu nitakuuliza swali
 
Asante kwa kuni appreciate mkuu watu wengi hatujuani maisha yetu halisi..me kiukweli toka primary mpk secondary nilikuwa nafanya maajabu sana class kama sio Wa kwanza basis napata one...
Ooh, sasa nimeelewa.

Baada ya haya mafanikio unataka ukipanda ndege usije kufa hivyo unataka ukae na parachuti lako.
 
😁🀜🀜🀜🀜 hizo mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…