Uchaguzi 2020 Kwanini Lissu atashinda kwa kishindo?


Kuna majanga makubwa sana yanaweza kutokea kwenye jamii pale ambapo tutaruhusu siasa kutumika sehemu zinazohitaji taaluma tofautitofauti

Ushauri mzuri sana huu toka kwa mkuu Magembe kwa Yeriko na wengine wanaopenda kuandika
 
Msg hii itakuwa ya kumbukumbu kwani nitakapo kuwa naiona nitakuwa nakumbukia mateso na matendo maovu yaliyofanywa na utawala wa CCM kwa kutupumbaza watz. Mungu mbariki Rais mpya ajaye kesho.
Vipi kwa sasa unakumbuka nini au ndo unaumwa kabisa?
 
Na kaandika kitabu cha ujasusi...
.
......wajinga kweli ndo waliwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…