Kwanini Lissu na CHADEMA watautafuna mfupa uliowashinda wengine

Kwanini Lissu na CHADEMA watautafuna mfupa uliowashinda wengine

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Mheshimiwa Lissu kaingizana nchini jana kama farasi wa ngongo. Mapokezi yake tu ni ishara tosha kuwa huyu ni mtu wa namna gani kwa watu wake.

Kwenye hotuba yake mara tu baada ya kuwasili, anawaongelea waziwazi watanzania wote. Matatizo ya bei za vyakula, mzigo wa matozo na kodi ni shida kwa watanzania wote wakiwamo hawa chawa wa mama isipokuwa tu labda kwa walamba asali.

"Nani atamwunga mkono Mama na bei hizi za vyakula au msururu huu wa matozo na kodi yasiyokuwa na idadi?"

Nani atamwunga Mama mkono kwa ugumu huu wa maisha ambapo wenzetu wenye kulamba asali: mishahara, marupurupu na posho zao ni za kufuru kutokea kwenye kodi tunazokamuliwa sisi?

"Nani atamwunga Mama mkono kwenye ununuzi wa magari haya ya 400m/- plus kwa moja, kuwa ni halali kwa walamba asali na kila wanapojisikia?

Nk, nk yako mengi.

Kwani kero zote zinazotuhusu wananchi hatujawahi kuwapa orodha yote? Kwani nini wamekifanya kuziondoa au hata kuzipunguza?

"Siyo hawa waliotuelekeza kama vipi tuhamie kwingine?"

Ni wazi kuwa matatizo yetu ni ya kikatiba zaidi. Tunahitaji katiba nyingine ili raslimali na shida zetu ziwe zetu sote. Tunahitaji haki na usawa kwa wote.

Hapa ndipo ulipo ule mfupa ambao umemshinda fisi. Mfupa huu unahitaji wenye meno. Haupo uchawi, busara, sayansi wala nini.

"Anatakikana panya mwenye uthubutu wa kumfunga Paka kengele!"
 
Bei ya vyakula ni tatizo la Dunia, limeanza na ukame, baadae vita ya Ukraine ikaingia, supply chain za chakula zikavurugika, pamoja na ukame duniani.

Hakuna sehemu duniani utapata chakula kwa bei rahisi kwa Sasa.

Lissu anafanya Siasa za kilaghai tu. Na anayoyahutubia hayana uelewa wa mambo ya mtambuka. Yanaimbishwa tu people's power, kichwani yamejaza machicha ya mbege.

CCM watatumia fursa hiyo kuwaambia vijana kwamba kilimo kinalipa, na Serikali haitaingilia biashara ya kilimo kwa kuvuruga bei.

Hao bodaboda watavutika na kilimo, wataondoka mjini, pia ni fursa ya ajira
 
Bei ya vyakula ni tatizo la Dunia, limeanza na ukame, baadae vita ya Ukraine ikaingia, supply chain za chakula zikavurugika, pamoja na ukame duniani.

Hakuna sehemu duniani utapata chakula kwa bei rahisi kwa Sasa.

Lissu anafanya Siasa za kilaghai tu.

CCM watatumia fursa hiyo kuwaambia vijana kwamba kilimo kinalipa, na Serikali haitaingilia biashara ya kilimo kwa kuvuruga bei.

Hao bodaboda watavutika na kilimo, wataondoka mjini, pia ni fursa ya ajira
Michele na Maharage vinatoka Ukraine mkuu? Au ni sera mbovu za Bashe kudhani ananufaisha wakulima
 
Bei ya vyakula ni tatizo la Dunia, limeanza na ukame, baadae vita ya Ukraine ikaingia, supply chain za chakula zikavurugika, pamoja na ukame duniani.

Hakuna sehemu duniani utapata chakula kwa bei rahisi kwa Sasa.

Lissu anafanya Siasa za kilaghai tu. Na anayoyahutubia hayana uelewa wa mambo ya mtambuka. Yanaimbishwa tu people's power, kichwani yamejaza machicha ya mbege.

CCM watatumia fursa hiyo kuwaambia vijana kwamba kilimo kinalipa, na Serikali haitaingilia biashara ya kilimo kwa kuvuruga bei.

Hao bodaboda watavutika na kilimo, wataondoka mjini, pia ni fursa ya ajira
Hivi "kilimo kwanza" iliishia wapi? Au haikuwa Enzi za CCM?
 
Michele na Maharage vinatoka Ukraine mkuu? Au ni sera mbovu za Bashe kudhani ananufaisha wakulima
Kwa karibu miaka miwili nchi imekuwa kame, hayo maharage na mchele haukustawi kama ilivyo kawaida. Hata nyie Chadema, shamba lenu la Morogoro halikupata mvua.

Na pia wakulima lazima wanufaike, huko ndiko Kuna watu wengi, wakinufaika wengi, taifa litasonga
 
Hivi "kilimo kwanza" iliishia wapi? Au haikuwa Enzi za CCM?
Sasa mambo yote yanafanyika kwa pamoja, kilimo,viwanda, Kila kitu, hakuna kinachoweza kuwa Cha kwanza bila kingine pia kuwa Cha kwanza.

Mama anaenda kisayansi
 
Bei ya vyakula ni tatizo la Dunia, limeanza na ukame, baadae vita ya Ukraine ikaingia, supply chain za chakula zikavurugika, pamoja na ukame duniani.

Hakuna sehemu duniani utapata chakula kwa bei rahisi kwa Sasa.

Lissu anafanya Siasa za kilaghai tu. Na anayoyahutubia hayana uelewa wa mambo ya mtambuka. Yanaimbishwa tu people's power, kichwani yamejaza machicha ya mbege.

CCM watatumia fursa hiyo kuwaambia vijana kwamba kilimo kinalipa, na Serikali haitaingilia biashara ya kilimo kwa kuvuruga bei.

Hao bodaboda watavutika na kilimo, wataondoka mjini, pia ni fursa ya ajira

Tulipo ni pazuri sana penye siasa za kistaarabu:

Nani atamwunga mkono Mama na bei hizi za vyakula au msururu huu wa matozo na kodi yasiyokuwa na idadi?"

Nani atamwunga Mama mkono kwa ugumu huu wa maisha ambapo wenzetu wenye kulamba asali mishahara, marupurupu na posho ni ya kufuru kutokea kwenye kodi tunazokamuliwa sisi?

"Nani atamwunga Mama mkono kwenye ununuzi wa magari haya ya 400m/- plus kuwa halali ya walamba asali na kila wanapojisikia?


Jitendee haki tu kutufahamisha lipo hapo wewe utaliunga mkono?

Kumbuka kwenye vita vya panzi mwananchi kama kunguru ndiye atakaye furahi.
 
Mheshimiwa Lissu kaingizana nchini jana kama farasi wa ngongo. Mapokezi yake tu ni ishara tosha kuwa huyu ni mtu wa namna gani kwa watu wake.

Kwenye hotuba yake mara tu baada ya kuwasili, anawaongelea waziwazi watanzania wote. Matatizo ya bei za vyakula, mzigo wa matozo na kodi ni shida kwa watanzania wote wakiwamo hawa chawa wa mama isipokuwa tu labda kwa walamba asali.

"Nani atamwunga mkono Mama na bei hizi za vyakula au msururu huu wa matozo na kodi yasiyokuwa na idadi?"

Nani atamwunga Mama mkono kwa ugumu huu wa maisha ambapo wenzetu wenye kulamba asali mishahara, marupurupu na posho ni ya kufuru kutokea kwenye kodi tunazokamuliwa sisi?

"Nani atamwunga Mama mkono kwenye ununuzi wa magari haya ya 400m/- plus kuwa halali ya walamba asali na kila wanapojisikia?

Kwani kero zote zinazotuhusu wananchi hatujawahi kuwapa orodha zote? Kwani nini wamekifanya kuziondoa au hata kuzipunguza?

"Siyo hawa waliotuelekeza kama vipi tuhamie kwingine?"

Ni wazi kuwa matatizo yetu ni ya kikatiba zaidi. Tunahitaji katiba nyingine ili raslimali na shida zetu ziwe zetu sote. Tunahitaji haki na usawa kwa wote.

Hapa ndipo ulipo ule mfupa ambao umemshinda fisi. Mfupa huu unahitaji wenye meno. Haupo uchawi, busara, sayansi wala nini.

Anatakikana panya mwenye kumfunga Paka kengele!
TAML amenifurahisha kweli kaenda kwenye point hajamnanga hayati japo yeye ni muathirika wa moja kwa moja, nitaendelea kumuunga mkono kama nilivyofanya kabla 2017
 
Tulipo ni pazuri sana penye siasa za kistaarabu:

Nani atamwunga mkono Mama na bei hizi za vyakula au msururu huu wa matozo na kodi yasiyokuwa na idadi?"

Nani atamwunga Mama mkono kwa ugumu huu wa maisha ambapo wenzetu wenye kulamba asali mishahara, marupurupu na posho ni ya kufuru kutokea kwenye kodi tunazokamuliwa sisi?

"Nani atamwunga Mama mkono kwenye ununuzi wa magari haya ya 400m/- plus kuwa halali ya walamba asali na kila wanapojisikia?


Jitendee haki tu kutufahamisha lipo hapo wewe utaliunga mkono?

Kumbuka kwenye vita vya panzi mwananchi kama kunguru ndiye atakaye furahi.
Kwa Sasa na muda kidogo baadae, si kwa maslahi ya usalama wa nchi kukabidhi uongozi wa nchi kwa Chadema. Wakiwa mature wanaweza kujaribishwa. Kwa Sasa CDM ni taasisi ya motivational speakers.

Mtu anashambulia Kodi, wakati hakuna serikali inaendeshwa bila Kodi.

Imagine, unakabidhi nchi kwa Rais ambaye watoto wake ni wamarekani, na mkewe ni mmarekani
 
Ni hivi kwenye mfumuko wa bei za vyakula wangezuia uuzaji was vyakula kiholela nje ya nchi. Jambo lingine kwa nini serikali isiwekeze nguvu nyingi kwenye kilimo cha umwagiliaji?
Tanzania tumezungukwa na maziwa na mito, kwa nini tupate njaa? Kwa nini serikali hii ya ccm isijenge miundo mbinu ya umwagiliaji harafu Sasa ikawavutia hawa bodaboda wakaondoka mijini na kwenda kujishughurisha na kilimo cha uhakika?
Unahabari kwamba kilimo cha kutegemea mvua ni risk?
 
Mheshimiwa Lissu kaingizana nchini jana kama farasi wa ngongo. Mapokezi yake tu ni ishara tosha kuwa huyu ni mtu wa namna gani kwa watu wake.

Kwenye hotuba yake mara tu baada ya kuwasili, anawaongelea waziwazi watanzania wote. Matatizo ya bei za vyakula, mzigo wa matozo na kodi ni shida kwa watanzania wote wakiwamo hawa chawa wa mama isipokuwa tu labda kwa walamba asali.

"Nani atamwunga mkono Mama na bei hizi za vyakula au msururu huu wa matozo na kodi yasiyokuwa na idadi?"

Nani atamwunga Mama mkono kwa ugumu huu wa maisha ambapo wenzetu wenye kulamba asali mishahara, marupurupu na posho ni ya kufuru kutokea kwenye kodi tunazokamuliwa sisi?

"Nani atamwunga Mama mkono kwenye ununuzi wa magari haya ya 400m/- plus kuwa halali ya walamba asali na kila wanapojisikia?

Nk, nk yako mengi.

Kwani kero zote zinazotuhusu wananchi hatujawahi kuwapa orodha zote? Kwani nini wamekifanya kuziondoa au hata kuzipunguza?

"Siyo hawa waliotuelekeza kama vipi tuhamie kwingine?"

Ni wazi kuwa matatizo yetu ni ya kikatiba zaidi. Tunahitaji katiba nyingine ili raslimali na shida zetu ziwe zetu sote. Tunahitaji haki na usawa kwa wote.

Hapa ndipo ulipo ule mfupa ambao umemshinda fisi. Mfupa huu unahitaji wenye meno. Haupo uchawi, busara, sayansi wala nini.

Anatakikana panya mwenye kumfunga Paka kengele!
Braza upo serious kweli na maisha?????? Yaani tuache kumuunga mkono bi mkubwa afu tumuunge mkono lissu?????
 
Mheshimiwa Lissu kaingizana nchini jana kama farasi wa ngongo. Mapokezi yake tu ni ishara tosha kuwa huyu ni mtu wa namna gani kwa watu wake.

Kwenye hotuba yake mara tu baada ya kuwasili, anawaongelea waziwazi watanzania wote. Matatizo ya bei za vyakula, mzigo wa matozo na kodi ni shida kwa watanzania wote wakiwamo hawa chawa wa mama isipokuwa tu labda kwa walamba asali.

"Nani atamwunga mkono Mama na bei hizi za vyakula au msururu huu wa matozo na kodi yasiyokuwa na idadi?"

Nani atamwunga Mama mkono kwa ugumu huu wa maisha ambapo wenzetu wenye kulamba asali mishahara, marupurupu na posho ni ya kufuru kutokea kwenye kodi tunazokamuliwa sisi?

"Nani atamwunga Mama mkono kwenye ununuzi wa magari haya ya 400m/- plus kuwa halali ya walamba asali na kila wanapojisikia?

Nk, nk yako mengi.

Kwani kero zote zinazotuhusu wananchi hatujawahi kuwapa orodha zote? Kwani nini wamekifanya kuziondoa au hata kuzipunguza?

"Siyo hawa waliotuelekeza kama vipi tuhamie kwingine?"

Ni wazi kuwa matatizo yetu ni ya kikatiba zaidi. Tunahitaji katiba nyingine ili raslimali na shida zetu ziwe zetu sote. Tunahitaji haki na usawa kwa wote.

Hapa ndipo ulipo ule mfupa ambao umemshinda fisi. Mfupa huu unahitaji wenye meno. Haupo uchawi, busara, sayansi wala nini.

Anatakikana panya mwenye kumfunga Paka kengele!
Huyo mshikaji si wanae wana uraia wa marekani????Afu ndio atuongelee watanzania wote????? Kua serious na maisha braza au na wewe ndio fresh from..... ....?????
 
Mheshimiwa Lissu kaingizana nchini jana kama farasi wa ngongo. Mapokezi yake tu ni ishara tosha kuwa huyu ni mtu wa namna gani kwa watu wake.

Kwenye hotuba yake mara tu baada ya kuwasili, anawaongelea waziwazi watanzania wote. Matatizo ya bei za vyakula, mzigo wa matozo na kodi ni shida kwa watanzania wote wakiwamo hawa chawa wa mama isipokuwa tu labda kwa walamba asali.

"Nani atamwunga mkono Mama na bei hizi za vyakula au msururu huu wa matozo na kodi yasiyokuwa na idadi?"

Nani atamwunga Mama mkono kwa ugumu huu wa maisha ambapo wenzetu wenye kulamba asali mishahara, marupurupu na posho ni ya kufuru kutokea kwenye kodi tunazokamuliwa sisi?

"Nani atamwunga Mama mkono kwenye ununuzi wa magari haya ya 400m/- plus kuwa halali ya walamba asali na kila wanapojisikia?

Nk, nk yako mengi.

Kwani kero zote zinazotuhusu wananchi hatujawahi kuwapa orodha zote? Kwani nini wamekifanya kuziondoa au hata kuzipunguza?

"Siyo hawa waliotuelekeza kama vipi tuhamie kwingine?"

Ni wazi kuwa matatizo yetu ni ya kikatiba zaidi. Tunahitaji katiba nyingine ili raslimali na shida zetu ziwe zetu sote. Tunahitaji haki na usawa kwa wote.

Hapa ndipo ulipo ule mfupa ambao umemshinda fisi. Mfupa huu unahitaji wenye meno. Haupo uchawi, busara, sayansi wala nini.

Anatakikana panya mwenye kumfunga Paka kengele!
Mkono mtupu haulambwi braza!!!!!!Kama kuyaongelea matatizo yetu watanzania hata sisi tunaweza braza!!!!
 
Braza upo serious kweli na maisha?????? Yaani tuache kumuunga mkono bi mkubwa afu tumuunge mkono lissu?????
Weee chawa nawe ficha ujinga wako...umuunge mkono Kwa lipi? Mafuta bei juu ... Mchicha bei juu bando hazina utulivu .. elimu unga unga mwana ..maji pia unga unga mwana ..umeme hivyo hivyo....weeee kaa kimya
 
Kwa Sasa na muda kidogo baadae, si kwa maslahi ya usalama wa nchi kukabidhi uongozi wa nchi kwa Chadema. Wakiwa mature wanaweza kujaribishwa. Kwa Sasa CDM ni taasisi ya motivational speakers.

Mtu anashambulia Kodi, wakati hakuna serikali inaendeshwa bila Kodi.

Imagine, unakabidhi nchi kwa Rais ambaye watoto wake ni wamarekani, na mkewe ni mmarekani

Kwa majibu haya ninakusoma kuwa huna unalomwunga nalo mkono Mama.

Lissu watoto wake au mkewe kulazimika kuwa na uraia mwingine. Kwani wamekuwa na uraia huo kwa kupenda? Hakujawahi kuwapo na tishio la maisha kwa watu hawa?

Kwanini beberu katoa security alert kwa raia wake Jana? Si kuwa tishio la usalama kwa Lissu lingalipo? Kwa makosa yapi aliyofanya Lissu au familia yake kustahili haya?

Zingatia katiba ya nchi hii inakataza aina zozote za ubaguzi. Kwanini ni vigumu kuiheshimu katiba?

Kama wananchi sisi tunataka afueni ya maisha. Atakayetupa afueni hiyo nchi tutampa wala si vinginevyo.
 
Bei ya vyakula ni tatizo la Dunia, limeanza na ukame, baadae vita ya Ukraine ikaingia, supply chain za chakula zikavurugika, pamoja na ukame duniani.

Hakuna sehemu duniani utapata chakula kwa bei rahisi kwa Sasa.

Lissu anafanya Siasa za kilaghai tu. Na anayoyahutubia hayana uelewa wa mambo ya mtambuka. Yanaimbishwa tu people's power, kichwani yamejaza machicha ya mbege.

CCM watatumia fursa hiyo kuwaambia vijana kwamba kilimo kinalipa, na Serikali haitaingilia biashara ya kilimo kwa kuvuruga bei.

Hao bodaboda watavutika na kilimo, wataondoka mjini, pia ni fursa ya ajira
Ubaya au uzuri wa vita vya Ukraine havijaweza kufanya Serikali za Nchi masikini zibane matumizi yake !! Hiyo ndio shida kuu !! Ila vita hivyo vimeweza kuwaletea shida kuu wananchi wa kawaida !! Aliyeshiba hamjui mwenye njaa !!
 
Mkono mtupu haulambwi braza!!!!!!Kama kuyaongelea matatizo yetu watanzania hata sisi tunaweza braza!!!!
Title ya uzi uliiona?

"Kwanini Lissu na CHADEMA watautafuna mfupa uliowashinda wengine"​


Ninyi mko kwenye hilo neno "wengine." Hata nyie kwenye Uzi mmeangaziwa.

Tofauti Iko kwenye kumfunga Paka kengele.

Humo ndimo msipokuwamo!
 
Bei ya vyakula ni tatizo la Dunia, limeanza na ukame, baadae vita ya Ukraine ikaingia, supply chain za chakula zikavurugika, pamoja na ukame duniani.

Hakuna sehemu duniani utapata chakula kwa bei rahisi kwa Sasa.

Lissu anafanya Siasa za kilaghai tu. Na anayoyahutubia hayana uelewa wa mambo ya mtambuka. Yanaimbishwa tu people's power, kichwani yamejaza machicha ya mbege.

CCM watatumia fursa hiyo kuwaambia vijana kwamba kilimo kinalipa, na Serikali haitaingilia biashara ya kilimo kwa kuvuruga bei.

Hao bodaboda watavutika na kilimo, wataondoka mjini, pia ni fursa ya ajira
ukraine, corona, kenya uganda rwanda DRC visingizio kibao. Damn it halafu unanunua gari za viongozi wako bil 500? Halafu kila report ya CAG inaanika ujambazi wa hao hao wanaopewa V8 za b 500? upuuzi mtupu Toa pelekea ndege wakale visingixio vyako!
 
Huyo mshikaji si wanae wana uraia wa marekani????Afu ndio atuongelee watanzania wote????? Kua serious na maisha braza au na wewe ndio fresh from..... ....?????

Kwani walifika huko kwa kupenda ndugu? Au aliyofanyiwa baba yao area D ilikuwa ni picnic?
 
Back
Top Bottom