itakiamo JF-Expert Member Joined Nov 1, 2014 Posts 893 Reaction score 1,739 Feb 1, 2025 #41 Kiswahili ni lugha rasmi kwenye majeshi mengi ya Afrika Mashariki na kati
Kidagaa kimemwozea JF-Expert Member Joined Jul 13, 2018 Posts 3,680 Reaction score 6,554 Feb 1, 2025 #42 Blackcornshman said: Baweke mabuduki na masasi chini tupewe fasi ya kupigana bangumi. Click to expand... Kiswahili kilitakiwa kiwe hivi na kadhalika kabla ya usanifishaji mwaka 1936. Kiswahili tunachoongea tanzania kinatokana na lahaja ya kiunguja iliyosanifishwa na waingereza
Blackcornshman said: Baweke mabuduki na masasi chini tupewe fasi ya kupigana bangumi. Click to expand... Kiswahili kilitakiwa kiwe hivi na kadhalika kabla ya usanifishaji mwaka 1936. Kiswahili tunachoongea tanzania kinatokana na lahaja ya kiunguja iliyosanifishwa na waingereza
jay-millions JF-Expert Member Joined Apr 30, 2015 Posts 3,983 Reaction score 10,034 Feb 1, 2025 #43 Msum 66KV said: Msumbiji ina wakazi wengi waliohamia zama hizo kutokea hapo KILWA Click to expand... Msumbiji mueda huko nilikuta wanaongea kiswahili safi kama wakazi wa mbagala
Msum 66KV said: Msumbiji ina wakazi wengi waliohamia zama hizo kutokea hapo KILWA Click to expand... Msumbiji mueda huko nilikuta wanaongea kiswahili safi kama wakazi wa mbagala
K KUTATABHETAKULE JF-Expert Member Joined Apr 2, 2012 Posts 5,159 Reaction score 5,070 Feb 1, 2025 #44 Blackcornshman said: Baweke mabuduki na masasi chini tupewe fasi ya kupigana bangumi. Click to expand... Bakongo habapendi vita. Hii vita inaletwa na na Banyamulenge.
Blackcornshman said: Baweke mabuduki na masasi chini tupewe fasi ya kupigana bangumi. Click to expand... Bakongo habapendi vita. Hii vita inaletwa na na Banyamulenge.
Vishu Mtata JF-Expert Member Joined Dec 15, 2019 Posts 15,954 Reaction score 35,415 Feb 2, 2025 #45 Poor Brain said: "Kiswahili ni kiarabu nasi kibantu " Fafanua msemo huu kwa kutumia riwaya tatu "Penzi la shangazi dorine ;Mwandishi P.Brain... "Shangazi utaniua ; Mwandishi Vishu Mtata... "Mungu si Athumani ; Mwandishi kiranga Click to expand... πππ we dogo una wazimu
Poor Brain said: "Kiswahili ni kiarabu nasi kibantu " Fafanua msemo huu kwa kutumia riwaya tatu "Penzi la shangazi dorine ;Mwandishi P.Brain... "Shangazi utaniua ; Mwandishi Vishu Mtata... "Mungu si Athumani ; Mwandishi kiranga Click to expand... πππ we dogo una wazimu