Kwanini Lusubilo Mwakabibi pamoja na kushitakiwa kwa uhujumu uchumi lakini ameachiwa kwa dhamana?

Kwanini Lusubilo Mwakabibi pamoja na kushitakiwa kwa uhujumu uchumi lakini ameachiwa kwa dhamana?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kwa kadri ya kumbukumbu zangu nchini Tanzania, kesi yoyote ya Uhujumu uchumi ama ya utakatishaji pesa huwa hazina dhamana.

Kinachonishangaza ni kitendo cha Mahakama kumuachia kwa dhamana Mhujumu uchumi wa wazi kabisa aitwaye Lusubilo Mwakabibi aliyekuwa DED wa Temeke, hivi hizi sheria za kuwanyima dhamana wahujumu uchumi zinawalenga watu gani?
 
Yaani hi ichi cjui mm duh mbna kesi za uhujumu uchumi haina dhaman angalau ukae miaka mitatu ndipo ije kuzikilizwa
 
Kwa kadri ya kumbukumbu zangu nchini Tanzania , kesi yoyote ya Uhujumu uchumi ama ya utakatishaji pesa huwa hazina dhamana .

Kinachonishangaza ni kitendo cha Mahakama kumuachia kwa dhamana Mhujumu uchumi wa wazi kabisa aitwaye Lusubilo Mwakabibi aliy ekuwa DED wa Temeke , hivi hizi sheria za kuwanyima dhamana wahujumu uchumi zinawalenga watu gani ?
Unashangaa ilo? Shangaa na la Boss wa zaman wa ATCL kuwa na hukumu mbili moja ilishatoka mwaka 2017 akashindwa kulipa fain ya Milion 35 akarudishwa tena ndani amekuja kutoka juzi hukumu yake ikisomwa kifungo miaka 4 au faini ya Milion 8 huku akiisababishia hasara ATCL Billion 100.

 
Unashangaa ilo? Shangaa na la Boss wa zaman wa ATCL kuwa na hukumu mbili moja ilishatoka mwaka 2017 akashindwa kulipa fain ya Milion 35 akarudishwa tena ndani amekuja kutoka juzi hukumu yake ikisomwa kifungo miaka 4 au faini ya Milion 8 huku akiisababishia hasara ATCL Billion 100.

Hatuna majaji.
Hao do you call yourself a judge if your judgement is like that of a goat?
 
Kwa kadri ya kumbukumbu zangu nchini Tanzania , kesi yoyote ya Uhujumu uchumi ama ya utakatishaji pesa huwa hazina dhamana .

Kinachonishangaza ni kitendo cha Mahakama kumuachia kwa dhamana Mhujumu uchumi wa wazi kabisa aitwaye Lusubilo Mwakabibi aliy ekuwa DED wa Temeke , hivi hizi sheria za kuwanyima dhamana wahujumu uchumi zinawalenga watu gani ?
Kwa sababu aliyetoa maagizo ni Ndugu yetu Kassim Wa Maajaliwa, most of his directives huwa zinakua ignored. Sijui kwanini, iko wapi report ya kuungua Solo Kariakoo? Kwa mfano
 
Kwa sababu aliyetoa maagizo ni Ndugu yetu Kassim Wa Maajaliwa, most of his directives huwa zinakua ignored. Sijui kwanini, iko wapi report ya kuungua Solo Kariakoo? Kwa mfano
Aiseee
 
Back
Top Bottom