Jemima Mrembo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 2,864
- 8,328
- Thread starter
- #121
Hawa sio wafanyabiashara ni wafanyakazi. Makahaba ni wafanyabiashara, wanauza utamuNitajie Mwalimu tajiri, Daktari tajiri, Mwanasheria tajiri, Mkutubi tajiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa sio wafanyabiashara ni wafanyakazi. Makahaba ni wafanyabiashara, wanauza utamuNitajie Mwalimu tajiri, Daktari tajiri, Mwanasheria tajiri, Mkutubi tajiri
Anipiga kwanza kimpumu na komoni kabla haja loggin JFBora huyu, kuna yule mmoja Unique Flower ni shida
Mbeya iko popular sana aisee[emoji23][emoji23] sasa Uyole umepatajaje
Nionjeshe basiHujakutwa na jambo wewe.... utanena kama mbuzi kwa kuzidiwa na utamu
Umewahi kuona jambazi tajiri?Kusudi kubwa la kufanya biashara yoyote ni kuridhisha mahitaji ya mteja. Mteja anaporidhika ndipo unapata nafasi ya kuuuza zaidi na zaidi.
Matajiri wengi wakubwa kwa wadogo ni wafanyabiashara. Hawa wenzetu wanaouza miili yao usiku na mchana mbona hawatajiriki?
Au kazi yao ni ya laana hela zote zinaishia kujiremba na kufanya starehe?
Maryland Bar ITV Mwenge wamefilisika hadi na vitukuu, laana tuouUmewahi kuona jambazi tajiri?
Muuza pombe tajiri?
Kazi za dhambi huishia pabaya
Usijali, utaonja mpaka ushibe biriani la ijumaaNionjeshe basi
Nakazia[emoji4]Tungemtajia majina sema itakua udhalilishaji kwa hao watu,
Tatizo lake mleta mada sio mtoto wa mjini anawaangalia hao wananchi wenzake wa Uyole anadhani life limeishia hapo tu[emoji23]
Nakusubiria PM mrembo wangu JemimaUsijali, utaonja mpaka ushibe biriani la ijumaa
Ndo dunia hii
Ndyooo kwa kupiga pipe, wao wakajiongeza na kutengeneza mzunguko wa pesa endelevu
Bora usemee wee binamuu.Tofautisha kat ya kupata pesa na kutajirika
Unaweza kupata pesa nyingi na usitajirike
Utajiri Ni mifumo, utajir una njia zake mkuu
Utajiri ni nini?Kusudi kubwa la kufanya biashara yoyote ni kuridhisha mahitaji ya mteja. Mteja anaporidhika ndipo unapata nafasi ya kuuuza zaidi na zaidi.
Matajiri wengi wakubwa kwa wadogo ni wafanyabiashara. Hawa wenzetu wanaouza miili yao usiku na mchana mbona hawatajiriki?
Au kazi yao ni ya laana hela zote zinaishia kujiremba na kufanya starehe?
Ndyooo kwa kupiga pipe, wao wakajiongeza na kutengeneza mzunguko wa pesa endelevu
Sasa kuna tajiri anazuka tyuuh bila kua na njia? Au unazungumzia shoga pesa zote alizopewa na mabasha bila kufanyia chochote aziweke pale afu aone km n tajiri au laaah?Forget about kuendeleza,nazungumzia mapato aliyokusanya kwa kupigwa pipe ndiyo yaliyowatajirisha? Kila tajiri ana starting point ila iliyo mtajirisha inakuwa siyo aliyoanza nayo ,hata Kim kardashian siyo sex tape ndiyo iliyompa utajiri ni issue nyingine kabisa na ndiyo maana mwenzake Ray J sio tajiri.
Sasa kuna tajiri anazuka tyuuh bila kua na njia? Au unazungumzia shoga pesa zote alizopewa na mabasha bila kufanyia chochote aziweke pale afu aone km n tajiri au laaah?
Pesa lazima afanyie mzungukoo wake ndo awe tajiri. Ila chanzo ni kuinamishwaa.
Halafu wewe si ni miongoni mwa mashoga wa mwanzo kabisa hapa JF? Siku hizi umekuwa kimya sana aise. Au mesha mpa Yesu maisha yako, umeokoka na kuepukana na ushoga?Utajiri ni nini?
Tuanzie hapo kwanza