Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Point ni zile zile tu mkuuNgoja waje waliosoma HKL.
Msumbiji ina wakazi wengi waliohamia zama hizo kutokea hapo KILWAUwenda kiswahili akikuanzia Tanzania bali tuliletewa.
Msumbiji kuna sehemu inaitwa Pemba Mnazi huko kiswahili kimetawala kinazungumzwa vizuri tena sana.
Mbona unechagua Kisafwa hapa? Mwagona holowaniKwanini wewe usiandike kwa Kisafwa hapa umeandika Kiswahili?
Kiswahili kipo Kongo miaka na miaka, kama kuna mwanaccm alikuambia kuwa kiswahili ni lugha yetu alikudanganya. Kongo, Rwanda na Burundi zipo lugha za makabila mengi ila yote yanaunganishwa na kiswahili na si kwa wanajeshi tu kama unavyodai.Nimekuwa nikifuatilia Clip nyingi za wanajeshi maporini huko DR Congo asilimia kubwa wanatumia Kiswahili
Waasi wanatumia kiswahili
Wa DR Congo wanatumia kiswahili
Na wengine wengi majirani wanatumia kiswahili.
Hawa jamaa wanalugha zao za asili ambzao sio Kiswahili. Kwa nini Kiswahili ?
Kwa sababu Kiswahili sio lugha ndogo km unavyofikiria wewe bwana mdogo Kiswahili ni lugha kubwa inayotumika mataifa mengi duniani koteNimekuwa nikifuatilia Clip nyingi za wanajeshi maporini huko DR Congo asilimia kubwa wanatumia Kiswahili
Waasi wanatumia kiswahili
Wa DR Congo wanatumia kiswahili
Na wengine wengi majirani wanatumia kiswahili.
Hawa jamaa wanalugha zao za asili ambzao sio Kiswahili. Kwa nini Kiswahili ?
Lugha inayozungumzwa Drc mashariki ni kiswahiliNimekuwa nikifuatilia Clip nyingi za wanajeshi maporini huko DR Congo asilimia kubwa wanatumia Kiswahili
Waasi wanatumia kiswahili
Wa DR Congo wanatumia kiswahili
Na wengine wengi majirani wanatumia kiswahili.
Hawa jamaa wanalugha zao za asili ambzao sio Kiswahili. Kwa nini Kiswahili ?
Historia ya kiswahili ifuatiliwe upya, hao jamaa wanatumia sana kiswahili si ajabu kilianzia kwao.
"kiswahili ni kiarabu"
KWELI KIBANTU kiswahili kama kibantu vs kiswahili kama kiarabu.Historia ya kiswahili ifuatiliwe upya, hao jamaa wanatumia sana kiswahili si ajabu kilianzia kwao.
"kiswahili ni kiarabu"
Kwa maana hiyo basi wewe msimamo wako kiswahili ni lugha chotaraKiswahili sio kiarabu .
Hata maandishi yake hayafanani.
Lakini pia kuna nchi kama Omani wananchi wake wengi wanaongea kiswahili kwa sababu waliishi ukanda wa Afrika mashariki hasa Kilwa ,Zanzibar ,Tanga, Mikindani,Lindi , Tabora ,Kigoma n.k. Wakarudi kwao wakiwa wanaongea kiswahili maana walikaa zaidi ya karne mbili . Hata wajerumani wangekaa Tanganyika karne mbili leo pangekuwa na muingiliano mkubwa sana wa Kiswahili na lugha ya kijerumani .
Kiarabu ni Kiarabu na Kiswahili ni Kiswahili . Kuingiliana kwa baadhi maneno ni kwa sababu ni jamii iliyowahi kuishi pamoja na kufanya biashara pamoja .
Hata Rais wao LKabila alikuwa anawahutubia kwa KiswahiliKwasabu kwa wenzetu africa mashariki ili uonrkane msomi itakubidi uzungumze kiswahili japo maeneo ya goma na kiv wengi wanaongea kiswahili kile cha kikongomani
Mkuu umeeleza vyema yaani kama ulikuwepo vile.Kiswahili hakijaanza congo. Nadharia inayosema kiswahili ni ki congo ina madhaifu makubwa. Kiswahili kinatokana na wabantu. Wabantu chimbuko lao ni Cameroon wakashuka kusini walikuja mafungu mafungu katika upwa wa africa mashariki wakawakuta waarabu .(waarabu walikuja africa mashariki kabla ya sisi wabantu) wabantu walebwaliochangamana na waarabu kikazaliwa kiswahili Kwa wangozi (kenya) baadaye waingereza wakasanifisha moja ya lahaja za kiswahili (kiunguja ) kuwa kiswahili sanifu. Kwa vyovyote vile kiswahili kilichosanifishwa kiliwekwa upya kutengenezwa upya kwa baadhi ya maneno. Mfano Moya ikawa moja , Cai ikawa chai na meneno mengine kibao. Kwa ufupi usanifidhaji uliharibu kwa namna fulani historia ya kiswahili ndiposa tunaweza kusema hiki kiswahili sanifu tunachoongea na kuandika kimetengenezwa
Tanzania kuna lugha za asili, kwanini tunatumia kiswahili?Nimekuwa nikifuatilia Clip nyingi za wanajeshi maporini huko DR Congo asilimia kubwa wanatumia Kiswahili
Waasi wanatumia kiswahili
Wa DR Congo wanatumia kiswahili
Na wengine wengi majirani wanatumia kiswahili.
Hawa jamaa wanalugha zao za asili ambzao sio Kiswahili. Kwa nini Kiswahili ?