Tajiri wa Magomeni
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 4,274
- 2,935
Zilishatumika kumbe serikalini.Mie naonaga hii gari ya Mhindi iko over rated.. Serikalini walizishibokea sana miaka hiyo ila wakaona zinakufa mapema kuliko Landcruser ya mkonga, wakazi diss!
Hivi ni Muingereza au Mhindi?Mie naonaga hii gari ya Mhindi iko over rated.. Serikalini walizishibokea sana miaka hiyo ila wakaona zinakufa mapema kuliko Landcruser ya mkonga, wakazi diss!
Nani kakuambia land rover ni no ya muhindi? Rover deffender ni gari ya kiume sanaMie naonaga hii gari ya Mhindi iko over rated.. Serikalini walizishibokea sana miaka hiyo ila wakaona zinakufa mapema kuliko Landcruser ya mkonga, wakazi diss!
Dah mkuu umekurupuka speed sana hata hujanawa uso...Mie naonaga hii gari ya Mhindi iko over rated.. Serikalini walizishibokea sana miaka hiyo ila wakaona zinakufa mapema kuliko Landcruser ya mkonga, wakazi diss!
hivi ni muingereza au mhindi?
Dah mkuu umekurupuka speed sana hata hujanawa uso...
Nani kakuambia land rover ni no ya muhindi ? Rover deffender ni gari ya kiume sana
Hizi gari saizi zipo chini ya mhindi wanaitwa Khan.Mie naonaga hii gari ya Mhindi iko over rated.. Serikalini walizishibokea sana miaka hiyo ila wakaona zinakufa mapema kuliko Landcruser ya mkonga, wakazi diss!
Naonaga watu wanasifia sana mfumo wake wa direct injection kwamba imachanganya fasterHiyo Land Rover ilikuwa gari ya kwanza kutumika sehemu nyingi za nchi za Africa.
Ugumu wake sio kwenye injini hizo za Tdi200/ Tdi300 au Td5, uimara wake umedhihirika kwenye body.
Hizo injini za Tdi200/300 hazikufanya vizuri huko ulaya mpaka jumuiya ya ulaya zikakataliwa kutokana na uchafuzi wa hewa(Euro Emission Regulations).
Hata kwenye soko saizi hakuna serikali au taasisi kubwa duniani wanaonunua kwa wingi hizo gari UN na NATO walihamia kwenye L/cruiser. Hata waasi nao walihamia kwenye Hilux na L/Cruiser.
Waasi ni wateja wazuri wa magari ya Off Road.hahahaaa!! hata waasi
Mimi najua injini zake zina nguvu tena ukiwa kwenye RPM ya kawaida na utumiaji mzuri wa mafuta.naonaga watu wanasifia sana mfumo wake wa direct injection kwamba imachanganya faster
Tatizo la Land rover kuua bush kwa haraka kwa kweli ni kero...ukiingia tu pori kidogo lazima ukirudi ubadilishe bush zooteMimi najua injini zake zina nguvu tena ukiwa kwenye RPM ya kawaida na utumiaji mzuri wa mafuta.
Ila ukiingia porini lazima uende gereji hapo ndipo watu wakazikimbia sababu ya kuua bush na bearing.
sahivi muhindi ndio mmiliki, ila invention ya hizo Land Rovers ilikuwa ya muingereza.hivi ni muingereza au mhindi?
Kumbe hio ndio balaa lake.Mimi najua injini zake zina nguvu tena ukiwa kwenye RPM ya kawaida na utumiaji mzuri wa mafuta.
Ila ukiingia porini lazima uende gereji hapo ndipo watu wakazikimbia sababu ya kuua bush na bearing.
Waasi hawataki ujinga na chuma ya mjapani! 1Hz kwa kwenda mbele 🤣🤣🤣 hadi ikazua mjadala kwanini waasi wananunua LC nyingi mno? Nani anawapa hizo gari?Hiyo Land Rover ilikuwa gari ya kwanza kutumika sehemu nyingi za nchi za Africa.
Ugumu wake sio kwenye injini hizo za Tdi200/ Tdi300 au Td5, uimara wake umedhihirika kwenye body.
Hizo injini za Tdi200/300 hazikufanya vizuri huko ulaya mpaka jumuiya ya ulaya zikakataliwa kutokana na uchafuzi wa hewa(Euro Emission Regulations).
Hata kwenye soko saizi hakuna serikali au taasisi kubwa duniani wanaonunua kwa wingi hizo gari UN na NATO walihamia kwenye L/cruiser. Hata waasi nao walihamia kwenye Hilux na L/Cruiser.
Kwakweli twende mbele turudi nyuma Landcruiser mkonga ni mashine ya kiume. Hapa mjapani wagumu alitupa zawadi ya maishaMie naonaga hii gari ya Mhindi iko over rated.. Serikalini walizishibokea sana miaka hiyo ila wakaona zinakufa mapema kuliko Landcruser ya mkonga, wakazi diss!
Kuna Land rover moja ya shirika nilikuwa nagongea gongea kipindi fulani, kwa kweli ni gari nzuri sana upande wa engine, power ya kutosha na mafuta zinakula vizuri tofauti na Toyota pia haziyumbi barabarani.Kumbe hio ndio balaa lake.
Wazungu wenyewe wamezishtukia 🤣🤣🤣 wako zao kwa Toyota Landcruiser, Sequoia na TacomaKuna Land rover moja ya shirika nilikuwa nagongea gongea kipindi fulani, kwa kweli ni gari nzuri sana upande wa engine, power ya kutosha na mafuta zinakula vizuri tofauti na Toyota pia haziyumbi barabarani. Faida yake nyingine ni kwamba ukiwa Off-road huwezi kwama hata iweje, inapita popote pale ambapo pana upenyo wa njia.... Tatizo lake ni matunzo bhana, unaitunza kama demu vile, ukienda pori ukirudi lazima ubadilishe bush or bearings e.t.c spares zake zikiharibika hakuna kuunga unga lazma ubadilishe, ukishafungua spare hairudishiki....pia Coolant fluid ukijaza kupita kiasi inafloat mzee.... Ila ni gari nzuri sana... Hapo kwenye matunzo ndo Toyota anampiga bao
[emoji3][emoji3] ni sawa na kampuni za Tours zilizonunua Landrovers nyingi kipindi cha Utalii ukiwa juu sana, hizo gari zilikuwa zinawachefua sana zikirudi kutoka porini ni matatizo sana....ila wenye Land cruiser mkonge wanapeta tuu... Chuma inafika inapita carwash asubuhi inarudi porini tenaWazungu wenyewe wamezishtukia [emoji1787][emoji1787][emoji1787] wako zao kwa Toyota Landcruiser, Sequoia na Tacoma