Uchaguzi 2020 Kwanini Lissu atashinda kwa kishindo?

Bado tu unaandikaga pumba mpaka leo,

Wenzako kina Salum wanagombea umakamu wewe unakesha kuandika pumba JF.

Daah.
 
Hao walikuwa wanafundishwa kupiga kura na Zungo wakiwa darasani ndo watanzania walioamuwa. Utashangaa masanduku waliyopigia kura yatakaposhindwa kuingizwa kwenye vituo na mengine yatakamatwa.
Karibu Dodoma kwenye sherehe za kupishwa kwa JPM.
 
Dah huyo asikari polisi hapo nyuma ya lisu mbona anafurahi namna hiyo
Umma wote wa Tanzania unamkubali lisu ikiwemo hao askari polisi, majurge , mahakimu, madactari, wafanya biashara , walimu, wahandisi na watu wengine wote wa kada mbalimbali .
 
Umechelewa watanzania wameshaamua ni mitano tena kwa Magu, huyo Lissu labda awe Rais wa chama cha waremavu, hata hivyo karibu sana dodoma kwenye sherehe ya kuapishwa kwa rais Magufuli uwanja wa jamuhuri jijini dodoma.
Umeeleza ukweli mtupu wajiandae 2025 kidogo kidogo maybe 2100 wanaweza kutoboa. Kwasasa wananchi tumeamua kumpigia kura JPM.

Congratulations in advance President Magufuli

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Hakuna mtanzania mwenye akili timamu atakayemchagua magufuli hapo kesho. Leo tu watanzania wamejionea ufedhuli wa huyu mtu baada ya kuzima mitandao ya kijamii.

Pia Hakuna mwaka ambao ni rahisi kuwatoa madarakani Ccm kama mwaka huu.

Nina uhakika wa asilimia 100 , hakuna mwanajeshi au askari atakayepiga risasi akiona kuna watu 1000 mbele yake.

Wito kwa Watanzania. Kesho tupige kura na tulinde kura zetu.
 
Umechelewa watanzania wameshaamua ni mitano tena kwa Magu, huyo Lissu labda awe Rais wa chama cha waremavu, hata hivyo karibu sana dodoma kwenye sherehe ya kuapishwa kwa rais Magufuli uwanja wa jamuhuri jijini dodoma.
Watanzania gani unaowazungumzia? Hawa waliomkataa Magu na CCM take mchana kweupe? Au wale waliokuwa wanasombwa kwenye malori ya mizigo kwa ujira wa shs 5000/= na bila hivyo hawaendi?

Hakika nakuambia, mkithubutu kumrejesha Ikulu hakina rangi mtaacha kuiona! Na hii ni hulka yake ya kisirani, kisasi na roho mbaya aliyonayo! Kwa maneno mengine mtakuwa mmeialika dhiki, taabu na mateso kwenye kila huduma iliyokuwa nafuu kuwa ngumu maradufu! Huenda hata mpango wa elimu Bure akaufutilia mbali kwani kwake hatakuwa na la kupoteza na hashtakiki kwa Sheria zenu!

Chungeni, Maine kujinyonga kwa ugumu wa Maisha atakaousababisha kuwakomoa!
 
Yani mind games uchezewe wewe mtu wa JF?

Watu wako field tangu kampeni zianze na hamuambulii mbunge hata mmoja mwaka huu!
 
Ni mpuuzi anayeweza kumpigia kura Tundu Lissu, je wewe ni mmoja wao?

Heri mpuuzi anampigia kura TAML kuliko mwenye ‘akili’ anayepigia kura mtu kama magu. Iko siku utaelewa tu!
 
Umechelewa watanzania wameshaamua ni mitano tena kwa Magu, huyo Lissu labda awe Rais wa chama cha waremavu, hata hivyo karibu sana dodoma kwenye sherehe ya kuapishwa kwa rais Magufuli uwanja wa jamuhuri jijini dodoma.

Iko siku utakuja kujua kwa hakika kuwa “hujafa hujaimbika” na huo unaouita ulemavu si ukosefu wa uwezo. Iko siku unaweza kuwa mlemavu kwa sababu nzuri tu na uwezo wako wa kuongoza ukawa hata bora zaidi. Iko siku utaelewa na utakoma kupuuza hao unaowaita walemavu; TAML si mmoja wao!
 
Na mkishindwa utakuja na hoja gani?
Na CCM ina matawi laki mbili na nusu250000x50wanacham, jumlisha itakuwa na watu wangapi? 12500000 bado wanachama milioni tano ambao wana familia zao pia, bado wapenzi wa CCM ambao hawana kadi na wanao lizika na sera, hapo tutakuwa na jula ya kura 17000000 milioni zasa mtatobolea wapi?
Bado wazalendo kibao.
Tukutane tarehe 30
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…