Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kuna haja ya kufanya kitu ili dunia itueleweMkuu hii nchi sasa hivi inajiendea tu. Wataokaa jela ni wapinzani tu
asante kwa kufichua siriAfisa Kipenyo mbobezi huyo!!!πππ
nje ya madaMbowe anashitakiwa kwa ugaidi siyo uhujumu uchumi bwashee!
CCMAna kadi ya chama gani ?
Magufuli angekuwa hai iko siku angeshitakiwa kwa kumiliki genge la uhalifuMwakabibi kama Sabaya tu, ni matokeo ya so-called kazi maalum za uporaji na ufisadi chini ya awamu ya shujaa
Unashangaa ilo? Shangaa na la Boss wa zaman wa ATCL kuwa na hukumu mbili moja ilishatoka mwaka 2017 akashindwa kulipa fain ya Milion 35 akarudishwa tena ndani amekuja kutoka juzi hukumu yake ikisomwa kifungo miaka 4 au faini ya Milion 8 huku akiisababishia hasara ATCL Billion 100.Kwa kadri ya kumbukumbu zangu nchini Tanzania , kesi yoyote ya Uhujumu uchumi ama ya utakatishaji pesa huwa hazina dhamana .
Kinachonishangaza ni kitendo cha Mahakama kumuachia kwa dhamana Mhujumu uchumi wa wazi kabisa aitwaye Lusubilo Mwakabibi aliy ekuwa DED wa Temeke , hivi hizi sheria za kuwanyima dhamana wahujumu uchumi zinawalenga watu gani ?
Hatuna majaji.Unashangaa ilo? Shangaa na la Boss wa zaman wa ATCL kuwa na hukumu mbili moja ilishatoka mwaka 2017 akashindwa kulipa fain ya Milion 35 akarudishwa tena ndani amekuja kutoka juzi hukumu yake ikisomwa kifungo miaka 4 au faini ya Milion 8 huku akiisababishia hasara ATCL Billion 100.
David Mataka aliyehukumiwa 20 Agosti, 2021 aliwahi kuhukumiwa Mwaka 2017 kwa kesi ileile na Mahakama ileile
Kuna jambo limenishangaza sana! Jana Mahakama ya Akimu Mkaazi Kisutu ilimuhuku aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa ATCL, David Mataka kwenda jera miaka minne ama kulipa Faini Milion 8 kwa kuisababishia ATCL hasara ya Tsh Billion 71...www.jamiiforums.com
Aibu kubwa sanaHatuna majaji.
Hao do you call yourself a judge if your judgement is like that of a goat?
Kama anavyoshitakiwa mbowe kwa ugaidi?Magufuli angekuwa hai iko siku angeshitakiwa kwa kumiliki genge la uhalifu
No one is above the law.Afisa Kipenyo mbobezi huyo!!!πππ
Kwa sababu aliyetoa maagizo ni Ndugu yetu Kassim Wa Maajaliwa, most of his directives huwa zinakua ignored. Sijui kwanini, iko wapi report ya kuungua Solo Kariakoo? Kwa mfanoKwa kadri ya kumbukumbu zangu nchini Tanzania , kesi yoyote ya Uhujumu uchumi ama ya utakatishaji pesa huwa hazina dhamana .
Kinachonishangaza ni kitendo cha Mahakama kumuachia kwa dhamana Mhujumu uchumi wa wazi kabisa aitwaye Lusubilo Mwakabibi aliy ekuwa DED wa Temeke , hivi hizi sheria za kuwanyima dhamana wahujumu uchumi zinawalenga watu gani ?
AiseeeKwa sababu aliyetoa maagizo ni Ndugu yetu Kassim Wa Maajaliwa, most of his directives huwa zinakua ignored. Sijui kwanini, iko wapi report ya kuungua Solo Kariakoo? Kwa mfano
Lini mnafanya hicho kitu ili dunia iwaelewe?Kuna haja ya kufanya kitu ili dunia ituelewe